Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Inashangaza kuona watanzania wanamshutumu msanii diamond kisa sio hajaenda msibani, Bali tu hajaposti chochote juu ya kifo cha legend wa bongo fleva Ruge mtahaba R.I.P. Lakini Mimi nimefatilia...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
--- Sent from my Iphone using Tapatalk
2 Reactions
155 Replies
25K Views
Kutokea Bukoba Moja kwa moja clouds fm wana report tukio zima la kuupokea mwili wa Ruge Mutahaba, kuanzia airport kupitia bukoba kati kati ya mji mpaka kiziru kabale kwao, R.I.P Ruge Mutahaba
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Yaani nashindwaga kuelewa haya mambo mimi! 1_wanaomlaumu Chibu Dee ndiyo wanaowadis singo maza kila siku.mnajua mateso aliyoteseka uswahilini na mzazi mmoja kijana,masimango na kejeli alizopata...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika hali iliyoshtua wengi, Mtangazaji wa Clouds Tv , Zamaradi Mketema, ametangaza hadharani juu ya uhusiano wa kimapenzi kati yake na "BOSS" wake Ruge Mutahaba. Kupitia ukurasa wake wa...
1 Reactions
197 Replies
92K Views
Viongozi wa vyama mbali mbali na serikali pamoja na wasanii mbalimbali walijitokeza kweny hafla ya kumuuga KAMANDA mbona Dr shika hakuonekana au nae alikuwa na bifu na marehemu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama mada inavyoonekana,aliyekuwa baby mama wa ruge mutahaba zamaradi mketema ajiunga rasmi na wasafi TV.
3 Reactions
186 Replies
74K Views
Well, sote tunajua kifo ni sehemu ya maisha na kwa yakini kifo ni wajibu kwa kila chenye uhai. Kimsingi kifo kina definition nyingi sana kwa mwanaadamu na hizi definition zinatokana na imani zetu...
4 Reactions
56 Replies
7K Views
Wasalaam wana jamvi. Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla. Mama Diamond...
7 Reactions
154 Replies
21K Views
1.smooth vibes project Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil 2.prime time promotion Hapa tuliweza kupata...
13 Reactions
52 Replies
9K Views
Pekupeku kama mpoto kwenye hili amefell Post yake imekaa vibaya....
5 Reactions
344 Replies
49K Views
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo...
5 Reactions
33 Replies
12K Views
Joseph Mbilinyi TAARIFA YA MASIKITIKO: WALIKUJA NA KUOMBA MUAFAKA NASI TUKAKUBALI KWA AJILI YA AMANI NA MAENDELEO YA SANAA, NAMI KAMA KINEGA MWANDAMIZI NA PIA KIONGOZI MBUNGE) NIKACHUKUA...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
Safi sana, 2012 funguka, dunia yako, chaguo lako, chagua kumpenda aliyekuwa adui yako
0 Reactions
26 Replies
6K Views
7.2 Harakati za kudai haki za wasanii. Mheshimiwa Spika, sanaa imeendelea kufanywa mtaji wa biashara na watu wachache ambao wanatumia nguvu waliyo nayo katika jamii na uwezo wao wa kifedha katika...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia...
54 Reactions
537 Replies
70K Views
Jana nilikuwa napiga story mbili tatu na mdau mmoja wa muziki kuhusu kifo cha Mangwea pia zinazoitwa tuzo za KILI...Ni mengi tuliongea, ila lililonifanya nije na hii post ni kuhusu msanii Belle 9...
6 Reactions
122 Replies
25K Views
Wadau kwanza naomba tumuombee marehemu Rugemalila dua ili mungu amuweke panapostahili kulingana na amali zake!!Kifo ni tabia ya kimaumbile ambapo mimi na wewe wote tutakufa!Lazima.. . Huko nyuma...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi...
19 Reactions
91 Replies
13K Views
Habari za jioni wapendwa wana jf !!!!Leo ndo kilele cha usiku wa tuzo za films zinazofanyika na kuonyeshwa live Kupitia Azam TV ambalo ni mwaka wa pili tangu kuanzishwa kwake hapa nchini...
10 Reactions
656 Replies
68K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…