Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nasema tu ukweli hii wiki imekuwa ngumu sana kwa sisi timu kumchukia Zari. Hii mijeledi waliyotutandiki wiki hii si ya nchi hii kwa kweli daahh. Anyway wacha nihangaike na mahusiano yangu.
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Bibie ameachia nyimbo kali sana inaitwa KICHAKA akiwa na wakali wa bongo flava, G nako na Belle 9 isikilize HAPA. Kwa hisani ya Dj Mwanga
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi naomba kuuliza huyu Marilyn Mashiba ni nani mpaka JK ahudhurie send-off yake? Source: Michuzi blog
1 Reactions
89 Replies
14K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nenda kwenye twitter comment Hash Tag nyimbo ya Eneka by Diamond Platnumz kwenye account za @Mtvbaseafrica @Mtvbaseeast.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ukichunguza kwa umakini utagundua @mcharuko_ na @carrymastory wanamtumia sana dai &zari ktk account zao siyo kwamba wanawachukia laa hasha wanaongeza attention ya followers yaani kwa kiswahili...
4 Reactions
37 Replies
5K Views
Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila 'Ray C' amedai kumfunga mwizi aliyedukua (hack) ukurasa wake wa Instagram uliokuwa na wafuasi zaidi ya laki tano na kusema kwamba hataweza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
DIAMOND AWATOLEA MAPOVU WANAOMPONDA ZARI. . By diamondplatnumz - Kuna vichupi kunuka wanajifanya wanajua sana uchungu wa Misiba ya watu.... Mtoto wa watu katoka katika matatizo mfululizo...
25 Reactions
180 Replies
23K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
50 Replies
10K Views
John Kimario maarufu kama Prince Galaxie ni msanii chipukizi kutoka kata ya Kirongo Samanga Usseri wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro ameanza game tangu 2014 lakini sasa amekuja na ngoma yake mpya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
-Mmoja ya wahariri mahiri kwenye vyombo vya habari -Amewahi kutunukiwa Tuzo ya Uandishi Bora wa mambo ya utalii kwa Afrika nzima -Mara ya mwisho kumsikia ni kipindi kile yupo The Guardian baada ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwanamuziki ambaye pia ni hit maker wa ngoma inayosumbua kwa sasa ijulikanayo kama "Mwanaume Mashine" Msaga Sumu amedai kuwa ngoma hiyo licha ya kumletea mafanikio ya muda mfupi kulinganisha na...
3 Reactions
144 Replies
27K Views
Wakati ulimwengu ukijiandaa kuangalia pambano la kukata na shoka kati ya Floyd Mayweather(The Pretty Boy) na Conor McGregor mnamo tarehe 26 August pamoja na lile la Canelo Alvarez na Gennady...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Moja ya story ambayo inatrend kwa sasa kwenye mitandao mbalimbali ni pamoja na issue aliyoiandika Mwigizaji staa wa Bongomovie na Miss Tanzania 2006 Wema sepetu katika ukurasa wake wa Twitter...
5 Reactions
84 Replies
9K Views
me nisije nkaonekana hater jioneeni wenyewe.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakishirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao. Sikatai...
9 Reactions
119 Replies
13K Views
Habarini Wadau, Ni ukweli ulio wazi kuwa wapo wanaoitwa wanamuziki hapa bongo ila hawana sifa hizo, kifupi wanalazimisha sana uanamuziki Kiukweli zaidi kama wangekuwepo nchi zinazojua kuchuja...
6 Reactions
310 Replies
28K Views
Emmanuel Mgaya, Maarufu kama Masanja Mkandamizaji akiwa nchini Marekani amekutana na kuzungumza na watoto Sadia na Wilson ambao ni majeruhi ya ajali ya shule ya Lucky Vicent ya jijini Arusha...
17 Reactions
69 Replies
9K Views
Msanii Wa Muziki wa Kizazi kipya anayefanya vizuri hivi sasa na Mkwaju wake mpya 'Got me' Sunday 'Linex' Mjeda amefunguka na kudai kuwa wiki mbili zilizopita alipokea simu ya Msanii na Dj Maarufu...
7 Reactions
100 Replies
16K Views
Back
Top Bottom