Jambo!!
Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . .
Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha...
WanaJF: Kufuatia muonekano wa picha
hapo chini nataka kujuwa kama huyu bwana mdogo Kesha badilisha Dini au ni mihemuko tu ya ujana ....???
Sent from my SM-N915G using JamiiForums mobile app
Umuofia kwenu wakulu,
Baada ya Clouds kumpa promo ya nguvu Saida Karoli na kumrudisha kwenye gemu ya muziki kwa kishindo,inasemakana lakini, E-Fm ya Dar nayo imepanga kumrudisha Mr. Nice!
Habari wadau,
Msanii Ali Kiba ameongeza mtoto wa tano kwa mama tofauti. Mzazi mwenzie huyo kwa sasa (single mother) ni mkazi wa Mombasa na anadai alipewa ujauzito kipindi Ali Kiba anapiga show...
Hii ni kama Tetesi ndio maana nimeweka jukwaa hili.
Kuna mambo mengi sana ya muhimu ila yanaondolewa kwenye mstari na vitu kama hivi
Sasa namtafuta aliyeigiza sauti ya KUB
Nitaendelea kuwajuza...
By BigEyeUG Team
It all started when a Newspaper advert ran showing that Ivan Ssemwanga’s house was up for sale. Then, an egoistic, charming and ever lively Ivan Ssemwanga flew to Uganda from...
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV...
Imebainika kuwa yule msakata kambumbu katika club ya Genk uko ubeligiji Mbwana Ally Samata alimuomba fumu muuza nyago na mjasirimali Gigy Money.
Gigy money amedai kuwa Samata alimtumia e.mail...
Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na...
Habari ya mjini kwa sasa ni kuwa hitmaker wa ngoma ya mziki na too much Darasa yupo mbioni kutia wino ndani ya WCB
Si huyo tu pia mwanadada mwenye sauti inayomtoa nyoka pangoni ambaye pia ni...
Inasemakana eti yule video queen mwenye mfanano na amber rose tuko chini ya ulinzi huko Arusha baada ya kujaribu kupitisha sembe kwenda nchi ya jirani Kenya kwenda China Kule kwa jack wa jux...
Wadau kuna tetesi kwamba msanii nguli wa bongo fleva King Kiba amelipwa pesa za kitanzania zaidi ya 1b katika uzinduzi uliofanyika jana huko Dubai!!
Je hizi tetesi ni za kweli au ndo kick tu za...
Habari zilizopo ni kwamba siku ya Jumatano wiki hii Joh makini anakuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kuingia WCB na kuwa chini ya Diamond Platinumz.
Kwa mtazamo wangu naona si kitu kibaya, ni jambo...
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja, huu msemo bhana umejidhihirisha kwa Rayvan na Harmonize baada ya kila mmoja kujiona fundi zaidi ya mwenzake ingawa meneja wao ndugu Ricardo...
Baada ya kuruka ruka kwa miaka mingi bila mafanikio,hatimaye mkali wa mapenzi nchini amempata mtu wa kuzeekea naye,mama huyo ameamua kutua kwa nguli la michezo nchini kutoka redio ya mawingu,awali...
Wadau meneja anayejiita msujudiwa ma muziki huku sasa maisha yake yakitegemea kuishi kupitia Diamond amemterekezza Rapa mahili Chid benzi. Jamaa kwa mbwembwe alimpeleka sober house kisha. Baadaye...
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...
Habari toka jikoni zinathibitisha kuwa ile land rover discovery aliyopewa kama package ya kujiunga clouds media, amepata nayo ajali akiwa kalewa chakali.
Kwa bahati nzuri gari ilikuwa na bima...
Nasikia MillardAyo ameacha kazi Clouds FM na kapata mchongo huko Marekani
1.Amplifire hatangazi tena
2.Top20 hatangazi tena
3.Hajajihusisha hata kidogo na FIESTA kwa Website yake,FB wala...
Habari zenu wakuu..
Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii.
Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.