Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

WAPENDWA BWANA YESU ASIFIWE; kutokana na maisha magumu na yaliyojaa na kila aina ya mkanganyiko wanadamu wengi tumexchanganyikiwa na kukuta tunafanya mambo yasiyokuwa sahihi.kibaya zaidi naamini...
0 Reactions
97 Replies
20K Views
Ndugu zangu wana JF mie sie mpenzi sana wa hili jukwaa ila kwa siku ya Leo imenibidi niingie hivyo hivyo Miaka 7 nyuma Tanzania ilipiga hatua kubwa sana kwenye tasnia ya filamu na tasnia hii...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Masanja mkandamizaji ametembealea mgodi wake wa dhahbu na kuonyesha zoezi zima la uchimbaji dhahabu linavyofanyika
10 Reactions
96 Replies
23K Views
"Diamond is on probation and is managing well so far. I can even date 100 men because I love being loved, even if I leave Diamond today I will date someone else tomorrow. Diamond is still fighting...
15 Reactions
145 Replies
21K Views
Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.
2 Reactions
56 Replies
7K Views
1.Masimango-Waziri Sonyo TOT PLUS 2.Mpende akupendaye-Abdul Misambano TOT PLUS 3.Tunda Rmx-Mwijuma Mumin TAM TAM
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Lagos jana palikuwa na show ya kukata na shoka pale mwamba wa africa adeleji au wizkid alipoitisha show ALIYOIPA...
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Huyu jamaa yuko wapi mbona kapotea haraka kusikojulikana? Meneja wake atoe majibu haraka tujue jamaa yetu yiko wapi na nini kimemsibu maana tulitegemea msimu huu wa sikukuu angemuandalia tena show...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Huku ukonga kuna hawa wasanii walikuwa wanaitwa Mapacha Wawili walitamba na kibao chao cha "Ni Rafiki tu" ni watu watu waliopoteza uelekeo na tunasema bolts zimechomoka yani no network at all...
8 Reactions
79 Replies
14K Views
RASILIMALI MKE. Ukiujua huu Utamaduni vizuri, utapata Mke Mwema na mlezi wako kutoka Mabinti walio wahi kushiriki Mashindano ya Warembo. Vichupi vyao jukwaani sio tija ila ni jàdi ya mashindano.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Halla kwa wanajamii wote, huku tukiendelea kuenjoy long weekend ebu tujadili kidogo. Kama kawaida napenda muziki mzuri pasipo kuwa na ushabiki au team maandazi. WCB nawakubali sana, kumejaa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana...
27 Reactions
114 Replies
15K Views
bizzman alitoa wimbo wake mmoja mkali, ulikua ukichezwa daily radio one sterio. ulikua unaitwa "ametoroshwa mpenzi wangu" hihi kisa naona kama ni cha kweli maana jamaa alikua analalamika sana...
6 Reactions
38 Replies
12K Views
Msanii Ney wa mitego amedai anaimba ukweli ndio maana hata aliyoyasema kwenye wimbo wake wa shika adabu yako amesema yamekuja kuthibitika ametolea mfano kuwa wema sepetu mimba yake iliyeyuka kama...
10 Reactions
83 Replies
11K Views
WARAKA MAALUM KWA WASANII WA BONGOFLEVA. "MZIKI BILA VINA UNAWEZEKANA" Kwanza pokeeni salaam zangu za Krismas na mwaka mpya 2018, Mimi ni mwenzenu Deogratius Nalimi Kisandu kwa jina la kisanii...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Video: Rose Muhando - Magufuli Tubebe
1 Reactions
13 Replies
21K Views
Kwa hakika huyu bwana mdogo Rayvanny ni sheeeeda maana si kwa mikwaju hii walahi daaah. Huu wimbo alio shirikiana na DJ Maphorisa ni nyooooka Yaani huu wimbo hauchoshi kuusikiliza wala...
1 Reactions
61 Replies
11K Views
habari wadau.. naona rais wa WCB mambo ya vyuma vimekaza yeye hayamuhusu.. maana hela anachukua kwa wateja wake waliopo dunia nzima... zawadi ya harusi ya dj wake mr romy jones ni nyumbaaa...
16 Reactions
88 Replies
23K Views
Wakuu. Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida? Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma...
6 Reactions
122 Replies
13K Views
Sijui kwakweli kama hawa jamaa walikuwa serious.. Au huenda walipishana lugha. Nafikiri hawakuelewana kabisa.. Kinachoimbwa hakirandani hata kidogo na video Wimbi mzuri kweli..ila humu ndani...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Back
Top Bottom