Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Account yake pendwa yenye followers mil 4.2 ya Instagram imehackiwa. Update : ni kawaida kwa wanadam kusema lolote lile hasa kupinga...hebu fikilia watu wanapinga hadi uwepo wa mungu na mamlaka...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Moja ya advantage kubwa ya kuwa member wa JF . Habari za mwanzo kabisa kutoka Windsor zinasema baada ya Prince Harry na Meghan kuangalia ni nchi gani watakaa fungate yao barani Afrika,hatimaye...
15 Reactions
84 Replies
9K Views
Nimesoma habari hii katika mtandao fulani wa kijamii ukidai kuwa lulu muigizaji maarufu kuwa ametoka akiwa na kitumbo. Sasa ninajiuliza aliempa hicho kitumbo ni nani kama ni kweli?
1 Reactions
33 Replies
7K Views
Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana...
11 Reactions
120 Replies
14K Views
Kuna tetesi zinazoenea kwa kasi King Kiba kamtelekeza mtoto wake kama tetesi hizi zinaukweli ndani yake hii ni aibu Kubwa kwa msanii mkubwa Africa na Tanzania kwa ujumla.
2 Reactions
10 Replies
3K Views
mangekimambi:We uleiba hii account ya @wemasepetu ujue soon Wema atarudishiwa account yake. Instagram watakunyang’anya watamrudishia, ungesaidia sana watanzania wanaotaka kulikomboa taifa kama...
8 Reactions
94 Replies
16K Views
Inasemekana hali ya steve nyerere bado sio nzuri ,aomba kama kuna aliyemloga amsamehe ======= Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema ana wiki mbili yupo...
3 Reactions
257 Replies
72K Views
Nampongeza kwa kazi kubwa anayoifanya
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Kwa habari zilizo chini ya kapeti ni kwamba mwanamuziki ambaye pia ni mfanyabiashara mkubwa hapa nchini na Africa kwa ujumla Diamond Platnums Chibu Di Chibu De a.k.a Muuza Karanga anataka...
5 Reactions
114 Replies
22K Views
Je unafikiri umemaliza mwaka vibaya? La hasha kabisa!Kuna tetesi kuwa mlimbwende Kylie,amwagwa na mpenzi wake!Tena akiwa mjamzito. Usiombe ikukute.. waweza kuzaa siku sio zako. Namwonea...
7 Reactions
49 Replies
6K Views
Clouds waanzisha kampeni mpya ya kumnanga bashite aachane na mpango wa kuvuruga tamasha la fiesta litakalo fanyika leaders tarehe 25 baada ya kuwepo tetesi kuwa kuna mpango wa kuwepo shughuli...
10 Reactions
47 Replies
9K Views
Nyepesi nyepesi zinazoenea chinichini Hamisa amepokonywa mtoto wake wa kike na mzazi mwenzake. Japo Hamisa anadai mtoto huyo hajapokonywa Wala nini bali kachukuliwa mara moja na mzazi mwenzie.
9 Reactions
171 Replies
29K Views
Kwa habari za kunyapia nyapia zinadai kuwa video vixen mwenye mvuto wa hali ya juu nchini Tanzania na Africa kwa ujumla Tunda Sabasita amebeba ujauzito wa msanii Diamond Platinums Wawili hao...
5 Reactions
160 Replies
42K Views
Jana usiku huko Element ambapo msanii Omarion alikua akitumbuiza, Mkuu wa Mkoa wa DSM alikuepo pia na Kutokana na habari zilizosambazwa na Mangekimambi ni kwamba kulitokea na mgogoro kati ya Mkuu...
1 Reactions
143 Replies
23K Views
Habari za kunyapia zinadai wawili hao walikuwa hawapikiki sufuria moja ila walijikaza kidume kutoonesha hadharani hadi pale wenye mji walipowaita na kuyamaliza kwa amani,kwa sasa wanajipanga kuja...
14 Reactions
70 Replies
11K Views
  • Closed
Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi...
1 Reactions
196 Replies
32K Views
Habari wapendwa.. Kwa taarifa nilizozinyaka hivi karibuni hukooo Instagram ni kuwa kipenzi cha wengi ( najua wengi mtabisha) si mwingine mrembo wetu Miss TZ 2006 na CEO wa kampuni ya ENDLESS...
5 Reactions
134 Replies
28K Views
ommy dimpozi ameshikiliwa zaidi ya masaa matano leo baada ya mashtaka aliofunguliwa na diamond kwa kusema alimgegeda maza wa taifa wadau wamekuja juu sana huko mitandaoni na haya ndo maoni yao...
1 Reactions
111 Replies
21K Views
Hivi hizi tetesi za lady jaydee kuimwaga label yake ni za kweli?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom