Mwaka huu bado unashikiria record kwani ni mwaka ambao wanamuziki wengi walitoka zaidi ya miaka mingine toka bongo fleba ianze
1.noorah- vijimambo
2.Q-chief- aseme
3.ngwea-getto langu...
Kwa mliotazama game ya Coast Union Vs Mbeya City jana, vipi mfalme alifanikiwa hata kutoa pasi moja ? Sikupata muda wa kuangalia nasubiria marudio azam tv leo.
Hii ni habari njema kwa wasanii wa Tanzania kuona wanapewa heshima ya kutosha,tulishazoea kuona wanasiasa tu ndio wanapewa heshima kama hii,sasa ni zamu ya wasanii natamani siku nyingine kusikia...
Wiki iliyopita Msanii Baraka Da Prince alijigamba kuporomosha mjengo wa maana na kudai ametumia kiasi kikubwa sana na bado haujaisha. Jeuri hiyo ikapelekea hata kubadilika kwa kiswahili chake na...
Jana kwa mara ya kwanza kaanza ! coast vs mbeya city, nilikua ktk pilikapilika zangu sikuwahi kuuangalia, baadae saa 5 usiku ulirudiwa nikiwa job nikawa naibia jicho kwenye tv ili nimuone mfalme...
Salaam wakuu,
Ni miaka imepita lakini hii ngoma ya 'dhahabu' ni bonge la hit ambalo hadi leo ikipgwa lazima watu waamke. Je, katika wimbo huu unadhani nani ndio alifunika kati ya Joslyn,Blue au...
Wazee wenzangu wapenzi wa redio hasa rfa juzi apa napita mtaani nikaskia sauti ya presenter bora kabisa wa miaka ya 2000s anatema cheche
Uyu ndugu nilipata kumkubali sana hasa kwenye kipindi cha...
Jana usiku kutokana na mvua kubwa kunyesha ilibidi Diamond platnumz atangaze kusitisha show na kuahidi kurudiwa siku ya leo saa kumi jioni , Diamond amesema kuwa Show itakuwa ni buree
Wachawi...
Kilele cha mashindano ya miss world kimekamilika huku Kwa africa mashariki tukifanikiwa kuwakilishwa na Uganda ambao wamefanikiwa angalau kuingia katika tano bora.
Kama Uganda wamefanikiwa...
Jamaa allikuwa ndio diamond wa kipindi kile ilikuwaje akafeli kumnyonyoa huyu kigori alikuwa anaazima hadi magari kwenda kumlia mingo huyu mlimbwende wa taifa au dada kwa kuwa ni mchaga aliona...
Kwema wakuu,
Wengi wamekuwa wakinifata inbox kuniuliza kama malipo yetu ya fiesta tumeshalipwa yote. Kiukweli bado hawajamaliza lakini wametuahidi ikifanyika Fiesta ya Dar watakuwa wamekusanya...
Draw was fair results, nilikuwa namchukulia poa Furry but kaniprove wrong. Nimegundua Wilder alikuwa anakutana na wazembe wa Marekani, Leo ndo kakutana na fundi. Kilichombeba Wilder ni zile 2...
Chid Benz
Mkali toka ILALAAAAA dah amenikumbusha mashairi ya HIT SONG Mmenisoma.
Ndani ya ngoma kuna sehemu CHUMA ana ghani.... "mwenye dawa mfukoni nyonga tumeze".[emoji15]
Pia mbele kidogo...
HABARI ZA WEEKEND WAKUU
wakubwa shikamooni na poleni na mihangaiko ya weekend twende kwenye point
kama heading inavyosomeka hapo juu....hawa nitakaowataja naona ndio maproducer(bora) ambao...
Habari members!
Wimbo mpya wa chama la wana WCB utachiwa hivi punde kuanzia saa 19:00 East Africa kuanzia sasa.
Wimbo huo unaitwa Paranáwe.
Najiuliza hili siyo tusi jipya WCB wanataka...
Kwangu mimi ili mwanamke awe sexy kitu cha kwanza lazima awe na tumbo flat. Mange Kimambi is so sexy jamani.
Tutafuteni hela wanaume ili tuweze kumiliki watoto wakali kama hawa coz my experience...
Huyu dada kwa sisi tunaomjua tunajua alivyokuwa now days anajishauwa lakini enzi hizo wakati anatoka na pingu wa alikuwa mbovu sana kipindi kile anatokea kwenye video ya Joanith kama Video Queen
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Queen Darleen ameushangaza umma wa Wakenya baada ya kudai kwamba mtu akikosa kufanya mapenzi kwa muda mrefu anachanganyikiwa kabisa. Muimbaji huyo aliyasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.