Huyu dada nimeanza kumuona longi. ukizungumzia wasanii wa bongo muvi wasiokua na skendo/kiki za kipumbavu, tausi mmoja wao.kwa msiomjua tausi ni msanii wa bongo muvi komedi, komedi nyingi...
Leo kazaliwa mama la mama aka bosslady ukipenda muite mama teeh!!, namtakia heri ya kuzaliwa mwanamke anayejielewa ,mwanamke mtafutaji,sema nene ujue boss wangu?? Hiyo zawadi ya nyumba umeuwaaa...
Rais wa jumuiya ya Watanzania wanaokaa visiwani Mauritius ndugu Jumanne Kikwete ameonesha mapenzi yake ya dhati kwa kazi nzuri inayofanywa na kijana Diamond Platnumz na kukiri hadharani kuwa yeye...
Awali ya yote niseme tuuu,uwepo wa WCB unanipa burudani saaaaana...kila nyimbo wanayotoa ni hit after hit...wala sitaki kuzungumzia kinachotrend kwasasa africa kuanzia maredion mpaka kwenye matv...
Jamani tunajua Dada zetu wabongo kichwani hamna kitu, wanawaza starehe tu na hawapendi maendeleo wala kujituma kama Zari, tunajua zari yupo smart kichwani anajielewa, pengine kutokana na malezi na...
Jamani nisaidieni namtafuta 20% kwa muda sasa sijui yuko wapi. Mimi ni shabiki wa nyimbo zake sana na sidhani kama kuna mwanamuziki mwenye sauti nzuri kama huyu bwana. Naona amekaa kimya sana
Inakuwaje kwenye MTV Mama 2016 kipengele cha personality of the year nominees yupo linda Ikeji halafu Le mutuz field marshall sauti ya umeme,le baharia,king of all social media,owner of swahili...
Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi...
Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil...
Kama tunavyoona Salama ameanza kuhost kipindi kipya cha Ngazi Kwa Ngazi na kuachana na kile cha awali cha Mkasi, ningependa kujua hatma ya hawa vijana wengine John na Muba waliokuwa wakiendesha...
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja, huu msemo bhana umejidhihirisha kwa Rayvan na Harmonize baada ya kila mmoja kujiona fundi zaidi ya mwenzake ingawa meneja wao ndugu Ricardo...
Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui...
Baada ya kutotajwa jina lake kwenye tuzo za
MTV MAMA 2016, Davido amejipa moyo kufanya
vizuri mwakani kwenye tuzo hizo.
Kupitia mtandao wake wa Twitter, muimbaji huyo
ameandika, “I really...
Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa...
Msanii wa nyimbo za asili Saifa Karoli aliyevuma kitambo amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnumz kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya.
Saida...
Msanii David Adeleke Adedeji ameonesha furaha ya hali ya juu baada ya kuisikia nyimbo yake ya Skelewu ikichezwa katika movie kubwa huko Hollywood Marekani iitwayo Qween of Katwe
Katika movie hii...
Wanajamvi,
Nasikitishwa sana na baadhi ya mashabiki na baadhi ya wasanii wakubwa kwa kuzidisha jitihada kumshusha kijana wawatu kwa hatua anazonipiga.
Hivi TZ tutabadilika lini na kuachana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.