Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wanabodi, Nami niko hapa viwanja vya Karimjee katika kumuaga Ruge Mutahaba. hivyo tunapomuaga kaka wa Taifa, Ruge Mutahaba, nimewasikia wengi wakisema pengo lake halitazibika, sii kweli, kwa sisi...
55 Reactions
135 Replies
42K Views
Hawa Jamaa Sijui siku izi wako wapi , ni waongozaji na watunzi wa movie za kibongo, nakumbuka zamani walikuwa moto wa kuotea mbali kwenye filamu za kibongo, sio siri Jamaa walikuwa wananikosha...
2 Reactions
23 Replies
14K Views
Hatimaye wajina waje mie... Maarufu kama Poshy queen kafungua duka lake... Ni kama muonavyo pichani. Duka lipo maeneo ya sinza palestina.. Kwa jina Poshy's secret Nyote mnakaribishwa Kila la...
8 Reactions
169 Replies
27K Views
Ndugu yetu huyu amekuwa akimuandama sana Diamond Platnumz, huwezi kuta akisuport kazi zake zaidi ya kuangalia mazaifu yake na makosa yake tu, huyu huyu kitenge baada ya Diamond kuachana na mama...
13 Reactions
54 Replies
10K Views
Heey The so called Boss lady huyo wa kenya ameonesha kukerwa na wanaume wanao-cheat, kupitia page yake ya insta amewataka wadada wasifanye mapenzi na wanaume.. Wanaume wakose pa kwenda waanze...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Aman iwe juu yenu Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe...
8 Reactions
46 Replies
7K Views
. By Sangu J Wakati taifa hususani sisi vijana tukiwa kwenye huzuni kubwa kupotelewa kwa ndugu yetu #Ruge Mutahaba mimi napendelea kumuita ( KING OF YOUTH) kwa uhodari wa kuhakikisha anajitoa...
5 Reactions
22 Replies
9K Views
Misimamo mingine mi nadhani sio mizuri. Huyu jamaa mwenye jina kubwa ndani na nje ya nchi ni kwanini havai viatu? Anaingiaje kwenye public toilets? Mimi nadhani its high time ashauriwe kuvaa...
4 Reactions
157 Replies
37K Views
Mwana wa kike wa pekee wa nyota wa muziki wa Pop marehemu Michael Jackson , Paris amesema kuwa anaamini kwamba babake aliuawa. Katika mahojiano yake ya kwanza, Paris aliambia Rolling Stones ana...
6 Reactions
51 Replies
15K Views
Unaweza kuangalia video yote lakini kama shauku yako ni kufahamu Queen Darleen kaongea nini kuhusu baba yao, basi unaweza kwenda moja kwa moja Dakika 17:10 !! Mistari ninayoikumbuka, kama ni kweli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SHIGONGO: Mimi, Babu Tale na Ruge NI kweli Shilawadu wameniomba msamaha na mimi ninawashukuru sana, huo ndiyo uungwana, unapomkosea mtu, omba samahani, YAMEKWISHA! Lakini siyo vibaya nikisimulia...
12 Reactions
88 Replies
15K Views
Moja kati ya vitu vigumu barani Africa nikua mkweli, kusema ukweli ule unao udhania au kuufikiria kwa watu wengine ndio hua tatizo kubwa. Dudubaya yeye toka moyoni kashajitanabaisha kua hawapendi...
34 Reactions
117 Replies
15K Views
Habari ndugu wadau wa Jf, Nikiwa napitia mitandao mbalimbali Jana Nikaona tangazo la wasafi festival litakalo fanyika huko nchini Oman,mwezi wa nne. Kwakweli nikafurahi kuona vijana hawa wa...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Unakuta Mtu akifa tu basi atapewa Sifa za kila aina na Wanadamu huku wengine wakilia kila aina ya Machozi, wakimshukuru Marehemu na hata kumfananisha na Malaika, wakimtungia Nyimbo mbalimbali...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Huyu mtoto wa kishua na yeye ni mchapakazi,ni mbunifu yupo karibu sana na vijana toka enzi zile akiwan na Masai inc. Iliwasimamia wanamuziki kama Gangwe Mobb,Noorah. Jamaa anajua vingi na...
3 Reactions
75 Replies
12K Views
Ndugu wa marehemu Rugemarila Mutahaba embu mumsitiri huyu mjomba Mpoto maana inastaajabisha sana. Mpeni viatu akimaliza kuzika angalau arudi na viatu huku dar. Yani mpaka kuposti picha yake...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Naamini huyu jamaa ana mashabiki wa kutosha katika rika zote, sijajua mafanikio yake kiuchumi ila katika muziki namuona ni moja ya wasanii waliofanikiwa sana katika tungo zao pamoja na muziki wao...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Aisee mecheka, kumbe host mwenye shoo ya WCB wasaf beach part ni clouds ikiongozwa na Ruge, ubuyu huo nimepata kwa kwa mtu wa karibu wa Ruby, mana naskia ruby alitaka kushriki bure kabisa lakini...
13 Reactions
97 Replies
14K Views
Ebanae leo nilikutana na jamaa kaniambia pole kwa msiba, nikamuuliza msiba gani? Kaniambia eti wa Ruge,sasa nikajiuliza Ruge ananihusu nini mimi? Najua kasaidia wengi, wasanii, wafanyakazi wa...
13 Reactions
23 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Ruge ni binadamu anayependa sana ligi wakati huohuo hawezi ligi na hajawahi kushinda ligi hata moja toka aanze...
13 Reactions
64 Replies
13K Views
Back
Top Bottom