Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu dada nimeanza kumuona longi. ukizungumzia wasanii wa bongo muvi wasiokua na skendo/kiki za kipumbavu, tausi mmoja wao.kwa msiomjua tausi ni msanii wa bongo muvi komedi, komedi nyingi...
10 Reactions
80 Replies
31K Views
Leo kazaliwa mama la mama aka bosslady ukipenda muite mama teeh!!, namtakia heri ya kuzaliwa mwanamke anayejielewa ,mwanamke mtafutaji,sema nene ujue boss wangu?? Hiyo zawadi ya nyumba umeuwaaa...
9 Reactions
89 Replies
12K Views
Rais wa jumuiya ya Watanzania wanaokaa visiwani Mauritius ndugu Jumanne Kikwete ameonesha mapenzi yake ya dhati kwa kazi nzuri inayofanywa na kijana Diamond Platnumz na kukiri hadharani kuwa yeye...
9 Reactions
39 Replies
5K Views
  • Closed
Kwa wale ambao mlikuwa hamuwajui watoto wa Shilole (Shishi), basi hawa ndio watoto wake, sema chochote.
2 Reactions
17 Replies
10K Views
Awali ya yote niseme tuuu,uwepo wa WCB unanipa burudani saaaaana...kila nyimbo wanayotoa ni hit after hit...wala sitaki kuzungumzia kinachotrend kwasasa africa kuanzia maredion mpaka kwenye matv...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani tunajua Dada zetu wabongo kichwani hamna kitu, wanawaza starehe tu na hawapendi maendeleo wala kujituma kama Zari, tunajua zari yupo smart kichwani anajielewa, pengine kutokana na malezi na...
6 Reactions
19 Replies
4K Views
Jamani nisaidieni namtafuta 20% kwa muda sasa sijui yuko wapi. Mimi ni shabiki wa nyimbo zake sana na sidhani kama kuna mwanamuziki mwenye sauti nzuri kama huyu bwana. Naona amekaa kimya sana
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Inakuwaje kwenye MTV Mama 2016 kipengele cha personality of the year nominees yupo linda Ikeji halafu Le mutuz field marshall sauti ya umeme,le baharia,king of all social media,owner of swahili...
5 Reactions
39 Replies
5K Views
Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi...
7 Reactions
537 Replies
122K Views
Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil...
11 Reactions
147 Replies
18K Views
Salaam wanajukwaa. Ninaomba yeyote anayefahamu majina kamili ya wasanii hawa anifahamishe. 1. Snare 2. Jebby 3. Chelea Man 4. Buff G 5. OCG (yule wa Aqwelina) Natanguliza shukrani
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Kama tunavyoona Salama ameanza kuhost kipindi kipya cha Ngazi Kwa Ngazi na kuachana na kile cha awali cha Mkasi, ningependa kujua hatma ya hawa vijana wengine John na Muba waliokuwa wakiendesha...
11 Reactions
233 Replies
26K Views
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja, huu msemo bhana umejidhihirisha kwa Rayvan na Harmonize baada ya kila mmoja kujiona fundi zaidi ya mwenzake ingawa meneja wao ndugu Ricardo...
2 Reactions
24 Replies
17K Views
Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui...
5 Reactions
153 Replies
15K Views
Baada ya kutotajwa jina lake kwenye tuzo za MTV MAMA 2016, Davido amejipa moyo kufanya vizuri mwakani kwenye tuzo hizo. Kupitia mtandao wake wa Twitter, muimbaji huyo ameandika, “I really...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni. Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa. Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa...
21 Reactions
91 Replies
21K Views
Msanii wa nyimbo za asili Saifa Karoli aliyevuma kitambo amefunguka na kusema kuwa kitendo cha msanii Diamond Platnumz kurudia moja ya kazi yake anajihisi kuzaliwa upya. Saida...
13 Reactions
56 Replies
12K Views
Msanii David Adeleke Adedeji ameonesha furaha ya hali ya juu baada ya kuisikia nyimbo yake ya Skelewu ikichezwa katika movie kubwa huko Hollywood Marekani iitwayo Qween of Katwe Katika movie hii...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wanajamvi, Nasikitishwa sana na baadhi ya mashabiki na baadhi ya wasanii wakubwa kwa kuzidisha jitihada kumshusha kijana wawatu kwa hatua anazonipiga. Hivi TZ tutabadilika lini na kuachana na...
0 Reactions
3 Replies
914 Views
Back
Top Bottom