Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo Nash mc? no Nikki mbishi no ila jamaa kawa kauzu hatari
4 Reactions
121 Replies
18K Views
Winnie Harllow(24) na Wiz Khalifa(31) waangukia katika penzi zito || . Rapper huyo amesema supermodel huyo si tu kuwa ni mrembo bali ni mtu mwenye kujielewa pia. Amberose ambaye alikuwa mke wa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Ila Haka katoto kanakuja kwa kasi aiseh, juzi tu kahongwa volkswagen kwenye birthday yake , Leo tena kahongwa BMW , naona wambea tumechonga sio yake kaamua kutuumbua na kadi ya gari, mmh mwaka...
6 Reactions
68 Replies
12K Views
Msanii Young Dar es salaam mbali na kipaji kikubwa cha muziki alichonacho lakini suala la kutokujielewa ni kizuizi kikubwa cha maendeleo yake. Wajanja wengi wanatumia mgongo wa young D kupiga...
7 Reactions
27 Replies
6K Views
Mmh mbona balaa tena mujini, Ila wema mchafu, sasa dogo janja jamani c mume wa uwoya , na uwoya alikua kwenye birthday yake mlimani , kumbe bibie anamendea pipi ya dogo janja... mmh mi mwenzenu...
8 Reactions
206 Replies
31K Views
  • Closed
Mchumba mpya wa wema sepetu amepost [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
2 Reactions
38 Replies
14K Views
Nominees and Winners Winners are in bold text. Best Male Singer Banana Zorro Ali Kiba Christian Bella Marlow Mzee Yusuph Best Female Singer Lady Jaydee Khadija Yusuph Maunda Zoro Mwasiti...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Wenyeji wa Huko SnapChat sijui Instagram mtujuze haya mambo yamekaaje kwamba Zari eti anatoka na Moze Katumbi,imekaaje hii? au ndo upuuzi wa Shigongo?
4 Reactions
56 Replies
10K Views
Hatimaye cmg wameamua Kumsajili mavoko kwenye list ya wasanii watakaoperfom fiesta ya moshi.. Itakayopigwa ndani ya uwanja wa Majengo...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Habarini Wadau, Mbona waigizaji wa Mizengwe ni wazuri sana na wana vipaji ila hawapewi recognition sana kama comedians wengine? Japo kipindi chao cha jumapili kinachorushwa na ITV ni kifupi ila...
38 Reactions
122 Replies
17K Views
Watu wengi wanaongea sana kuhusu wasanii ni Malaya mfano daimond ,wema n.k. Tambua wale ni manistaa wanajulikana so kila mwanaume/mwanamke watakao kuwa nae lazima ijulikane. Amini nakuambia huyo...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wasanii Bilnas na Nandy wanateegemea kupata mtoto na kuna uwezekano mkubwa akawa wa kiume. Taarifa zaidi inafuata
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Huyu dada aliyekuwa akipigwa mkonga kwenye jumba la Big Brother yuko wapi? Akiwa kwenye jumba hilo alikuwa na kisirani kama ana mimba, anaye jua aliko aseme
4 Reactions
104 Replies
29K Views
Dahh yani vijana na waze ote mwendo 1
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasanii wakibongo wengi wamekuwa mstari wa mbele sana kulilia haki zao kuwa wanaibiwa (kweli wanaibiwa sana),lakini hivi nyinyi wenyewe hamuoni mnavyowaibia na kuwadhulumu maproducer.Ukienda mbele...
12 Reactions
24 Replies
5K Views
Irene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Ni shabiki wake sana, japo nampenda zaidi Dully Sykes. Jamaa nilimuona Posta mwezi huu mwanzoni, nikamwita "Simbaa". Hakuitika nikamwita tena akiwa mbali hakuskia ila kuna kabaunsa kakamgusa...
50 Reactions
102 Replies
11K Views
Nimesikiliza nyimbo nyingi sana kwa kweli japokua muziki umejaa vichaa mimi sijawahi kuona mwanamziki wa muziki wowote ule anamtukana MUNGU waziwazi hata kimya kimya mimi sijui. Ni jambo gumu sana...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Sasa Mama tawile umetoka kwa diamond unaenda kwa billnass? Au ndo stress zinakusumbua? , na Nandy si ni shoga yako jaman ? Yani mastaa wa bongo kwa kushea ndo wanaona fashion , Ila shoga yangu...
5 Reactions
64 Replies
11K Views
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda. Uchunguzi uanze upya
4 Reactions
187 Replies
39K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…