Mtangazaji maarufu wa Classic 105 ya nchini Kenya, Maina Kageni amefunguka kwa kusema kuwa kuna msanii mmoja wa Tanzania analipwa na mtandao wa simu milioni 20 kwa siku kutokana na nyimbo zake...
Msanii muziki wa Bongo Flava, Aslay amesema uwepo wa familia nyuma yake kunampa hasira ya kufanya muziki mzuri.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Natamba’ ameiambia XXL ya...
Wana jamvi naomba tuweke michango yetu hapa..kwayeyote mwenye uelewa kuhusu hili jambo..Kama mambo tunayoyasikia ni ya kweli hivi inawezekanaje mtu unaimba nyimbo halafu unakosa haki ya kuzitumia...
Oktoba 21,1980 alizaliwa mwanamuziki ambaye ni mmoja wa waasisi wa bongo fleva, Juma Kasim 'Nature'. Juma Nature ni mwanamziki bora sana wa wakati wake ambaye anapendwa kwa wapenzi wote wa muziki...
Aliyekuwa rais wa Marekani George Bush ameomba msamaha kwa dhiki aliyosababisha baada ya muigizaji mmoja kumtuhumu wa kumnyanyasa kijinsia. Heather Lind alisema kuwa rais huyo wa zamani mwenye...
Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Dow’ amesema mkataba wake na label hiyo ulimalizika na hakuongeza tena, hivyo hivi sasa anaendelea na watu waliokuwa akifanya nao...
HUKU wasanii mbalimbali wakimtaka rapa mkali Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya, chipukizi anayefanya poa kwenye gemu la muziki, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ naye...
I don't care, i live my life and i do what i want to do. Jamani tusipangiane maisha yangu sio yenu picha zinazovuja ni zangu sio zenu sawa...
Maana kuna watu wanaumia sana kuliko mie vepeee!.
Msanii Rosa Ree Jana ametoa wimbo mpya unaitwa Dow, wimbo huo kwa sasa umekuwa gumzo huko mitandaoni na Radio stations mbali mbali kitu kinachoonyesha kuwa habahatishi na amedhamiria kulibeba hili...
Harmonize asema hiyo siku alimkuta akiwa na Bodguard zake wawili akiwemo mmoja yule mmasai anaesemekana kuwa ni mpenzi wake wa zamani. Walisalimiana na Kupeana namba na baadaye yule mzungu ambaye...
Habari!…
wazungu husema love is blind na huota popote hata majini,, nimetokea kumpenda huyu dada anaeigiza vichekesho vya mizengwe kiukweli kabisa
yani kila kunapokucha anazidi kupendeza na...
Tanzanian singer apologises for Kenyatta prayer
Prominent Tanzanian gospel artist Christina Shusho has apologised for a Facebook post that upset opponents of Kenya's President Uhuru Kenyatta...
Kama ilivyo kwa baadhi ya wanamuziki ambao wanaweza kutoa wimbo na baadae kukaa mwaka mzima bila kutoa nyimbo zingine na bado hizo walizotoa zikaendelea kuwaweka kwenye ulimwengu Wa muziki...
Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa anaweza kufanya aina za muziki ila taarab ipo katika nafasi nzuri kwake kutokana yeye ni muimbaji pia.
“Off course I can sing taarab, hip hop pia naweza...
STAR wa marekani Vera Vendetta atema cheche ‘nimekuchagua wewe Diamond my love’ arusha kijembe kwa Zari The Bosslady, boda aendelea kuonesha hisia zake mitandano ikiwemo instagram na snapchat...
rayctanzania: Jamaani hii tabia sio nzuri kabisa!!! Sijafa bado! Kama mnaona umuhimu wa sauti yangu kwenye show zenu muwe mnaniitaga basi!sina cancer ya koo ya Kushindwa kuziimba hizo nyimbo!Nandy...
Mahakama Kuu Dar leo imemkuta msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' na kesi ya kujibu baada ya mashahidi 4 wa Jamhuri kutoa ushahidi.
mwananchi
==========================================...
MKONGWE kutoka kiwanda cha sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kuwa, hapa duniani hakuna ambaye anaweza kuyatabiri maisha yake yajayo isipokuwa Mungu pekee.
Mainda alisema , kumekuwa na...
Miezi kadhaa Baada ya mashambulio makali kwa mzazi mwenzake juu ya malezi ya mtoto,mrembo asiekwisha matukio Bongo Faizza Ally, amemshambulia vikali mtandaoni Mke wa mbunge sugu(happiness msonga)...
Mtangazaji mahiri Maimartha ameamua kuweka majibu yake ya kipimo cha Ukimwi hadharani kutokana na watu kumsema Sana yeye ni muathirika
Baada ya kuweka majibu hadharan ndipo watu walipobaini...