Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Baada ya Team Wema au wafuasi wa Wema au Wema fans kumponda Wema kwa kutomsupport Idris Sultan katika kuwania nafasi ya Kuhost tuzo za MAMA. Wema akasirika nakuwatukana washabiki wake! vp...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Huyu sister namzimia kichizi ( I can also confess I'm secretly in love with her). Kaenda shule na ana akili na hana mambo kama ya hawa dada zetu wengine wa mjini ktaka u sloopu tuuu. I wish...
7 Reactions
55 Replies
17K Views
Kwa mujibu wa east africa tv mwadada Wema sepetu leo anatimiza miaka 27 ya kuzaliwa Hivi huku duniani kuna watu miaka yako haiongezeki aisee
15 Reactions
119 Replies
18K Views
Haya sasa naona taratibu ule ubishi wa kuwa nyimbo za Afrika hasa Tanzania hazichezwi kwenye vituo vya Radio za Marekani unaelekea kuisha! Dj Joh wa 93.1 Marekani akihojiwa na Millard Ayo...
5 Reactions
46 Replies
7K Views
Binafsi nimechunguza kwa umakini sana na huu ndio msimamo wangu! Wafuatao ndio wanamuzuki nguli kabisaa; 1. Linex 2. King Kiba 3. Chegge 4. Afande Sele, na 5. Juma Kassim Nature, Kiroboto Mimi...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Ndugu zangu,kumradhi Kama kuna watu watanielewa vibaya,lakini tufike hatua tujue kuwa nyeupe itabaki kuwa nyeupe,na nyeusi itabaki kuwa nyeusi. Nimekuwa nikiwaskia Alikiba na Diamond wakihojiwa...
18 Reactions
56 Replies
7K Views
Nimeyaona mahojiano ya Iive kati yako salam na DJ wily tuva then ya ali na wily , Kwanza hakuna haja ya ali kuomba msamaha kwa kusema show ilizimiwa backstage na we we kuita ni upotoshaji kwamba...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Kwenye izi ngoma mafundi wawili kutoka kwenye kiwanda cha bongo flava walishirikishwa so ngoma ipi Kali zaidi....karibun, mapovu no..!!
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Abdu Kiba ameelezea kuwa Ali Kiba hafanyi nae kolabo kwa kuwa Ali Kiba yupo bize na wasanii wengine Pia amesema hana mpango wa kwenda wasafi ila anaweza kufanya nao kolabo
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Well! well! well!.. Leo nmepanda hapa JF kivingine kabisa japo bado niko kule kule kwenye Burudani na Leo nitawapatia angalao Biography ya wakali hawa wa dance ulimwenguni. Linapotajwa jina la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Apo chacha!! Mrembo kutoka Bongoflevani Naj ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mkali anayemiliki mdundo wa ‘Nisamehe’ Baraka the Prince, Leo October 15 anazichukua headlines baada ya kuelezea exclusive...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Kijana anayedai ni mdogo wake diamond analalamika kaka yake amemtosa, sasa sijui kama ni mdogo wake kweli ila wanaongea sawa na wanafanana
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Nimeangalia show TBC ya club raha leo, nimegundua Chokoraa ni mpiga show hatari sana Tanzania. Nipo masomoni Marekani nikirudi namtafuta aseee. Hongera sana watanzania kwa kubarikiwa vipaji, huo...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii kitu sio mara ya Kwanza kutokea malumbano kati ya Ali na Sallam. 1.Show ya Tigo Dar es salaam mwaka jana kwenye show ya Tigo ambayo wasanii A List wa bongo flava wote walikuwemo ila baada ya...
16 Reactions
131 Replies
15K Views
Mpaka sasa BANK ALERT ya P SQUARE imetazamwa mara 702,019 kwa SIKU TATU(three days ago) wakati SALOME ya DIAMOND imetazamwa mara 655,513 kwa SIKU MOJA(one day ago)....inawezekana ikifikisha siku...
11 Reactions
137 Replies
14K Views
Kibongobongo ni msanii gani ambaye aana mashabiki wengi zaidi ya wengne mwenye takwim aniambie maana swali hili huwa linanikanganya sana
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Baada ya Nay wa Mitego kudai kuwa muimbaji huyo wa ‘Nisamehe’ na Stan Bakora ni watoto na kwamba huenda wanatafuta kiki, ameibuka na kudai kuwa rapper huyo hana akili na ni mp*mbavu. “Nay hana...
7 Reactions
52 Replies
17K Views
Wakuu Salaam Sana. Nimejaribu kusikiliza mahojiano ya diamond kwenye kipindi cha Jahazi kazungumzia suala la TRA kwenda kumdai kodi ilihali yeye kama msanii akiwa bado anadhulumiwa haki zake hasa...
8 Reactions
81 Replies
9K Views
Saida Karoli atanufaika na ‘Salome’ wimbo mpya wa Diamond ambao una vionjo kutoka kwenye wimbo wake wa ‘Chambua kama karanga’ Diamond amesema kuwa mwanamuziki huyo mwongwe wa nyimbo za asili ana...
2 Reactions
76 Replies
17K Views
Nikisikikiza nyimbo za ngwair huwa nashindwa kuelewa kuwa alikuwa anasimamia misingi gani kati ya rap au hip hop.... Cjawai kusikia ngoma ya ngwair yenye misingi kabisa ya zile hip hop kama za...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom