EDO KUMWEMBE
SIKU Fulani ya maisha yako. Hakutakuwa na wale walinzi kando yako. Hakutakuwa na rafiki zako kando yako. Hakutakuwa na wale washkaji zako wa mtaani kwako. Hakutakuwa na wale wapambe...
ACCRA,GHANA:Tuzo za African Entertainment Legend Awards(AELA)2017.
Hitmaker wa Hallelujah, Diamond platnumz pamoja na watanzania wafuatao
Tudy Thomas,Dj Ommy pamoja na super model wa kiume Ben...
Inaonekana kama Wolper anaitafuta bado nafasi yake kwa Harmonize basi kama sio labda bado anampenda na sijui Bff wake Brown imeishia wapi manake hapostiwi tena
Angalia hii video uone balaa...
Habari zenu wanajukwaa. Mada hapo juu yajieleza. Kuna wanadada wenye sauti nyororo wa Clouds FM, yaani Mami na DJ Endy ambaye sijamsikia muda mrefu. Mwenye picha zao tafadhali tuwekee humu...
Hua nashangaa sana ni kwamba Tanzania kwenye upande wa burudani watu ni wapenzi sana wa mziki wa magharibi kuliko wa kiafrika...muda sana sijasikia wasanii haswa wa kongo wakija kupiga show za...
Wakati bi mkubwa yeye akihangaika na Kuuza sura mlimani City, bi Mdogo ameshavamia soko LA kimataifa na siku za hivi karibuni atatokelezea katika filamu iliypigwa South Afrika na Tanzania in show...
Diamond ndugu yangu. Hongera kwa kazi nzuri unazopata na network ya kimuziki unayoipata huko duniani Mungu akubariki sana.
Katika chenji zako unazopata kumbuka kuwekeza miradi mingine ya kiuchumi...
Kwenye party ya Mtoto Wa Hamissa Mobeto walionekana mabaunsa wawili wakiwa wako makini kabisa kuhakikisha usalama Wa Hamissa Mobetto! Je wale walinzi nani anilipia gharama zao kama siyo Mond...
Kwa kweli huyu mama anahitaji washauri maana navoona hana mshauri mzuri, ni mama mtu mzima but mambo anayofanya na kupost kwny acc yake ya IG haya aksi kabisa umri wake. Amekuwa mtu wa vijembe na...
Tufurahie warembo wa makabila yetu ili kutunza utamaduni wa MTANZANIA
jambo ambalo naimani hata hao wazungu watalifurahia kama tunavyo furahia na kuinga warembo wao.
Hivi jamani, Mama terry, yule mama muelimishaji/Muhamasishaji wa kujikinga dhidi ya madhira ya gonjwa Ukimwi yu wapi?????
Nimemkumbuka gafula!!!!!!!
Mwenye taarifa tafadhali!!!!!
producer mkali, Dj mkali, na pia ni mwandishi mzuri wa mashairi ya muziki hapa namzungumzia dj khaleed (Daverneius Jaimes) kwa upande wa hukoo, ughaibuni nchini marekani.
ni miongoni mwa ma-dj...
/ebu nicheki ninavyong'araa/
/akipendacho binti,lazima mwanaume atanunua/
Ninaposkia hiyo mistari namkumbuka gwiji wa michano kutokea Morogoro ambaye alikuwa hasimu wa Afande selle. Pia ni moja...
siwezi kumsahau huyu jamaa mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000;
ruff ryders anthem
what's my name
party up
i miss u
here we go again
we right here n.k.
hakika tulipagawa na...
Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.
Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa...
Tanzanian showbiz couple Diamond Platnumz and Zari Hassan have reportedly broken up.
This is after the Ugandan socialite deleted all the photos she had taken with Diamond.
Diamond had over the...
Inatia moyo Kuona Mnyamwezi Big Celeb worlwide kutoka State anatia Like kwenye post ya mtotobwa Tandale dooh hii ni dalili njema...kama Davido alipiga kelele tu kwa kuwa Followed by Cr7,basi hii...