Aman iwe juu yenu
Naomba wadau mtupatie link ya wasafi festival iringa ambao hatuna video nyumban sisi wengine tuko huku nyampande Sengelema
Asante sana
LONDON BOY
Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa serikali ya Magufuli
Ikiwa ni zaidi ya miaka miwili sasa tangu Rais John Magufuli wa Tanzania aingie madarakani, rais huyo ameonesha kutokusita kukabiliana na...
Bila kinyongo wala unafiki mwanetu anajua kutafuta pesa na kujituma,show tatu ndani ya siku tatu mfululizo 30 Nov Iringa,01 Dec Thika,Kenya,02 Dec Morogoro,hata kama tunakuchukia lakini Hongera...
Sijui lile sakata la kumdai vyeti tulianzishe upyaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri...
Kati ya nyimbo mbili auibu na hatufanani kutoka kwa nandy na shetta ipi ni ipi maana zote zimetumia beat moja kutoka kwa kimambo?
Nini tatizo au ndo kimamba kashindanisha?
Na kwa maoni yako upi...
Wakuu kuna mechi hii ya uzito wa juu.. Dizain naona kama JF hatujaitlia maanani hii game.
Yeyote mwenye updates aweke hapa.
Kama si alfajir ya leo basi ni kesho.
Hongera chief una management nzuri inayoona mbali. Kitendo chako cha kukataa kufungamana na upande wowote katika hali iliyoko sasa kati ya wasafi na CMG umeonesha ukomavu wa kiwango cha juu...
Yooah..
Habari zenu wana jamvi!!!
Ivi tatizo la ALI KIBA ni nin hasa??
Uyu mtu mie ni shabiki wake sana ila ana niangusha kinoma noma.. Uku mtaani sie team kiba tunaumbuka. Tangu WASAFI FESTIVAL...
Wakuu...
Napenda kuwakaribisha kuasikiliza wimbo wangu wa kwanza kabisa kuuachia uitwao 'you are the one' kupitia youtube channel yangu hapa
Maoni yanahitajika pia, wapi nimeboronga, nirekebishe...
Habari zenu wakubwa zangu na wadogo zangu ? Mimi bana ni mpenzi wa dabriusibi ..bana pale mziki akuna tena anaye baki anaimba vitu vya kueleweka na ndo new king wa bongo f ni Harmonize konde boy...
Habari Wakuu!! Sasa uyu msanii wetu wa kimataifa #chibudii chibudee a.k.a simba au dangote.uyu jamaa ni msanii kweli kweli sio tu katika muziki au biashara ya muziki ama kujiamini kwake kutekeleza...
Mwanamtandao mashuhuri na machachari Afrika Mashariki based in LA Mange Kimambi amesema Zari bado hajamove on na kumuacha Diamond Platnumz.
Akichangia post mojawapo Instagram kwenye page ya the...
1. Alipouawa, mwili wake uliteketezwa kwa moto (kwa mujibu wa tamaduni zao), cha ajabu wafuasi wake wa "outlaws" walichukua majivu yake, wakachanganya na bangi na kuvuta!
2.Neno lake la mwisho...
MWANAMUZIKI mkongwe kwenye gemu la Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’, ambaye wimbo wake wa Microphone aliomshirikisha Fareed Kubanda ‘FID Q’ ndiyo mpya kwa sasa, amefunguka siri ya kuamua kuishi...
Kwanza hongera,show ya mtwara wewe ndiye ulikuwa star,ndugu yetu aliiingia akiwa amelewa kabisaaa mapombe sijui ecstacy anajua mwenyewe kaka ulivyoimba nyimbo za lucky dube kwanza hongera ulini...
Nasikiliza album mpya ya Nikki Mbishi titled Sam Magoli, kwenye hii album kuna ngoma inaitwa Where my crown at inayoonekana ni direct dis kwa Wakazi, kwa fan yeyote hahitaji kutumia nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.