Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jambo!! Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . . Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha...
6 Reactions
70 Replies
16K Views
WanaJF: Kufuatia muonekano wa picha hapo chini nataka kujuwa kama huyu bwana mdogo Kesha badilisha Dini au ni mihemuko tu ya ujana ....??? Sent from my SM-N915G using JamiiForums mobile app
0 Reactions
62 Replies
18K Views
Umuofia kwenu wakulu, Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli na kumrudisha kwenye gemu ya muziki kwa kishindo,inasemakana lakini, E-Fm ya Dar nayo imepanga kumrudisha Mr. Nice!
2 Reactions
64 Replies
7K Views
Habari wadau, Msanii Ali Kiba ameongeza mtoto wa tano kwa mama tofauti. Mzazi mwenzie huyo kwa sasa (single mother) ni mkazi wa Mombasa na anadai alipewa ujauzito kipindi Ali Kiba anapiga show...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
  • Closed
Hii ni kama Tetesi ndio maana nimeweka jukwaa hili. Kuna mambo mengi sana ya muhimu ila yanaondolewa kwenye mstari na vitu kama hivi Sasa namtafuta aliyeigiza sauti ya KUB Nitaendelea kuwajuza...
10 Reactions
232 Replies
28K Views
By BigEyeUG Team It all started when a Newspaper advert ran showing that Ivan Ssemwanga’s house was up for sale. Then, an egoistic, charming and ever lively Ivan Ssemwanga flew to Uganda from...
8 Reactions
121 Replies
16K Views
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV...
3 Reactions
69 Replies
8K Views
Imebainika kuwa yule msakata kambumbu katika club ya Genk uko ubeligiji Mbwana Ally Samata alimuomba fumu muuza nyago na mjasirimali Gigy Money. Gigy money amedai kuwa Samata alimtumia e.mail...
1 Reactions
124 Replies
38K Views
Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na...
3 Reactions
132 Replies
39K Views
Habari ya mjini kwa sasa ni kuwa hitmaker wa ngoma ya mziki na too much Darasa yupo mbioni kutia wino ndani ya WCB Si huyo tu pia mwanadada mwenye sauti inayomtoa nyoka pangoni ambaye pia ni...
3 Reactions
75 Replies
17K Views
Inasemakana eti yule video queen mwenye mfanano na amber rose tuko chini ya ulinzi huko Arusha baada ya kujaribu kupitisha sembe kwenda nchi ya jirani Kenya kwenda China Kule kwa jack wa jux...
3 Reactions
52 Replies
13K Views
Wadau kuna tetesi kwamba msanii nguli wa bongo fleva King Kiba amelipwa pesa za kitanzania zaidi ya 1b katika uzinduzi uliofanyika jana huko Dubai!! Je hizi tetesi ni za kweli au ndo kick tu za...
3 Reactions
76 Replies
14K Views
Habari zilizopo ni kwamba siku ya Jumatano wiki hii Joh makini anakuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kuingia WCB na kuwa chini ya Diamond Platinumz. Kwa mtazamo wangu naona si kitu kibaya, ni jambo...
2 Reactions
72 Replies
11K Views
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja, huu msemo bhana umejidhihirisha kwa Rayvan na Harmonize baada ya kila mmoja kujiona fundi zaidi ya mwenzake ingawa meneja wao ndugu Ricardo...
2 Reactions
24 Replies
17K Views
Baada ya kuruka ruka kwa miaka mingi bila mafanikio,hatimaye mkali wa mapenzi nchini amempata mtu wa kuzeekea naye,mama huyo ameamua kutua kwa nguli la michezo nchini kutoka redio ya mawingu,awali...
12 Reactions
104 Replies
23K Views
Wadau meneja anayejiita msujudiwa ma muziki huku sasa maisha yake yakitegemea kuishi kupitia Diamond amemterekezza Rapa mahili Chid benzi. Jamaa kwa mbwembwe alimpeleka sober house kisha. Baadaye...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari toka jikoni zinathibitisha kuwa ile land rover discovery aliyopewa kama package ya kujiunga clouds media, amepata nayo ajali akiwa kalewa chakali. Kwa bahati nzuri gari ilikuwa na bima...
5 Reactions
38 Replies
7K Views
  • Closed
Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani 1.Amplifire hatangazi tena 2.Top20 hatangazi tena 3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala...
8 Reactions
103 Replies
15K Views
Habari zenu wakuu.. Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii. Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye...
2 Reactions
129 Replies
35K Views
Back
Top Bottom