Haya haya....Hajawahi kuniangusha Diamond Platnumza kwa kila ngoma mpya ambayo huwa anaitoa! Pamoja na kuwa huwa zinapigwa vita sana lakini huendelea kutamba kadri siku zinavyo kwenda! Kama...
Ni ukweli usiopingika kwamba Marcos Rene Maidana au Chino kama anavyojulikana na mashabiki wake ndiye bondia pekee aliyempa misuko suko ya kutosha unbeaten man Floyd Mayweather kiasi kwamba...
Nime jaribu kufuatilia uhalisia wa hili beef and who is real kuliko mwingine katika suala zima kla hiphop music and life style and free style
Binafsi nimempa Wakazi ushindi katika ushindani huu...
Nimekutana na hii battle Agnes Masogange Vs Corazon Kwamboka. Wote ni watoto warembo
Ila kura yangu na karata yangu naitupa kwa Agnes Masogange, Mtoto ni mrefu kaumbika wenye wana sema Amejaliwa...
Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.
Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako...
The secret life of J Edgar Hoover
For half a century, the FBI director waged war on homosexuals, black people and communists. Now, a controversial film by Clint Eastwood is set to...
Gazeti la Mtanzania limeripoti kwamba Roma Mkatoliki amegeukia ualimu ambapo anafundisha hisabati katika Shule ya Msingi Mchikichini iliyopo Mbagala Rangi Tatu.
Roma Mkatoliki ageukia walimu...
Mtangazaji wa kituo cha clouds fm na mchoraji nguli wa vibonzo nchini Ibrahimu Masoid maarufu Kama Masoid Kipanya..amesema kuwa watu wamekuwa wakitumia nguvu na akili nyingi kutafsri katuni zake...
Kwa wale,wapenzi wa muziki wa ukweli,Real Music watakuwa wanamfahamu Nguli huyu wa Rapper. Hasa wale Vijana wa 1990'S,the boy Made it world to be around kwa hits kalii.
Though Modern hiphop...
Wadau , kama mnakumbuka wakati ule SAIGON AKIWA ANAENDESHA KIPINDI KIPINDI CHA HIPHOP HAPO EATV, KUNA BITI YA GOMA LA NAS ESCOBAR, ALIKUA ANATUMIA KAMA SOUNDTRACK, NISAIDIENI JINA LA WIMBO WA ILE...
May 2017
Documentary: Mwanzo wa KitimTim Choir na Rose Muhando
Source: KitimTim Production
Je waimbaji wa Kiroho au Kidunia na wasanii wengine wana mpango gani wa kutayarisha documentary zao...
Aliyekuwa Msanii nguli wa Taarab nchini Mzee Yusuph amesema kwa sasa maishayake yamekuwa magumu baada ya kuacha muziki
Baada ya kuacha muziki anadai alijaribu shughuli nyingine ikiwemo kufungua...
Beyonce Knowles and Jay-Z 'welcomed twins earlier this week'
Ni nyakati za furaha kwa wapenzi/wanandoa Beyonce na J-Z baada ya kuwakaribisha mapacha wao wachanga kabisa mwishoni mwa wiki hii...
Wema anaojiwa sasa hivi na Gardner G Habash, anasema ni namna gani anammiss Diamond.
"Unajuwa diamond ni mtu tuliyekaa nae miaka mingi sana hivyo kama binadam uwa natokea kummmiss sana"...
Katika kuonyesha jeuri ya fedha, mwanamuziki lady jaydee baada ya kununua mkoko wake mpya wa bei mbaya, sasa kaamua kuukarabati mgahawa wake kwa kubomoa mgahawa huo na kuamua kuutengeneza upya...
Quick Rocka 'Switcher' msanii anayesumbua masikio ya wapenda burudani na ngoma ya 'down' amewajibu wanaohoji mafanikio yake kuwa makubwa kuliko muziki kwa kusema siku zote mafanikio yana sauti...
Stori: WAANDISHI WETU
HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.