Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na...
Mshindi namba moja wa ulimbwende mkoa wa Kinondoni, Queen Elizabeth amejinyakulia na kutawazwa mshindi wa Miss Tanzania mwaka 2018 baada ya kuwashinda washiriki wengine 19. Mshindi huyo...
Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha ameamua kuwatolea uvivu Shilole akimtaka aache kupenda vya dezo apambane na hali yake.
Wiki mbili zilizopita Shilole alikaririwa na...
Mchekeshaji Emmanuel Mathias aka MC Pilipili ametangaza tayari amempata mwenza wake katika mahusiano na hivi karibuni wataingia kwenye maisha ya ndoa.
MC huyo maarufu kwa sasa siku ya jana...
Nilihuzunika sana Diamond alisema Mbeya hakuna hotel yeye yenye hadhi yakufikia.
Kwanini ametudharau hivyo? Nayeye wa kwanza kuimba anatoka Mbagala.
Je hapigi show vijijini?
Je huko analala...
Mnisahihishe kizungu hapo kwenye heading km mmekosea mana lugha ya malkia hii!!
Tusiandike mabaya yake pia na mema tuyaone pia!! Hamissa na deo kithama watakua wao ndo ma host kwenye Miss...
Baada ya mabinti hawa kupoteza wenza wao mmoja akimpoteza mmewe wa kwanza baada ya kufariki na mwingine ambaye ni trace chocolate kuachika kutoka kwa mpenzi wake msanii Aslay
Hivi sasa hawa...
Sio maneno yangu ni ya Mchungaji Mzee wa Upako
Alipohojiwa na Times Fm
Kwani watu wanapenda kuwa maskini jamaa mbona huyu Baba anajisahau?!
We Mchungaji wewe Mungu anakuoonaa!
Video hapa chini...
Baada ya joh kusikia Fid q anaachia album yake ya kitaaolojia kesho Joh ameamua kuachia ngoma yake mpya inaitwa simwachii mungu halaf atatoa ngoma kila jtatu mpka tarehe 27.
Ikiwa wimbo wa Seduce me ulioimbwa na msanii Alikiba umetimiza mwaka mmoja leo toka uachiwe leo ni vyema tukachambua maudhui ya wimbo huu.
MAPENZI
Mapenzi ndiyo dhamira kuu ya wimbo wa seduce...
Kwema wakuu
Katika pitapita IG nimekutana na post ya bodyguard wa msanii Diamond akiendelea na majukumu yake mengine(kapata boss mpya)
Najua hapa Jf kuna wajuzi,nipeni ronja nini kimemsibu huyu...
Siku ya leo clouds FM kwenye show yao ya xxl walikuwa na mahojiano na Dogo Janja na katika mahojiano waligusia ndoa ya Dogo Janja na Irene Uwoya katika madai yao watangazaji Adam Mchomvu na Dozen...
Msanii wa kizazi kipya, Vanessa mdee amekamatwa na polisi leo mchana, hata hivyo sababu ya kukamatwa kwake bado haijajulikana.
=====
MSANII VANESSA MDEE AKAMATWA NA POLISI JIJINI DAR
Jeshi la...
Mpaka sasa nimeshakula block za watu maarufu wafuatao:
Malisa Godilisten
Huyu ni Kamanda wa CHADEMA ameniblock Facebook toka msiba wa komba. Kipindi hicho cha msiba nilipishana naye pale...