Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii Harmo Rapper, kwa ambao hawamjui ni jamaa aliyejitengenezea umaarufu kwa kufanana na Harmonize, kisha akawa ana rap, so yeye ni hrmonize anaye rap henze =Harmo Rapper
0 Reactions
86 Replies
24K Views
Watu wengi wanaposikiliza matangazo ya redio ya mchana kupitia idhaa ya kiswahili ya DW hupata tabu na kujiuliza mwenye sauti hiyo ya base anafananaje? Leo nimewaleteeni picha yake mumtambue
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Saleh Kiba al maarufu kama Alikiba ni miongoni mwa wasanii wakongwe na wakubwa Tanzania, Afrika Mashariki na pengine Afrika kwa ujumla. Ni mshindi wa tuzo zaidi ya 14 kwa mwaka 2016 ikiwezo tunzo...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu habari, Mimi ni shabiki mnazi wa Diamond Platnumz kwa muda mrefu. Nimekuwa nikosoma sehemu mitandao mbalimbali hata humu JF watu wakisema kuwa Diamond siku zake zinahesabika kushuka...
20 Reactions
104 Replies
16K Views
Ni swala ambalo liko wazi kwamba kwa sasa hakuna kokoro, wala kijuso kwny raman ya bongofleva, inaweza kuwa kweli kwamba diamond anasubiri game lipoe kwanza ndo awaruhusu vijana wake kutoa kazi...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Kutoka ndani ya XXL leo November 22, 2016 U Heard imekuja na stori kuhusu picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha watoto wa mastaa wa Bongo Flava, Diamond Platnumz na Alikiba huku...
3 Reactions
34 Replies
18K Views
Habari zenu wanajamii..! Bila ya kupoteza muda hakuna asiyemfahamu Latifa Naseeb Abdul a.k.a Princess tiffah. Ila kwa faida ya wote ni kwamba tiffah ni mtoto wa star namba moja barani Afrika...
1 Reactions
69 Replies
7K Views
Diamond na wimbo wake "Salome" ambao leo ni miezi minne tu tangu wimbo huo uachiliwe hewani, tayari huko Youtube una views 12 Million. Wimbo wenyewe hata hauna ujumbe wowote yaani; mara anasema...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
1, T-touch 2, mesen selekta 3, shebby clever 4, jomba njoo(njoo studio) 5, Abbydad 6, lolipop(classic music) je, wewe unamkubali yup u team weka pembeni
1 Reactions
74 Replies
11K Views
Katika Hali ya kushangaza Mwanza Mwanza Fid Q ameonyesha ukomavu wake kwa kuisifia na kuipiga promo kazi mpya ya Mwamba Joh Makini. Ni kitu cha kustusha kweli kweli ukizingatia kumekuwa na kile...
2 Reactions
71 Replies
12K Views
Wasalaam, Napenda kuuliza kwa wale wapenda kushuhudia show za live kwa Wasanii wa Bongo fleva ni muda gani huwa wanaanza kuperform Maana nimelipa kiingilio nikafanya analysis ya Msanii Darasa...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
huyu T Bway ndio kavaa nguo gani hii mpaka yeye mwenyewe anajishtukia nguo imejichora mpaka penis inaonekana imetuna
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Pamoja na urafiki au ukaribu uliopo kati ya Mwana FA na AY lakini kumbe inapofika kwenye kazi huwa inakua tofauti. Mwana FA amesema kuna kolabo ambayo aliomba kushiriki lakini nae ‘akatoswa’ na...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Baada ya kuibuka kwa harmo rapper na chibu rapper sasa kaibuka rapper mpya wa kike aitwaye Zari rapper
3 Reactions
48 Replies
11K Views
Baada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani...
5 Reactions
323 Replies
44K Views
Kuna tetesi kuwa dada huyu alikuwa close sana na Ali Kiba kipindi flani kabla hata Diamond hajatoka hadi wakafanya kolabo ya nyimbo inayoitwa Wajua Nakupenda Queen Darlin akihojiwa na kipindi cha...
0 Reactions
26 Replies
13K Views
hawa jamaa wawili walikuja na kibao chao kimoja kinaitwa SEMA staili Ya Takeu wakipewa Biti na P funky aka majani,Ndani ya wimbo kuna maneno kama Mimi nalala chini lakini ni kweli yanakuhusu nn,Mm...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
https://www.jamiiforums.com/attachments/paul-kagame-na-mkewe-wakicheza-wimbo-wa-darasa-muziki-1-mp4.464711/?temp_hash=2b00a9e90cae838b1fe43722426996c1
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Michael Joseph Jackson alizaliwa tarehe 29 August mwaka ,1958, huko Gary, Indiana marekani. Michael Jackson alikuwa Ni mtunzi wa nyimbo, mwanamuziki, dancer Na muigizaji, Na pia alipewa jina...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Back
Top Bottom