Msanii wa muziki wa hip hop, Harmorapa amekuwa mmoja kati ya wasanii waliofika kwenye msiba wa mke wa Waziri Mwakyembe, Bi Linah. Rapa huyo alipata nafasi ya kuuzungumzia msiba huo na namna...
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Julai 13, imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi inayomkabili Agnes Gerald maarufu Masogange kutokana na kuwa mgonjwa.
Masogange anayetetewa na...
Mwana dada chemical asiyekuwa na mpinzani kunako ulingo wa hip hop kwa upande wa kina dada tanzania ameamuwa kutoka kwenye utomboy na sasa amekuwa na muonekano wa beyonce. Inasemekana baada ya...
Eti " Watu wote wanaomiliki Gari aina za Vitz na IST wasijihesabie kuwa wanamiliki Magari bali waseme tu kwamba wanamiliki Majenereta yanayotembea kwani kwa Mwanaume aliye na akili timamu na...
Zarithebosslady mama watoto wa diamond platinumz akiwa Uganda kampala kwa mama yake mzazi na dada zake pamoja na rafiki zake wakidance kwa pamoja, kukata viuno yaani viuno bila mfupa.
Inasemekana...
Mpigie kura Diamond Platnumz kwenye tuzo za africanprideawards kwenye kipengere cha artist of the year.
Mwisho kupiga kura ni tarehe 10,August 2017 na washindi watatangazwa katika the main award...
Hello fans.. Hello Jf members
Jamani ninataka mchague wenyewe kati ya hawa wasaani wasanii 3 kutoka WCB nani mkali...
Kwa kuzingatia vigezo hivi
>> Utungaji wa mashairi mazuri
>> Sauti
>>...
Hello,
Ali-hit na nyimbo ya chura, sahiv kaja na nyimbo inaitwa nionyeshe unavochumaga mchicha, zote zinahusu kucheza kwa kutingisha makalio.
KINACHONIPA MASHAKA:
Huenda akawa ni mdau wa kuliwa...
MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda amesema kabla hajawa kiongozi wake, awali aliwahi kumtamani kimapenzi mcheza filamu Wema Sepetu
Lakini alighairi baada ya kugundua ni mwanamke wa...
Tuzo kubwa nchini Nigeria(Neaawards) wamemtaja diamond platinumz katika kipengere cha msanii bora wa afrika nje ya Nigeria. Upigaji kura utaanza hivi punde tuanze makamuzi#Neaawards.
Sent from my...
WASAFI na Gigy money ni marafiki wa karibu, gigy money alishasema live kuwa anamkubali Diamond Platinumz zaidi ya Alikiba.
hivi karibuni gigy alitembelea studio za wasafi na kupost video...
Wasalaam wana jamvi.
Mama wa msanii Alikiba ameweka wazi leo kuwa msanii Alikiba alijulikana kama ana kipaji cha muziki baada ya kuzaliwa akiwa na siku saba...
Akielezea jinsi ambavyo walijua...
Kwanza kabisa nikili wazi sipo kwa ajili ya kumkandia le mutuzi kama anavyojiita ila nipo kuangalia ni ethical mtu kupiga picha msibani na kuweka mapozi ya ajabu ajabu?
Wadau naombeni mchango wa...
Muda mfupi tu uliopita ' Msanii ' wa Bongo Fleva Linex wakati akiwa ' anahojiwa ' katika Simu na Watangazaji wa Kipindi ' maarufu ' cha SHILAWADU juu ya ' deni ' kubwa la Tsh 943,000/ analodaiwa...
WAZEE WA KIMASAI WAMJADILI LOWASSA risasi mchanganyiko
Aidha, wazee hao wapatao 90 wamejadili pia kuhusu mkanganyiko uliopo ambao baadhi ya watu humchukulia waziri mkuu huyo aliyejiuzulu...
kwa aina ya nyimbo anazotoa kWa sasa unatoa picha kuwa kipindi cha nyuma alipokuwa anatoa nyimbo Kali na za kusisimua alikuwa anatungiwa na mtu/ watu.
Tunaomba kwa mtu aliyekuwa akimfanyia kazi...
Alikuwa akihojiwa na kipindi cha shilawadu na kukiri sasa amekuwa teja wa gongo akiwa hapo studio na mama yake
Mama yake amesema anampa tabu kwa kuwa ameshindwa kulea mtoto wake na afya yake...