Katika vitu ambavyo alifeli Diamond ni kwenda huu mkoa uliojaa washirikina ,watu wenye vijicho na wasiopenda maendeleo ya watu.
Tangu Diamond aende Sumbawanga amekuwa mtu mwenye mikosi tele kila...
Nyimbo bora 11 za bongo flava mwaka wa 2018 .Zilizofanya vizuri na ambazo ni bora kwa maoni yangu binafsi.
1.nibebe aslay
2.Harmonize ft Diamond Platnumz – Kwa Ngwaru
3.nedy music one and only...
Wanajamvi salaam!
Kulikuwa na mkakati wa kuwagawia wasanii Viwanja Mkuranga Mkoani Pwani ambako kulikuwa kumeanzishwa kijiji cha wasanii uliokuwa ukiratibiwa na SHIWATA hivi huu mkakati uliishia...
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye...
Kama yale yalokuwa yakiongelewa sana kuhusu anguko la cloudss yanaanza kutokea taratiibuuu....
Hii inatokana na gepu kubwa la subscribers huko Utube licha ya kuwa clouds media ilianza kitambo na...
Kumekuwa na ukame wa Tuzo za mziki Africa hapa bongo. Na hii imetokana na kutokupiga kampeni za kutosha kuwapigia kura wasanii wetu. Sasa kuanzia leo tunaamua kuleta bongo kila tuzo za Africa na...
Sikatai Joti yuko after Mpunga na ni kwa Faida na masirahi yake ni jambo lililo jema kabisa. Juu ya uwezo wake Wa kuigiza sina Mashaka he is a special celebrity hapa Bongo.
Kuhusu cc watu wazima...
Jana kulizuka sintofahamu kutokana na Clip iliyomuonyesha afisa wa uwanja wa ndege mwanza kuwazuia Diamond na crew yake kuingia uwanjani hapo kwa madai kuwa wamechelewa na tiketi zao kuuzwa,clip...
Promota mkubwa wa ngumi hapa nchini Tanzania ,JAY MSANGI anashutumiwa kuwawekea madawa mabondia Ibrahimu Classic pamoja na mwenzake Adam Mbega.
Shutuma hizo zilitolewa na bondia Ibrahimu Classic...
Habari ya music unaweza kusema ni kwa lebo ya King's music bila kumsahau baba yao mwenyewe Aly kiba
Kwa sasa you tube imechafuka na habari ni KADOGO na MASOZY
Kwa sasa unaweza kusema hakuna...
Kupitia ukurasa wake wa instagram , mjasiriamali maarufu, Zari the bosslady amewaomba msaada mastaa wakubwa wa kike bongo kumchangia kijana Rajabu ambaye Ana ugonjwa wa ajabu, hili akatibiwe...
Ommy muombe msamaha baba yako mapema , mtoto huwezi weka kinyongo na mzazi wako na mambo yako yakanyooka
Baba yako hivi karibuni alishawahi kutoka kwenye vyombo vya Habari akitamka maneno mazito...
Biashara inapokuwa kubwa, makampuni huwa yanaanzisha kitengo kinaitwa compliance department na huajiri wataalam wa kuhakikisha biashara haibughudhiwi bugudhiwi na serikali kwa kuvunja vunja...
Yule gwiji wa mama nakufa mteja namba moja wa liquid pub wiki ameangusha birthday party nyumbani kwake huku mastaa mbalimbali wa bongo wakihudhuria.
Siku ya juzi huduma zilisimama pale liquid pub...
Labda nimepitwa na mengi, hivi huyu jamaa ametoa ngoma kali mpya au atapiga zilezile za zamani? au ni ngurumo ya radi tu ambayo ndiyo imempa shavu mwaka huu? ,nyimbo ambayo ni ngumu kumeza pia...
Early life and Education[edit]
Vanessa Mdee was born on 7 June 1988, in Arusha, the third-largest city in Tanzania; located in Northern Tanzania. Mdee became familiar with various cultures after...
Baada ya kufanya kazi kubwa ya kumuwakilisha mume wake katika kutambulisha wimbo wake mpya 'Zimbabwe' Mke wa Roma Mkatoliki , Nancy amefunguka na kuweka wazi kwamba hii ndiyo itakuwa kazi yake wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.