Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ameyasema hayo leo kupitia ukurasa wake wa istagram Hatimaye lile swali na kutaka kumjua bwana harusi limepata majibu kutoka kwa muhusika mwenyewe
1 Reactions
62 Replies
21K Views
Baada ya Irene Uwoya kufunga ndoa Jana japo bado mume aliyefunga Naye hajamuweka wazi rasmi japo kuna uvumi ni Dogo Janja. Kutokana na watu waliohudhuria sherehe Hiyo. Jambo la kushangaza...
11 Reactions
321 Replies
56K Views
Jana ameonekana maeneo ya Moshi Kili Home akipata mizinga kadhaa huku anapiga kelele. Alikua ananipendeza akiwatia moyo wanawake wenzie. Kwa unywaji na kelele zile amenidisapoint kabisa. Ni...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Natumaini mpo salama ndgu zangu wa Wana JF....,Leo Katika mitandao ya kijamii,zimesambaa picha za JOTI AKIWA kanisani akiharalisha jiko na kuliweka ndani,hapa Nampa pongezi. Ila Huyu bwana harusi...
2 Reactions
193 Replies
29K Views
Producer Daxo Chali ambaye anafanya kazi zake katika studio za MJ Records hapo juzi alitangaza kuacha kumsimami msanii Nini kupitia studio hiyo, lakini stori za sasa zinadai chanzo cha hilo ni...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari za kunyapia zinadai wawili hao walikuwa hawapikiki sufuria moja ila walijikaza kidume kutoonesha hadharani hadi pale wenye mji walipowaita na kuyamaliza kwa amani,kwa sasa wanajipanga kuja...
14 Reactions
70 Replies
11K Views
Kama inavyofahamika kuwa mtu anapokuwa na majukumu mengi hususani ndoa huwa anakuwa serious sana.Hii inatokana na mambo mengi yanayomkabiri mtu ikiwemo magomvi ya hapa na pale, ni kawaida kwenye...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mambo ya watoto wa Mujini haya, akipesindikizwa na Amber lulu
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Jamaa kala shavu bana, anachukua matukio muhimu kwa niaba ya raisi, pongezi zimwendee kwa jitihada binafsi zilizompelekea hadi akafika huko. Ninamwona raisi jakaya pale ambapo kuna tukio zuri la...
3 Reactions
37 Replies
13K Views
Kwanza nianze kumpongeza msanii mwimbaji Nikki wa pili ambaye kwa mujibu EATV anasoma PhD kwa sasa. Tanzania atakuwa msanii wa ngapi kuwa noyo PhD? Afrika Mashariki je Afrika Mashariki na Kati...
2 Reactions
64 Replies
8K Views
nimejivika uhusika wa Lulu kwa kesi inayomkabili,nahisi ningekua ni mimi kabla ya hiyo tarehe13 Nov ndugu zangu wangekua wamenizika tayari kwa msongo wa mawazo ila nampongeza kwa kuwa strong mpaka...
2 Reactions
107 Replies
12K Views
Kufuatia tetesi hizo vyombo mbalimbali vya habari na mashabiki wao wameibuka na kuhoji bongo muvi kunani? Maana ni juzi tu Wolper kaibuka na kiben teni leo hii ni Uwoya Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Uwoya amedai hajawahikuachana na mumewe Ndikumana ila hawapo pamoja kwa sababu ya mwanaume huyo yupo busy na kazi Pia amesema hamjui Harmo rapa zaidi ya kumsikia mitandaoni na watu wamekuwa...
2 Reactions
24 Replies
10K Views
Kipindi cha FNL kinatazamwa na watu wengi sana. Sasa kuna jamaa mmoja wamemweka pale anajichetuachetua tu kama zezeta, Mara ainame, mara aoneshe mlegezo, atembee kwa kujirusharusha, mara ajirambe...
16 Reactions
122 Replies
23K Views
Kwenye Instagram zao mastaa hao wamepost waki safiri toka dar siku moja na wote wamepost picha wakiwa dubai same day then wote wamepost wakiwa china same place ila hawajapig picha pamoja.. Ambapo...
4 Reactions
82 Replies
24K Views
habari wadau.. hivi wasomi wa kuajiriwa taasisi za uma na private sector.. kipato chao hakiruhusu kufanya harusi za ukweli.. kama ambao hawajaenda shule kina joti wanavyozifanya... je ni vipato...
6 Reactions
43 Replies
8K Views
Sheikh aonesha kutoridhishwa na mwenendo/style anaokwenda nao mwanamziki nguli nchini diamondplatnumz....asema life style yake kwa sasa haiendani kabisa na miongozo ya imani/dini yake ya...
6 Reactions
98 Replies
17K Views
Enzi za mapenzi motomoto
0 Reactions
2 Replies
3K Views
rayctanzania: Unajua nini ! Kwenye maisha usimuogope binadamu mwenzio ila muheshimu tu kama na yeye anakuheshimu lakini ! Maana kuna binadamu wengine wanajihisi kama wao ndio Mungu vile ! Afu...
1 Reactions
70 Replies
10K Views
Back
Top Bottom