Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jamani naanza kuona nandy akiweka Akili chini na kuanza kutumia matope. Huyu dada kafanya interview kwenye The playlist ya Times Fm na amesema eti akitaja wasanii watano matajiri Tanzania basi...
0 Reactions
101 Replies
18K Views
Jana (280212) nilishuhudia mtangazaji bora wa kike 2011 Zamaradi Mketema akisema kipindi chake maarufu hakitakuwa hewani (mwisho wake) akiwa anamhoji Kanumba......nilisubiria kwa hamu nione...
1 Reactions
46 Replies
14K Views
Mayasa Mariwata na Hamida Hassan Skendo? Wakati akiwa na mkataba wa shilingi bilioni nane na nusu wa bidhaa zenye nembo yake kutoka Kampuni ya Rainbow Shell Craft, mwanamitindo maarufu Bongo...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Moto wa maneno makali kati ya 50 Cent na Floyd Mayweather Jr umeendelea kuwashwa na wawili hao kwa mara nyingine tena kwa kudhalilishana kifedha. 50 Cent na Mayweather Jr Floyd Mayweather ndiye...
3 Reactions
45 Replies
9K Views
Wakuu mara kadhaa nimejaribu kuangalia hii tv na imeishia kunichosha tu... Kwa kifupi nilitegemea itakuwa tv ambayo italeta mapinduzi katika sekta ya burudani lakini imekuwa tofauti kabisa...
9 Reactions
46 Replies
9K Views
VIDEO Queen Sasha Kasim ‘Kim Sasha ’ hivi karibuni amedaiwa kutapeliwa pesa za gari na mpenzi wake (jina linahifadhiwa) ambaye ni mume wa mtu kitendo kilichomsababisha adate na kukimbilia Zanzibar...
0 Reactions
160 Replies
38K Views
Hii imejumuisha wanamuziki, waigizaji watangazaji nk. Naona Tanzania huku ndio tunakojivunia Nigeria na Tanzania ina mastaa wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram barani Afrika...
0 Reactions
41 Replies
28K Views
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu akishuka kwenye usafiri wa bajaj wakati alipokuwa katika majukumu yake ya kila siku ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Ilala. #ZUNGUKAZINI
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Ni kwanini hamna hata mmoja ambaye ameenda maana kujenga msikiti tu haitoshi
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Msanii nguli wa Hip Hop, Emmanuel Elibarik maarufu kama Ney wa Mitego anadaiwa kupokonywa magari mawili aliyokuwa ameyachukua kwa mkopo baada ya kushindwa kurejesha mkopo huo
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Dar es Salaam: Mwanamitindo Jokate Mwegelo amegeuka ‘Mbogo’ baada ya kuulizwa habari inayohusiana mwanamuziki Ali Kiba. Jokate Julai 26.2018 alitia timu katika arobaini ya mtoto wa mtangazaji...
3 Reactions
146 Replies
20K Views
Mzazi mwezie na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zari ameukataa ugeni wa mastaa wa filamu kutoka Tanzania Wema Sepetu na Aunty Ezekiel. Marufuku hiyo ya Zari imekuja masaa...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Wanandugu sasa naweza kuruka na atcl;nilikuwa nailaani sana hasa baada ya kushindwa kunisafirisha miezi iliyopita;majuuzi niliamua kwenda mwanza hakika walinifurahisha tangu huduma za ndnai mpaka...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mama mzazi wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers, mtunzi mahiri wa hadithi, mjasiriamali na motivational speaker, Eric Shigongo, Asteria Kapela amefariki dunia alfajiri ya Ijumaa, Julai...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
 Wanasema ilianzia kwenye video ya wimbo wa ‘BLACK OR WHITE’ Ujumbe wa siri unao patikana kwenye wimbo huo ni kwamba Michael Jackson anawaambia Illuminati wao na yeye sasa ni basi. Katika wimbo...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Nikiwa nasherehekea ujio wa mtoto wa tatu katika Ndoa Yangu nataka niandike haya machache katika jukwaa hili ili ndugu yangu shemeji yangu Rayvanny uokoe roho yako. Mambo mengi yametokea huko...
4 Reactions
49 Replies
8K Views
Hii ni miongoni mwa filamu ya kibongo ambayo uwoya alifanya vizuri mno
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu hivi yule Godwin Gondwe Mkuu wa Wilaya ya Handeni alikuwa pedeshee hapo nyuma kabla ya kuwa DC? Nimemskia kwenye kibao cha Papii Kocha na Mzee Viking kiitwacho Seya.
2 Reactions
20 Replies
8K Views
1. Mc Lyte, 1991 My mother put me in weusi shule which means black school in swahili MC Lyte kwenye ngoma ya krs 1 heal yourself. 2. Nas na Damian Marley, 2010 Nas and I can speak rap star Y'all...
15 Reactions
223 Replies
37K Views
Back
Top Bottom