Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habarini Wanajamvi, Hivi yule “mwandani” na “mkaribu” haswa wa Msanii Diamond Platnumz zama zile ambaye pia alikuwa akiongoza “dancers” wake, Mozes Iyobo, yupo wapi siku hizi? Jina la Iyobo...
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Watu wengi walikuwa na walakini kuhusu ukaribu wa Nandy na familia ya marehemu Ruge Mutahaba wakati wote wa shughuli za msiba, kwa kupewa kipaumbele kuliko hata wanawake waliozaa na Ruge. Kupitia...
6 Reactions
211 Replies
64K Views
Katika hali ya kushangaza isiyo tarajiwa na wadau wa likwid.jana mzee wa likwid alizungumza na wanahabari kutuma salamu za sikukuu za mwisho wa mwaka huku akiwaomba watanzania wasimsahau hususani...
7 Reactions
40 Replies
8K Views
Hii inaitwa nyundo kwa nyundo au chuma kwa chuma yani cheche mwanzo mwisho. Na kiukweli katika mapambano ambayo nilikuwa ninatamani kuona yakitokea hili moja wapo , na nina tamani sana mmoja kati...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Msanii nguli wa muziki wa R’n’B nchini Marekani, R. Kelly ametishia kujiua, hii ni baada ya polisi Mjini Chicago kupokea simu ya dharura kutoka kwa mwanamke mmoja ambaye hakujitambulisha jina...
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Habari wanajamvi.....? Nimepita kwenye page ya Instagram ya bwana mdogo rich mavoko nimekutana na ujumbe husiokua wa kawaida....... Sijui nini kimemsibu huyu bwana mdogo, japo toka kajitoa WCB...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Zari The Boss Lady amewapa wakati mgumu mashabiki wake kwa kuweka picha za nyakati ambazo sio za ‘bata’ bali nyakati za kupambana na changamoto ya afya yake akiwa kitandani. Jana kupitia Snapchat...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Jana usiku nikiwa nimetulia ghetto baada ya miahangaiko na mihanjo ya siku nzima niliamua tafuta redio yenye kipindi kizuri walau cha kusindikizia usingizi niliokuwa nao.. Mara Paaap nakutana na...
25 Reactions
34 Replies
10K Views
Wakuu, Kwa tafakari fupi kupitia mfano wa kijana Pierre a.k.a Konki Fire. Mungu ni wa ajabu sana, na hakuna mtu aliyefikia viwango vya kumfahamu kikamilifu. Wakati mwingine tupo baadhi ambao...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
I DON’T CARE
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Ila wanazengo huyu mtoto mkubwa wa Ruge ni handsome. Yaani tangu nimuone siku ile akitangaza wasifu wa marehemu mi nilikua hoi mwenzenu, hata sisikilizi namuangalia tu alivyokua mashalah. Mzuri...
26 Reactions
498 Replies
76K Views
Kwamba Tanzania nzima kwa sasa ' Mastaa ' wapo Saba ( 7 ) ambao ni: 1. Rais Dkt. Magufuli 2. Makamu wa Rais Samia Suluhu 3. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa 4. Spika wa Bunge Job Ndugai 5. Jaji Mkuu...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Heshima ya mtu haitatokana na umri wako, elimu yako wala cheo chako kwenye jamii, bali itatokana na huduma yako Kwa jamii. Unaowahudumia ndio watakaokukweza sio waliokuteua. Tunao maprofesa...
17 Reactions
73 Replies
12K Views
Kwa wafuatiliaji wa muziki mtakubaliana na mimi,naona spidi ya Mboso inazidi kushika kasi huku akipenya kila engo ya bongo,hii inamfanya akubalike vizuri sana na kuchukua nafasi ya Aslay ambaye...
9 Reactions
44 Replies
20K Views
Kiukweli sikutaka kuliweka hili wazi nimevumilia weeeeee nimeshindwa nimeona acha niseme tu ukweli. Kiukweli tangu Diamond Platnumz awe na Tarzan (Tanasha) nyota yake imefifia mnoooo ,na ni...
4 Reactions
67 Replies
11K Views
Genius wa boxing Floyd Sinclair Joy Mayweather azidi kuonesha jeuri ya fedha kwa kuonesha dege lake la tano kulimiliki kwa sababu ameona ndege nne hazimtoshi yeye pamoja na wapambe wake. Vilevile...
0 Reactions
166 Replies
15K Views
Kwa ufupi tu tazama sana picha zako za udogoni mapozi Na the way ulivyokuwa una behave alafu oanisha Na maisha yako ya sasa utagundua vitu vingi, Yale maisha/Michezo uliyokuwa Unaishi udogoni...
2 Reactions
36 Replies
10K Views
Mahakama ya Kinondoni yamkuta na hatia mwanamuziki nguli wa kizazi kipya Judith Wambura a.K.a Lady Jay Dee kwa kumkashifu mmoja ya wakurugenzi wa Redio ya Clouds Fm. Aidha Mahakama hiyo imemtaka...
8 Reactions
64 Replies
27K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kusitisha usajili wa Msanii Godfrey Tumaini (Dudubaya) kuanzia leo tarehe 28/02/2019 Sent using Jamii Forums mobile app
6 Reactions
118 Replies
15K Views
Habari Ma GT wa JF E bwana kuna tetesi yule muanzilishi wa zeutamu blog washamdedisha,je wadau mna taarifa zozote? Nawasilisha.
2 Reactions
69 Replies
18K Views
Back
Top Bottom