Wakati baadhi ya mastaa wakubwa nchini, wakionyesha support kubwa kwa mwanamuziki diamond platnumz, juu ya ujio wake mpya kwenye wimbo uitwao "SALOME", hali imekua tofauti kwa mastaa wakubwa...
Msanii ni neno lililotokana na sanaa hivyo basi mtu yeyote anayefanya kazi ya sanaa anaitwa masanii,sasa basi huwezi kuwa Mwanamziki kama siyo Msanii kwani Muziki ni Miongoni mwa Vipera vya sanaa...
Nina utaratibu kwamba nikiisikia nyimbo kwa mara ya kwanza kama sijaupenda basi usitegemee ntaupenda tena,yaani nilivo huwa sio mtu wa kulazimishwa kama watu wengine ambao ili aupende wimbo ni...
Hivi hili suala liliishia wapi?
Huyo bibie alienda mahakamani kumfungulia mashitaka huyo Kapteni au Kapteni aliomba radhi?
Kilichonifanya nikumbuke hili sakata ni hilo suala la Juma Pumba...
Hainaga ushemeji ya ManFongo ni wimbo uliobamba sana kwenye hizi nyakati za Tanzania ya wazinzi. Cha ajabu nilikuwa nasikilizaga chorus tu sijawahi kuconcentrate kusikiliza verse zake, jana wakati...
Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv mzamilmik: Maneno ya davido baada ya jina lake kutokutajwa kuwania tuzo yoyote Mtv
#SukaSuka ni jukwaa la Times FM ambalo linavumbua wakali wa kusuka Mtaa Kwa Mtaa kila wiki mara 3. Kwa miezi miwili tumekua tukiingia kitaani kusaka wakali ambao wanaweza kusuka mitindo yote kwa...
Hii inaonyesha kuwa mziki wetu wa bongo flava unazidi kupaa maana kwa mwaka huu wataperform wasanii wawili kutoka Bongo, Diamond na King Kiba.
My take:
Nakuomba King Kiba usiende kumuaibisha dogo...
Habari zilizopo ni kwamba siku ya Jumatano wiki hii Joh makini anakuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kuingia WCB na kuwa chini ya Diamond Platinumz.
Kwa mtazamo wangu naona si kitu kibaya, ni jambo...
Wadau nimejaribu kuziangalia picha za msanii Baghdad zimenichanganya sana. Nashindwa kuamini kama ni mtu mmoja au sio. Swali langu ni kuwa, je ni kweli inawezekana mtu kubadilika namna hiyo kweli...
Habari zenu wakuu,
Asee sikuwahi kudhani kwamba kuna wanawake wenye kipaji cha comedy nimeona kwa Katarina yaani huyu Dada ni shidaa kila nikiangalia vipande vyake vya video nacheka mbavu sina...
Msanii wa bongo fleva Timbulo amekasirishwa sana na wasanii wa kike na kusema wote hawana akili, hii ni baada ya kumpigia simu vanessa mdee na kutaka kuomba kolabo na Vanessa akasema hamjui
Kama...
Haya sasa kwa wale ambao hamkubahatika kuziona picha za b' day ya Zari iliyofanyika huko ZNZ hizi hapa ndio picha zenyewe
Haya sasa wabongo kazi yao kufikiria mtaachana lini...
Anaweza kuwa ndiye video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa V,queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake headlines on social...
Mtandao mmoja huko Ujerumani umeripoti kuwa bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote amefariki ghafla kwa kuugua kwa muda mfupi
Hata hivyo bilionea huyo alikanusha madai hayo kupitia Twitter na...
Aisee ama kweli nabii hakubaliki kwao,daah waliotunga huu msemo walikuwa ma generous sana kwa kweli
Licha Rayvan na Raj boy Harmonize kuonekana sio lulu kwa kiasi hicho hapa nchini lakini...