Habarini Wanajamvi,
Hivi yule “mwandani” na “mkaribu” haswa wa Msanii Diamond Platnumz zama zile ambaye pia alikuwa akiongoza “dancers” wake, Mozes Iyobo, yupo wapi siku hizi?
Jina la Iyobo...
Watu wengi walikuwa na walakini kuhusu ukaribu wa Nandy na familia ya marehemu Ruge Mutahaba wakati wote wa shughuli za msiba, kwa kupewa kipaumbele kuliko hata wanawake waliozaa na Ruge.
Kupitia...
Katika hali ya kushangaza isiyo tarajiwa na wadau wa likwid.jana mzee wa likwid alizungumza na wanahabari kutuma salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka huku akiwaomba watanzania wasimsahau hususani...
Hii inaitwa nyundo kwa nyundo au chuma kwa chuma yani cheche mwanzo mwisho.
Na kiukweli katika mapambano ambayo nilikuwa ninatamani kuona yakitokea hili moja wapo , na nina tamani sana mmoja kati...
Msanii nguli wa muziki wa R’n’B nchini Marekani, R. Kelly ametishia kujiua, hii ni baada ya polisi Mjini Chicago kupokea simu ya dharura kutoka kwa mwanamke mmoja ambaye hakujitambulisha jina...
Habari wanajamvi.....?
Nimepita kwenye page ya Instagram ya bwana mdogo rich mavoko nimekutana na ujumbe husiokua wa kawaida.......
Sijui nini kimemsibu huyu bwana mdogo, japo toka kajitoa WCB...
Zari The Boss Lady amewapa wakati mgumu mashabiki wake kwa kuweka picha za nyakati ambazo sio za ‘bata’ bali nyakati za kupambana na changamoto ya afya yake akiwa kitandani.
Jana kupitia Snapchat...
Jana usiku nikiwa nimetulia ghetto baada ya miahangaiko na mihanjo ya siku nzima niliamua tafuta redio yenye kipindi kizuri walau cha kusindikizia usingizi niliokuwa nao..
Mara Paaap nakutana na...
Wakuu,
Kwa tafakari fupi kupitia mfano wa kijana Pierre a.k.a Konki Fire.
Mungu ni wa ajabu sana, na hakuna mtu aliyefikia viwango vya kumfahamu kikamilifu. Wakati mwingine tupo baadhi ambao...
Ila wanazengo huyu mtoto mkubwa wa Ruge ni handsome. Yaani tangu nimuone siku ile akitangaza wasifu wa marehemu mi nilikua hoi mwenzenu, hata sisikilizi namuangalia tu alivyokua mashalah.
Mzuri...
Kwamba Tanzania nzima kwa sasa ' Mastaa ' wapo Saba ( 7 ) ambao ni:
1. Rais Dkt. Magufuli
2. Makamu wa Rais Samia Suluhu
3. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
4. Spika wa Bunge Job Ndugai
5. Jaji Mkuu...
Heshima ya mtu haitatokana na umri wako, elimu yako wala cheo chako kwenye jamii, bali itatokana na huduma yako Kwa jamii.
Unaowahudumia ndio watakaokukweza sio waliokuteua.
Tunao maprofesa...
Kwa wafuatiliaji wa muziki mtakubaliana na mimi,naona spidi ya Mboso inazidi kushika kasi huku akipenya kila engo ya bongo,hii inamfanya akubalike vizuri sana na kuchukua nafasi ya Aslay ambaye...
Genius wa boxing Floyd Sinclair Joy Mayweather azidi kuonesha jeuri ya fedha kwa kuonesha dege lake la tano kulimiliki kwa sababu ameona ndege nne hazimtoshi yeye pamoja na wapambe wake.
Vilevile...
Kwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi,
Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni...
Mahakama ya Kinondoni yamkuta na hatia mwanamuziki nguli wa kizazi kipya Judith Wambura a.K.a Lady Jay Dee kwa kumkashifu mmoja ya wakurugenzi wa Redio ya Clouds Fm.
Aidha Mahakama hiyo imemtaka...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kusitisha usajili wa Msanii Godfrey Tumaini (Dudubaya) kuanzia leo tarehe 28/02/2019
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.