Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu alikuwa producer mkali wa mziki ambaye aliibuka kipindi ambacho akina majani walianza kupotea kipindi ambapo waliibuka ma producer wengi kama mako chali, nah real naye na wengine...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Mmh kumbe nayeye ana kitu yake kutoka Kwa Kagame? Hivi kumbe Amani alichezewa tuu? Huyu na Amani nani mkali? [emoji16]
2 Reactions
137 Replies
19K Views
  • Closed
Mwanadada Mange Kimambi amefunguka kwa hisia kali kabisa kuwa anatamani aone babu Seya ananyongwa mpaka kufa kwa kuwa adhabu ya kifungo cha maisha walichompa ni kidogo sana kulinganisha na kitendo...
5 Reactions
49 Replies
11K Views
Dece 13, 2016 Binti Mtanzania aliyelipwa BILIONI 1 Ufaransa kwa kazi ya siku 1 Herieth Paul ni Binti Mtanzania mwenye umri wa miaka 20 tu lakini jina lake limekua kubwa kila kukicha nchini...
6 Reactions
83 Replies
16K Views
Msanii wa Hollywood Debbie Reynolds amefariki akiwa na umri wa miaka 84, siku moja tu baada ya kifo cha binti yake, Carrie Fisher. Alikimbizwa hospital baada ya kushikwa na ugonjwa nyumbani kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hapa nilipo show imepamba moto yaani full live band ,full viuno yaani 'No janja janja' katika ukumbi wa kimataifa wa perugina club .....#Yooooo
1 Reactions
77 Replies
12K Views
MGANGA WA DIAMOND AJITOKEZA by Teen Newz 1 hour ago Ustadhi Yahya Michael, mkazi wa Dar, hivi karibuni amejitokeza na kudai kuwa yeye ndiye mganga aliyempaisha mwanamuziki Nasibu Abdu...
0 Reactions
53 Replies
13K Views
Hivi nani anastahili kuitwa mlevi hapa? Ikiwa mtu anakunywa bia moja au mbili na kutembea huku anayumba yumba na kuongea mambo ya ajabu ajabu au kufanya mambo ya ajabu Na mtu ambaye ana uwezo...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa Taarifa zilizo nifikia tokea Iringa Samoraa ni kuwa Kwa Sasa uwanjaa ni Umejaaa hamna hata Sehemu ya kukanyagaaa! Huenda show Ikaahirishwa Kutokana na Wingi wa Watu! Kinacho Endelea ni Polisi...
2 Reactions
117 Replies
16K Views
Msanii Ney wa Mitego amefunguka mambo mbalimbali kuhusu muziki wake Ikiwa ni pamoja na bifu lake na Mr T, Gigi Money, ishu ya kumbaka Nisha na Kolabo Pia amezungumzia soko la muziki lilivyo...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Ni Dec 23, 2016 ambapo mkali Diamond Platnumz pamoja na Team yake nzima ya WCB walifika Mlimani City Mall kuziuza tiketi kwaajili ya show yao iitwayo Wasafi Beach Party itakayofanyika Dec 24...
6 Reactions
104 Replies
23K Views
Wakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda...
22 Reactions
150 Replies
16K Views
Rapa Solo Thang ameposti video akiwa na Rapa Chid Benz ambaye walikutana usiku na kuongea baadhi ya mambo, lakini kutokana na hali aliyokuwa nayo Chid Benz Solo Thang alisema hawezi kumuhukumu...
8 Reactions
61 Replies
10K Views
Yaan niko naye hapa bar flan tbt chama...yaaam mm na vijana wenzangu jinsi alivyovaa na alivyo mpaka anatia aibu.dully hisika kwa hili
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Hakika naomba niweke ninaloliona juu ya Darasa. Mziki wake unampenda kuliko yeye anavyoupenda mziki. Sioni akiupa promo ya kutosha mziki huu ulikonga nyimbo za watanzania na wapenda burudani...
12 Reactions
65 Replies
13K Views
Karrueche Tran ni mwanamke ambaye Chris Brown hatokuja kumsahau kamwe. Sijui alimpa lini lakini tunachofahamu ni kuwa pamoja na kuachana, bado hitmaker huyo wa Party amekuwa akifuatilia kila...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
hili nyomi halijawahi kutokea hii ndo show kubwa ya funga mwaka Diamond si mtu mzr kbsa bado anaendelea kuwajambisha majirani ====== Usiku wa Disemba 25, 2016 wakali wa Mziki wa Bongo Fleva...
6 Reactions
69 Replies
16K Views
Kwa mujibu wa shabiki nguli wa alikiba ,jana aligoma kufanya show dodoma katika clab ya perugina baada ya kutomaliziwa malipo yake. Jana kulikuwa na show ya ally kiba dodoma perugina club kwa...
4 Reactions
137 Replies
20K Views
Baada ya kuondoka ITV na Radio alienda Redio Dutch Welle. Huko nako amekuwa kimya sana. Maryland na maeneo jirani hatumuoni tena, sijui yuko wapi siku hizi. Mwenye info atujuze.
0 Reactions
33 Replies
6K Views
msanii Youg Dee anasakwa na polisi kwa madai ya kuwa alifuta akaunti ya Instagram ya Tunda mara baada ya kugundua namba zake za siri
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom