Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Yanga Africa Aungurumapo Simba Ohh.. Wapumzike kwa amani.
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Habari wakuu, Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana...
2 Reactions
98 Replies
29K Views
Diamond Platnumz ni msanii wa 19 Duniani Kati ya wasanii wanaosikilizwa zaidi kwenye kituo cha BBC RADIO LONDON,Uku WizKid toka Nigeria ikishika ya 12. Uku nafasi ya kwanza ipo na Ed Sheeran na...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Kumekuwa na watu hapa wakimkandia marehemu kanumba kwamba alikuwa eti anakabaka ka lulu,kwanza nianze kusema ya kwamba hata bongo movie wengi wanajua mengi na mtaani yanaongelewa,ni kweli lulu ana...
12 Reactions
132 Replies
26K Views
Msanii wa Bongo Movie Irene Uwoya Sasa rasmi amebadili Dini yake ya awali na kuwa Muislamu na kutumia Jina la Sheila. Msanii huyu amechukua uamuzi Huu baada ya kupata bwana Mwenye Imani ya...
0 Reactions
135 Replies
58K Views
Baada ya kukana kwa kipindi kirefu kuwa na ujauzito hatimae aika aonyesha hadharani tumbo lake Inasemekana ni ujauzito wa Nahreel ambaye ni mpenzi wake na pia msanii mwenzie kwenye group la...
1 Reactions
88 Replies
11K Views
Msanii wa muziki mwanamama Lady Jaydee ameyaongea hayo akihojiwa na mtangazaji Jonijoo kwenye now you know
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Harusi ya mchekeshaji mahiri nchini Jotti itaonyeshwa live na Azam Tv kupitia chanel yake ya Sinema Zetu kuanzia saa tatu(3) kamili usiku live kutoka mlimani City. Joti ameahidi burudani na vitu...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Matukio katika picha mchekeshaji joti akiwa na mkewe mtarajiwa kwenye sendoff paty yao. Jumamosi hii ndio harusi babkubwa ndani ya ukumbi wa mlimani city
3 Reactions
86 Replies
21K Views
GAZETI LA GLOBAL PUBLISHER HIVI KARIBUNI LIMEJULISHWA NA MSANII LULU AKA MAMA MAUCHI KWAMBA SI YEYE BALI AKIVAA NGUO NDEFU MAPAJANA MAKALIO YANAWASHWA..KAZI KWAKO WEWE UNAWASHWA NINI UNAENGANGANA...
1 Reactions
74 Replies
44K Views
kwa kweli bila kupepesa macho kwa Tanzania msanii wa kike akuwahi kutokea sijaona alofika level za ray-c huyu Dada alikuwa kafiti kila idara alikuwa anajua ukuutumia mwili wake macho kama anakuita...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii kataeni kubalini ila GENTAMYCINE sijawahi kukosea kuanzia Timu ninayoishabikia bora ya FC Barcelona, Mchezaji ninayemshabikia Lionel Messi, Mtandao bora ninaoupenda kuliko yote wa JamiiForums...
11 Reactions
246 Replies
73K Views
Msanii Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea...
3 Reactions
77 Replies
15K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu Yule nigga kutoka state chris brown amedai anamzimikia kinoma noma mwana dada jlo na anapenda awe mpenz wake...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
MWANAMITINDO maarufu Bongo, Jokate Mwegelo amesema kuwa, atahakikisha anapambana vilivyo kwa ajili ya kutetea haki ya mwanamke pamoja na watoto kwa ujumla. Akizungumza na Star Mix, Jokate...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mrembo mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ ameendelea ‘ku-shine’, safari hii zimevuja picha mpya akiwa bafuni na mpenzi wake aitwaye Bakari Kila. Chanzo makini...
6 Reactions
196 Replies
40K Views
=> "Nilipofika kwa marehemu 'Kanumba' nilimkuta yupo kwenye dressing table, nilikaa kitandani kwa kuwa hapa kuwa na sehemu ya kukaa"- Lulu => "Nilikuwa nataka kutoka ila marehemu 'Kanumba'...
15 Reactions
595 Replies
81K Views
Msanii wa kundi la Weusi, Nikki wa Pili ameeleza vipaumbele vyake nane iwapo siku moja atakuwa Rais wa nchi. 1. Kikaoo kikubwa cha serikali yangu sio baraza la mawaziri itakuwa mkutano mkuu wa...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Muigizaji Lulu Atimua Mbio Mahakamani | Baba Yake Ageuzwa Mlinzi
1 Reactions
49 Replies
10K Views
Back
Top Bottom