Si muda mrefu uliopita mwanamuziki nyota wa Marekani wa miondoko ya R&B, Usher Raymond, alifunguliwa mashitaka ya kumuweka kwenye hali/ mazingira hatarishi ya kumwambukiza gonjwa la zinaa...
Mrembo Hamisa Mobetto ajifungua mtoto wa kiume.
Hii picha alipiga kipindi cha ujauzito[emoji116]
Hii ndio picha ya mtoto aliejifungua[emoji116]
Nb: Hongera zake kwa kupata mtoto na kama hizi...
Wacheza filamu wa Marekani Chris Pratt na Anna Faris wametangaza kuwa watatengana baada ya miaka minane ya ndoa, kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyosambazwa kwenye mitandao.
Wawili hao...
Hivi ni msanii yupi Wa bongo tunayeweza kusema ameweka maisha yake ya usanii(kazi) mbali na maisha yake ya familia(mapenzi).Licha na kwamba ni maarufu , wameoa watu maarufu wanaishi private life...
Kama mnakumbuka ilifika hatua Diamond akatamba kwenye vyombo vya habari kuwa Mtoto wake ndiye anayeongoza kupata sjui ndio viewers sjui ndio followers. Ilifika hatua hata kumuona inabidi watu...
Ningependa kujua machache juu ya huyu mwanamama wa miaka dahali kwenye fani ya habari, miaka nenda rudi nimemsikia akifanya sanaa zake kwenye spika za redio,ni nani huyu? Anatoka nchi gani? Na je...
Mwanadada Jokate Mwegelo kutoka Tanzania amekutana na Nguli wa Soka Thierry Henry ambae ni Mchezaji wa Zamani wa Arsenal. Wawili hao wamekutana nchini Afrika Kusini katika NBA African Game 2017...
Msanii mkongwe wa muziki nchini Tanzania Mr. Nice ameibuka na kusema kuwa hana maradhi ya UKIMWI kama wengi walivyokuwa wanamzushia ila kilichomsumbua mpaka kufikia kulazwa mahututi hospitali ni...
Na Zawadi B Lupelo
Wanajamvi salamu mbele!
Nimeona katika mtandao wa YouTube kile kinachoitwa kupatanishwa kwa Makonda na Ruge na mpatanishaji akiwa ni Rais John Pombe Magufuli. Naomba niweke...
kutokana na na kwamba tayari amesharipoti katika mamlaka husika juu ya kutishiwa usalama wake hata kabla kampeni zake hazijaanza, ni dhahiri sasa mtu huyu atalazimika kupewa ulinzi mkali katika...
Jamani jamani Peter Msechu awa kituko yaani amenenepa nusu kupasukiana halafu anaimba kwenye mic anashindwa kupumua unaweza ukasikia kabisa anavyokosa pumzi hadi anapumua Kama katoka kukimbia mbio...
Wadau nimekuwa nafuatilia historia za maisha ya WASANII wetu Wa Bongo.Idadi kubwa ya hao WASANII ukisikia historia za maisha yao utaisikia Baba alinitelekeza nikalelewa na mama Kwa shida...
Wanamuziki AY na FA wamedai kiasi cha fedha bilioni 2.1 mahakama iliyoamuru Tigo iwalipe ni hela za kawaida kwao kwa sababu wameshakamata hela kama hizo mara nyingi
Wamesema wao wametoa kama...
Peter Msechu ndiye Mwanamziki wenye uzito mkubwa, yeye wenyewe anaonekana kufulaishwa na umbo lake (BIG), Sasa msanii huyo ameandamwa na watu kuwa afanye mazoezi makali ili apungue na yeye kusema...
Huyu binti dada yake na msanii Kiba kiukweli anamwonekano bomba na anatupia sana mavazi ya kujistiri pia sijawahi sikia ana skendo za ajabu ajabu kama zile za dada zake na msanii wa upande wa pili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.