Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kampuni ya simu ya MIC Tanzania (Tigo) imekata rufaa kupinga hukumu iliyoamuru iwalipe Sh2 bilioni wanamuziki wawili, Ambwene Yesaya na Hamisi Mwinjuma kutokana na kutumia bila ya ridhaa yao...
5 Reactions
74 Replies
12K Views
Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji...
8 Reactions
52 Replies
6K Views
WANYAMWEZI 15 WALIODONDOKA NCHINI KUUPA TAFU MUZIKI WETU. Hawa hapa wasanii wa nje waliowahi kuja nchini ni kubwa mno, lakini leo tunapenda tuangalie japo wasanii mashuhuri tu kutoka nchini...
4 Reactions
56 Replies
2K Views
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa. Kwa sasa watanzania wote macho na masikio...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Kuna wakati naona sijawahi kukutana au kusikiliza kazi za msanii smart kama TID. Huyu jamaa kama utakurupuka hutaelewa..he is the smartest artist on earth
1 Reactions
13 Replies
554 Views
Baada ya Mawakili wa Diddy kupinga uamuzi wa Mahakama ya Michigan kutoa uamuzi wa Diddy kumlipa Cardelo Smith $100 m kwa abuse aliyesema kufanyiwa na Diddy Katika appeal ya Diddy, Hakimu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Na kama anao hawamshauri au wanafurahi ndugu yao kuanika mwili wake uchi hadharani??
4 Reactions
359 Replies
133K Views
Katika usawa huu wa waandishi machawa, waongelea masihara pasipo masihara, dhihaka palipo serious, kuimba nyimbo za sifa, kuogopa ku-balance habari, kurusha habari za udaku muda wote angali zinazo...
0 Reactions
5 Replies
498 Views
USHINDI WA JOHARI. Muigizaji wa BongoMovie "Johari Chagula" ameshinda Tuzo 2 kwenye Tuzo za 'Music Video Awards 2024' (MVA Awards 2024) zilizofanyika nchini Nigeria usiku wa kuamkia leo. Tuzo...
5 Reactions
14 Replies
960 Views
Ni kweli kwamba kuna watu maarufu duniani, hata wana historia wanalifaham hilo. Wapo watu wengi maaruf mno kuliko hata 2pac lkn je kwann yeye kwenye t-shirt nk?
2 Reactions
9 Replies
488 Views
Moja ya matukio makubwa na ya pekee yalopata kutokea uwanja wa uhuru ambao enzi hizo uliitwa uwanja wa taifa Ni s tamasha la hayati Franco, mwamba wa muziki wa rhumba, katika tamasha hilo watu...
15 Reactions
45 Replies
8K Views
Watu wanaimba,wengine wana bana pua,wengine studio za kichina zinawashine suati zao...LAKINI..huyu jamaa... alikuwa mwanamziki kweli na kipaji kutoka kwa Mungu.Mfalme wa rhumba(Le grand...
11 Reactions
143 Replies
51K Views
Habari za chini ya kapet zinasema, mcheza filamu mwenye mvuto wa aina yake, Elizabeth Michael (lulu), amejifungua kwa operation katika hospital ya saifee, unaambia katika hospital hiyo kwa siku...
19 Reactions
88 Replies
22K Views
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Judith Mwangi 'Avril' ambaye alicheza kama video queen kwenye wimbo wa Diamond Platnumz 'Kesho' amefunguka na kusema hakuwahi kutoka kimapenzi na Diamond...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu nasikia connection za pdiddy zipo hewani. Mwenye nazo tafadhali. Nasikia hata Chai Jaba kaonekana huko! Umaarufu kazi. Kuna baadhi mpaka wanatambaa?
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Watu wa ulimwengu wa giza njooni hapa mtoe maoni yenu. Ukuaji wa diamond kutoka zero hadi hapo alipo umekuwa wa kasi isiyotegemewa. Amezungumza akiwa anajiamini sana kuwa atakuwa tajiri namba...
2 Reactions
64 Replies
4K Views
Wakati muziki ndio unajitafuta kuna ma producer wengi walipambana sana kwa uchache P funk Master jay amit mental Said komorien Roi KGT Mika mwamba Jonnas Complex Mr ebo Lamar Dunga Baucha Bonny...
1 Reactions
8 Replies
289 Views
Hali ya Msanii wa Hiphop Rashidi Makwilo (Chidibenz) inasikitisha sana sana, Siku za hivi karibuni amekua akiishi Msasani (Maandazi road) maskani moja na mateja, Kinachonisikitisha zaidi jamaa...
82 Reactions
283 Replies
13K Views
HISTORIA FUPI YA MSANII SUMA " G" A.K .A SILAHA MANENO KIPAJI HALISI KUTOKA USWAHILINI... Kiukweli mimi kama "suma G" katika industry ya Muziki wa Bongo fleva wimbo wangu wa kwanza...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwanamuziki Mkongwe na gwiji wa muziki katika miondoko ya Country, Mmarekani Kenny Rogers amefariki usiku wa kuamkia leo huko Sandy Springs, Georgia, Marekani Familia yake imesema Rogers...
12 Reactions
99 Replies
12K Views
Back
Top Bottom