Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nnje ya mziki biashara ya matangazo kwa makampuni makubwa imekuwa inalipa wasanii wengi na hivi majuzi Diamond amevuta mkwanja wa Billioni 1 kukitangaza kinywaji cha ufaransa cha Bllaire Lakini...
4 Reactions
74 Replies
16K Views
Leteni habari zao walipo na impact yao. Ningeongeza Unique Sisters na makundi mengine yaliyokuwa yanavuma 1990-2000 Itakuwa si vibaya mkatupa habari za kumbi kama Langata, gazeti la Sani, akina...
2 Reactions
80 Replies
17K Views
Huyu mama anafukuzia miaka 80 sasa na sauti yake inaanza kuchoka, Lakini ameutendea haki wimbo mgumu ambao wasanii vijana wengi hawawezi kuuimba. Uwezo kama huu tunategemea mtu akifika miaka kama...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Hatimaye sasa wcb na efm wanafanya kazi pamoja ili kuupeleka muziki wetu kimataifa. Leo alikaribishwa msanii wa wcb baada ya muda mrefu ili kufanya interview. Wale wanafki wanaoendelea kubana...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Harmonize ameupasua mtandao wa Instagram kwa mshangao baada ya kuweka wazi bei ya zawadi ya saa ya mkononi aliyonunuliwa na mpenzi wake, Sarah. Kupitia kipande cha video alichoweka akiwa...
0 Reactions
115 Replies
23K Views
Salaam Kuna ili kundi la muziki la kizazi kipya linajulikana kama THE MAFIK kwa mara ya kwanza niliwaona wakipiga live(siyo playback) pale Zanzibar na limekuja kwa kasi kuteka mashabiki wa...
2 Reactions
35 Replies
13K Views
Akiwa ameweka vionjo vya nyimbo zitazopatikana kwenye album yake mpya ya a boy from tandale. Washabiki wamepagawa sana wakionyesha mzuka wa hali ya juu. Leo ameweka nyimbo alizoimba na Lavalava...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Ikiwa kuna kitu kinasubiriwa kwa hamu sana ni JACKIE CLIFF kuachiliwa jela alikofungwa kule China. Sema atahit headlines Sana akirejea bongo alafu wengi tumejipanga kuenda kutafuta kick pale...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Show gani unaikubali kati ya Bakora show na Jambo na vijambo? Mimi naikubali Bakora show
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msanii nguli wa filamu Tanzania Blandina Chagula alimaarufu kama Johari amefunguka na kuweka wazi sababu kubwa inayomfanya ashindwe kwenda kumtembelea msanii mwenzake wa filamu Lulu Michael...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ukiangalia waimbaji wa nyimbo za kiimani angalau wakatoliki na wasabato na baadhi ya kwaya kubwa hasa AIC na KKKT. Nikiangalia hii channel inaitwa Star Religion wanaonyesha nyimbo za injili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Daddy is coming!??? Meneja wa WCB, Sallam SK amesema suala la nyimbo 2 za Diamond kufungiwa na BASATA wiki iliyopita hawezi kuliongolea kwa kuwa tayari wamelifikisha kwa Mlezi wa Lebo hiyo ambaye...
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Wema Sepetu amesema kwa sasa ameshamaliza tofauti zake na Diamond Platnumz na kuwa kwa sasa amekuwa Boss wake kwa kuwa amemuajiri Wasafi TV Wema amesema hawana uhusiano wa mapenzi ila wanapeana...
7 Reactions
135 Replies
20K Views
Habarini wakuu, kwa muda sasa wasanii hapa Tanzania wamekuwa wakilalamika kuhusu kitu kinaitwa HAKIMILIKI na imekuwa shida sana kufanikiwa, kila siku wanapigwa danadana, shida hasa imekuwa wapi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Za muda huu wanajamvi, najua mko poa na kwa wengine wenye mushikhir na miili yao MUNGU awaponye. Kama heading inavyosema, najua kuna wahusika mko humu jamvini, BASI HUU UZI NI WA KWENU. Nianze...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Mfalme wa singeli nchini Tanzania, Msaga Sumu amefunguka na kumtaka rapa Fid Q akae kimya kama alivyofanya mwenzake Afande Sele kuliko kuonesha wivu na roho mbaya yake katika kuzungumzia vitu...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Huyu dada huwezi mfananisha na celebrities wa kike wa kizazi hiki,kuna nyimbo zake ukizisikiliza,hata ulikuwa na mawazo yanaisha,,Mungu amlinde tu,maana matatizo ni kwakila mtu
0 Reactions
4 Replies
986 Views
Jamani mnaofahamu Oscars ni kitu gani nisaidie kuielewa. Inahusu nini hasa, it is a highly celebrated and placed event in the USA and perhaps around the world! Naweka link ya washindi wa mwaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Habari wakuu, Nimeona baadhi ya posts humu JF watu wakitaka kunitahamu. Nimeona kistaarabu nije na kueleza mwenyewe wasifu wangu. Kwa jina naitwa ‘Carol Ndosi’, jina la Serikali Caroline Moses...
73 Reactions
137 Replies
39K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…