Diamondplatnumz nyota yake inzidi kung'aa baada ya DJ KHALED kumfollow katika Account yake ya Instagram! Hii inamaanisha DJ khaled anamfahamu Diamond na anapenda kile ambacho anafanya
Kwa nchi za...
-From Millardayo:RASMI.
Mwimbaji wa Tanzania Diamond Platnumz ametangazwa rasmi na Brand maarufu ya WINE UFARANSA kuwa Balozi wake na kuingia kwenye orodha ya mastaa 200 duniani wanaonadi bidhaa...
Mr Mchepuko, aka Chibu dangote aka Simba, amemwomba radhi mzazi mwenzie Zari kwa kuchepuka.
Lakini pia Ameendelea zaidi kumwomba Zari amwombee radhi kwa watoto wake wa "Sauzi" kwa "ujinga wake"...
Mchekeshaji maarufu bongo Ebitoke alizwa na kitendo cha anayedaiwa kuwa mpenzi wake Ben Pol kutopokea simu wala kujibu meseji zake, na kuomba msaada kwa watu kumuuliza msanii huyo kwa nini...
Imekuwa ni habari kubwa mno mpaka kwenye mashirika makubwa ya habari ulimwenguni BBC, DW nk.
Mahojiano ya Diamond kwenye kituo cha habari cha MAWINGU na 'KUKIRI' kwake kwamba mtoto w Hamisa...
Ali kiba ameendelea kuleta umaskini kwa washabiki wake, na kuwapunguzia uhuru wa kupata burudani. Mashabiki wa ali kiba wanatumia nusu ya kipato chao kununua bando ilimradi waweze kuangalia video...
Naona viewz zimeganda tu, zilipendwa inazidi kushika kasi bila promo bila kampeni ngoma inazidi kutusua tu.....itakuwa aibu sana pale seduce me itakapopitwa viewz na ngoma ambayo imetoka bila...
Kwa maadili ya kitaanzani, ni kosa kupiga picha inayoonyesha sehemu au viungo vyako vya siri. Mambo kama haya yamezoeleka kufanyika katika nchi za magharibi na nchi nyingine zilizoendelea.
Hii...
Sifahamu vizuri undugu au ujamaa wao Lakini inasikitisha sana msanii maarufu Afrika Mashariki anayetamba na ngoma ya seduce me Ali Kiba kushindwa kumpa support Abdul Kiba.
Baraka da prince...
Msanii wa kike wa filamu za bongo ambaye pia aliwahi kuolewa na mcheza mpira kutoka Rwanda, mlimbwende Irene uwoya, amesema mpenzi wake wa sasa ana ngeu nyingi mwilini za kuchanwa visu.
Akipiga...
Hivi hakuna wa kunyapia habari za Soudy Brown? Maana inasemekana lakini eti jamaa alikuwa east cost.
Pia inasemekana anamambo ya kitoto toka kwa aliyekuwa shemela wetu Ruby Pia jamaa hua hajali...
Kwako diamond
Kama kuna mahusiano zari anayajutia na atayajutia katika maisha yake yote basi ni kuwa na mahusiano na mond
Kuwa na mond zari amedhalilishwa sana ametukanwa sana hadi maex wa zari...
TANZIA: Msanii maarufu wa maigizo Afrika Mashariki, Maureen Wana, ambaye pia alikuwa akijulikana kama Sabrina au Ketty katika tamthilia ya Kashfa iliyokuwa na Azam TV kupitia channel ya Azam TWO...
Hakika baada ya Diamond kuhepa hepa kuhusu Mtoto Nasib Abdul leo amekiri kuwa ni suna yake.......
Hamisa ni shujaa kwasababu hakurudi nyuma aliendelea kuchokonoa hadi Mzee Baba yakamfika...
Album ipi kati ya hizi unaikubal
more life by Drake
damn by Kendrick Lamar
4 ur eyes only by J Cole
4:44 by Jay Z
Mimi naikubali ya J Cole coz story nzur...
Leo ndio ile 40 ya mtoto wa hamissa Mobetto na Diamond Platnumz Prince Dully ambayo inafanyika nyumbani kwa akina Hamissa
====UPDATES
Huko mambo ni moto moto habari za chini chini inasemekana...
Hebu tujaribu kuunganisha hizi dot… kwanza
Agosti 21, vituo viwili vya redio nchini, Clouds Media Group na EFM, vilizindua matamasha yao mawili makubwa watakayoyafanya mwaka huu. FIESTA na MZIKI...
Model hamissa Mobetto avujisha picha zake alizopiga na diamond platinumz enzi za mahusiano yao.
Katika picha hizo zipo ambazo amepiga madale, kwenye kitanda kile kile ambacho Zarina anakitumia...