Inashangaza kuona watanzania wanamshutumu msanii diamond kisa sio hajaenda msibani,
Bali tu hajaposti chochote juu ya kifo cha legend wa bongo fleva Ruge mtahaba R.I.P.
Lakini Mimi nimefatilia...
Kutokea Bukoba Moja kwa moja clouds fm wana report tukio zima la kuupokea mwili wa Ruge Mutahaba, kuanzia airport kupitia bukoba kati kati ya mji mpaka kiziru kabale kwao,
R.I.P Ruge Mutahaba
Yaani nashindwaga kuelewa haya mambo mimi!
1_wanaomlaumu Chibu Dee ndiyo wanaowadis singo maza kila siku.mnajua mateso aliyoteseka uswahilini na mzazi mmoja kijana,masimango na kejeli alizopata...
Katika hali iliyoshtua wengi, Mtangazaji wa Clouds Tv , Zamaradi Mketema, ametangaza hadharani juu ya uhusiano wa kimapenzi kati yake na "BOSS" wake Ruge Mutahaba.
Kupitia ukurasa wake wa...
Viongozi wa vyama mbali mbali na serikali pamoja na wasanii mbalimbali walijitokeza kweny hafla ya kumuuga KAMANDA mbona Dr shika hakuonekana au nae alikuwa na bifu na marehemu
Well, sote tunajua kifo ni sehemu ya maisha na kwa yakini kifo ni wajibu kwa kila chenye uhai.
Kimsingi kifo kina definition nyingi sana kwa mwanaadamu na hizi definition zinatokana na imani zetu...
Wasalaam wana jamvi.
Mama wa msanii maarufu na tajiri kuliko wote nchi Diamond Platimuz ameweka wazi sababu za mwanae kutoonekana kwenye msiba na mazishi ya msanii mwenzie Godzilla.
Mama Diamond...
1.smooth vibes project
Hapo walifanikiwa kutoka kimuziki wanamuziki mbalimbali kama jaydee,rayc q chief, mr paul, pauline zongo stara thomas, k basil
2.prime time promotion
Hapa tuliweza kupata...
Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo...
Joseph Mbilinyi
TAARIFA YA MASIKITIKO:
WALIKUJA NA KUOMBA MUAFAKA NASI TUKAKUBALI KWA AJILI YA AMANI NA MAENDELEO YA SANAA, NAMI KAMA KINEGA MWANDAMIZI NA PIA KIONGOZI MBUNGE) NIKACHUKUA...
7.2 Harakati za kudai haki za wasanii.
Mheshimiwa Spika, sanaa imeendelea kufanywa mtaji wa biashara na watu wachache ambao wanatumia nguvu waliyo nayo katika jamii na uwezo wao wa kifedha katika...
WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA
Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia...
Jana nilikuwa napiga story mbili tatu na mdau mmoja wa muziki kuhusu kifo cha Mangwea pia zinazoitwa tuzo za KILI...Ni mengi tuliongea, ila lililonifanya nije na hii post ni kuhusu msanii Belle 9...
Wadau kwanza naomba tumuombee marehemu Rugemalila dua ili mungu amuweke panapostahili kulingana na amali zake!!Kifo ni tabia ya kimaumbile ambapo mimi na wewe wote tutakufa!Lazima..
.
Huko nyuma...
Habari wadau binafsi namkubali sana ruge hasa akili yake kibiashara ana mchango mkubwa sana kwenye sanaa yetu, maana yeye ndie kafanya hata kina jay z, 5o cent, ja rule wameijua Tanzania iko wapi...
Habari za jioni wapendwa wana jf !!!!Leo ndo kilele cha usiku wa tuzo za films zinazofanyika na kuonyeshwa live Kupitia Azam TV ambalo ni mwaka wa pili tangu kuanzishwa kwake hapa nchini...