Kumekuwa na video ya miezi 9 iliyopita ya interview ya Diamond yenye lengo la kumchafua, Huyu dogo hajafikisha hata miaka 30 ila kaka zake na dada zake wanavyomtungia vitimbwi siku unaweza...
Alikiba afunguka wasanii walio mfuata Director wake
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Alikiba amefunguka kuhusu baadhi ya wasanii kumpigia simu Director wa wimbo wa Toto kwa ajili ya kuyataka...
Ninavyoelewa mwanamziki Diamond ni kipenzi cha mkuu lakini Diamond alisahau pale mwanza alipotoa clip kwenye You Tube akiiponda shirika la ndege la Tanzania baada ya yeye kuchelewa kufika airport...
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi...
DAR ES SALAAM: Kimenuka ile mbaya! Lile penzi shatashata lililotarajiwa kuzaa ndoa Februari 14, mwakani kati ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mtangazaji wa Kenya, Tanasha...
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii...
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza kumfungia msanii Diamond Platnumz na mwenzake Rayvanny kufanya maonesho yoyote ndani au nje ya nchi kwa muda usiofahamika. Si hivyo tu, bali pia...
Huyu dada baada ya kuingia kwenye siasa za majungu za UVCCM, wananchi kwa umoja wao waliamua kuachana na bidhaa zake za " KIDOTI " zikiwemo rasta na mawigi , kwa wakati ule haikumgusa sana kwa...
Jamani eeeeh...kelele.nyingi za Diamond na watu mtandaoni zimenifanya niweke hiii wazi. Nilikuepo eneo la tukio nikitoka mwanza kwenda dar. Huku nikiwa nimebook fastjet..ndege haikufika. Diamond...
Waziri wa Mambo ya Ndani Bw. Lawrence Masha anatuhumiwa kuendeleza vitendo vya ufuska na kudaiwa kutumia nafasi yake ya Uwaziri kuhudumia hawala yake huyo kwa muda mrefu sasa. Hata hivyo...
The punishment which has been imposed upon WCB is too big (huge or severe) than both the offence which they did and its magnitude.
Way forward?....
My legal opinions (observation) are as...
Habari ndugu na wadau mbalimbali wapenda burudani,
Ebu tueleweshane maana mambo yanaenda tofauti kwa msanii Nasibu na Basata.
Basata wametoa tamko la kutofanyika kwa tamasha la Wasafi Festival...
kumuendekeza eti analipa kodi kaajiri watu hata kina amber ruty tuwape nafasi na kucheza picha za matusi watachangia kodi kubwa sana na ajira pia
hii vipande vinawafaa sana wale wabunge kucheza...
Ni zaidi ya mwaka sasa nipo kwenye utafiti wa gharama na soko la body spray za wadada ambazo kwa wazo langu zitakua unique na very adore,wakati naenda kutafuta kampuni ambayo wataweza kunifanyia...
Ni ajabu na ajabu kweli.
Sheria za uwanja wa ndege wowote ni pamoja na kutofanya fujo na kudivert attention kwenye uwanja wa ndege.
Diamond jana amefanya fujo ikiwa ni pamona na kurekodi video...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.