Mara nyingi huwa najiuliza hivi huyu dada salama jabri wa BSS na Channel 5 je ni mdogo wake yule jamaa wa kuiga miziki wa zamani wa bongo Saleh Jabry au ni majina tu yanafanana??
Pili huwaga...
Kila star Ana star wake
Hapo ni JB Jacob Steven akiwa anafurahiii kukutana na coutinho,
Picha Nyingine ni FA na boateng
Mara nyingi anayecheka na kufurahi sana ndo anakuwa naomba selfie,
Pia...
Ni takribani sasa masaa 16 views za wimbo wa Ali kiba zimesimama na hazibadiliki , zinasoma laki saba na ushehe kwa takribani saa 16.
Kiufupi zimeganda na si kwamba haiangaliwi no inaangaliwa...
With all respect to Ali Kiba na fans wake ila ukweli lazma usemwe Ali hawezi enda toe to toe na Diamond yaani hata CMG wambebe vipi tena waongezeke na East Africa radio +media nyingine ziongeze...
Kupitia ukurusa wake wa instagram , mjasiriamali maarufu na mzazi mwenzie na diamond Platnum's, zari the bosslady aka kiboko ya masista duu africa mashariki, amepost ujumbe wenye UTATA na kuwaacha...
Ikiwa Elizabeth Michael (Lulu) aliyehukumiwa miaka miwili gerezani kwa kosa la kuua atakuwa amepewa msamaha wa Rais Siku ya muungano tarehe 26/04/2018 kwa robo ya kifungo chake kama alivyopewa...
kuna vitu wasanii wanatufanya wajinga hata kirusi cha kuharibu data hatujui leo tukashindane na google kwenye youtube kudukua aka hack kweli [emoji23][emoji23]
Katika hali isiyotegemewa na wengi especially kwa mastaa mafahari wawili, namzungumzia wema sepetu pamoja na jackline wolper ambapo wawili hao walikua hawaivi chungu kimoja , Ila sasa hivi...
Sasa ndo naamini kwamba wafanyakazi wa clouds wana Mapenzi Diamond na bado wanafurahia kazi zake,na Wana Mmiss pia isipokuwa tu wanaogopa kibarua kuota nyasi kwa vile bosi wao ana chuki binafsi na...
Msanii wa filamu nchini Steve Nyerere amedai kwamba msanii wa muziki Khalid Mohamed maarufu kama TID ndiyo msanii kutoka Tanzania ambaye alifungua milango kwa wasanii wengine wa muziki nchini...
Morning beatiful people
Ther is rumors spreading all over the jiji kuwa
Elizabeth michael She's free!
Well, kinda lulu left prison on May 11 baada ya kukaa miezi kadhaa behind...
Robert Nesta Marley maarufu zaidi kwa jina la Bob marley,alifariki siku kama ya leo 11-may-1981
Bob marley alizaliwa Jamaica tarehe 6-2-1945 kwa mama mjamaica Cedella malcolm booker,na baba yake...
Leo mawingu tv kumnadi msanii kuanzia vipindi vya asubui mpaka vya usiku na mapicha picha kwenye mitandao imekaaje? kisa tyu anaachia ngoma au ndio yale anayosema roma NGOMA INATOKA SEPTEMBER...
Ikiwa leo ni siku maalumu kwa ajili ya mahojiano ya kiba pale mawingu (clouds) media, wenyewe wanakwambia ALIKIBA DAY. Baadhi ya maswali aliyoulizwa ni jinsi alivosalimiana na hasimu wake mkubwa...