Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jokate ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe. Amefurahi na kumpa hongera kuteuliwa was jokate mkuu wa wilaya ya Kisarawe akiongea na Millard Ayo tv
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Au Q chief ukipenda . Tumpe sapoti asiwe frastreted tena.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu leo ndio imethibitika kuwa Rich Mavoko ameshajiondoa WCB.Hii imebainika baada ya Mavoko kuachia wimbo mpya leo wa HAPPY huku ukiwa umerekodiwa studio nyingine tofauti na wasafi records...
7 Reactions
119 Replies
26K Views
Sio kwa lugha ya humo ipo siku kila mtu atasema dogo anajua. Msikilize hapa Mbosso-nipepee
3 Reactions
56 Replies
15K Views
Kanye West '41' amesimamisha kazi zake zote kwa sasa ili kuwa karibu na baba yake ambaye anaugua saratani ya tumbo. . . Mzee Ray West ambaye anapata matibabu mjini Los Angeles anaendelea vizuri na...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Wanajamvi salaam! Hivi karibuni msanii Diamond Platnumz alipelekewa taarifa ya TRA assessment ya kudaiwa kodi ya kiasi kisichopungua milioni 400, Wadau mbalimbali walijitokeza kumtetea akiwemo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Anajulikana Kama Jacky Pemba alikuwa akiishi Bongo Zaman Akina Fm Academia Akina Bella na Bendi yake wamezifaidi hela zake sana Huyu Jamaa kiufupi ni tajiri (Nasikia utajir wake umekuja kutokana...
5 Reactions
108 Replies
25K Views
Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amefunguka huwa anasikia raha kutovaa chochote. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate...
2 Reactions
143 Replies
43K Views
Moja kati ya viumbe vinavyoishi maisha ya maigizo ni wasanii wetu wa Mziki na Maigizo hapa tz, Ukiangalia maisha wanayoishi wengine kwa kuigiza na wengine kwa kutumia vya kwao kweli lakini sio...
14 Reactions
34 Replies
4K Views
Wanajamvi nnaomba kuwaulizia hawa watu walikua na kipindi cha mahusiano, hivi bado wanaendelea na kama ndio kipo lini na saa ngap maana wengine tunapata shida kujua vpnd vya tv vpo lini na lini...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Nauliza tu.utaona msanii kama hajatoga sikio basi kavaa heleni za kubandika.
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Hichi Kichwa nilikiona kwenye Komaa Concert ya EFM Mwanza hakika kwa upande wa kina dada yeye ndie aliegusa nyoyo zetu wasukuma na kutuacha Hoi, Kama kuna mtu ambaye yupo karibu nae huku Tafadhali...
0 Reactions
70 Replies
12K Views
The hit maker wa "Heart attack" na RnB super star Trey Songs bado anasumbua kwenye social networks kuhusiana na ishu yake ya kua shoga. Kupitia ukurasa wake wa tweeter aliwahi ku-confess kua yeye...
0 Reactions
57 Replies
12K Views
WENGI ukiwauliza kuwa wanamfahamu vipi Kojate Mwegelo, jibu lao litakuwa ni Mshindi wa pili wa Miss Tanzania mwaka 2006. Wengine watakuambia ni Miss Temeke mwaka 2006 na pia Balozi wa bia ya...
0 Reactions
61 Replies
26K Views
Waungwana salamu kwanza! Katika pitapita zangu YouTube nimekutana na remix ya wimbo wa diamond "sikomi" ukiwa umeelezwa kuimbwa na Zari. Nimesikiliza ndani pia naona mwanadada aliyeimba humo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
DONGO! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond' amemuita mpenzi wake wa zamani Jokate Mwegelo kuwa ni makombo na kudai kama zilipendwa huyo anatembea na hasimu wake Ali Kiba, hakuna...
3 Reactions
182 Replies
37K Views
Nimekuwa nikiona hawa watu wanne wakiwa karibu sana na kushirikiana sana katika mambo mbalimbali hali iliyonifanya nijiulize kuna uhusiano gani. Najua lazima watakuwa ndugu lakini sijajua ni...
1 Reactions
41 Replies
12K Views
Hakika hawa vijana ni mfano wa kuigwa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa dar kijana machachari paul makonda ,wamekuwa wakinivutia sana pia na kijana william malecela au lemutuz nae ni mfano wa kuigwa...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
MWANAMUZIKI ambaye hivi karibuni aliachia wimbo wake uitwao Mipaka, John Simon ‘Joh Makini,’ amefungukia kupotezwa kimuziki na baadhi ya wanamuziki wanaofanya vizuri kwamba si kweli, bali...
4 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom