Naimani wale wa kale watakuwa wanamjua huyu promota na meneja maarufu miaka ile ya 2000 mwanzoni aliyemleta Saida karoli akabambaa Afrika nzimaa chini ya studio yake ya fm studio
Producer Akiwa...
Hakuna asiyemjua mwanamama Saida Karoli kutoka na vibao vyake motomoto kama vile Chambua kama Karanga, Kalibatano, Kitobelo, Engozi...nk pia aliwahi kushiriki mashindano ya Kora kupitia kipengele...
Baada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO
Yupi unamuona...
Kwa mtazamo wangu nadhani hawa ndiyo wasanii wa bongo fleva ambao wameshirikishwa kwenye nyimbo bila kuharibu na wakati mwingine kuzipaisha ngoma zenyewe.
1.Alikiba.
2.G.Nako
3.Barnaba boy...
Huyu mtoto nina zake!!!kanifanya nimewehuka mpaka namfungulia thread,aisee hivi ni masikio yangu au nna tatizo?dogo anajua jamani,kwenye salome kanifanya toka jana namaliza mb zangu,huyu mtoto...
After a bidding war between Universal Music and
Sony Music , the only Two Major Distribution companies in the world, Wizkid has decided to go with the latter and just inked a global record deal...
Akiongea na Millard Ayo baba huyo wa mabinti watatu alitoa sababu kwanini hataki wajihusishe na mziki. "Unajua binti kupitia kwenye mziki hadi aje kufanikiwa lazima apitie mengi. Mimi naongea hivi...
Hii video mpya ya diamond pamoja na Raymond imenikosha, ila najiuliza tu kwa nn kaka yetu hakumtumia Lulu na badala yake akamtumia tunda? Au aliogopa kukutanisha mafahali wawili katika zizi...
Naona picha zake znyingi anapiga akiwa anakula au yupo kwenye mijumba ya kifahari
Hizi nyumba ni zake au kwao kwel?
Au ndio kick?! Au ndio anauza papuchi
Japokua ki muonekano hayuko vyema sana sema ana vionjo flani ktk utangazaji wake na vicheko mororo sauti clear ila kizungu kingi..kwa wasio mjua huyu dada ni mtangazaji wa clouds tv ana host...
Naomba niwashaur wana jf wenzangu kua tumpatieni huyu jamaa digrii ya heshima kutoka hapa jf.
Nadhani kila mtu anautambua mchango wake ktk tasnia ya mziki wa kizaz kipya hapa bongo,aisee jamaa ni...
Utafiti uliofanyika siku za ivi kalibuni umeonesha kuwa mashabiki wa Ali Kiba wana jikomba nakumpenda mtu asie wapenda na anae wadharau..... Unazungumziaje utafiti huo
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi amedai wakati yuko masomoni nchini Marekani alishawahi kufanya kazi kwenye Hoteli ya mgombea Urais wa sasa wa nchi hiyo kupitia chama cha Republican, Donald...
Mwaka 2006 ndio ilitoka album ya tatu ya Prof Jay ambayo inafahamika kwa jina la J.O.S.E.P.H. Lakini J.O.S.E.P.H ni wimbo ambao uliweza kulichaguliwa kuwa wimbo bora wa Bongo Fleva/Hiphop BBC na...
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa, hatimaye Chidi benzi licha ya kuripoti hapo awali ya kuwa ameachana na madawa ya kulevya na kurudi na ngoma iitwayo chuma na kufanikiwa kupenya na hiyo...
nyimbo inahusu kulielezea jwtz na baadhi ya mission ilizoshiriki nje ya nchi ,ndani ya video utapata kumuona jay mo akiwa juu ya tank,pia wanaonekana wakiwa kwenye meli ya kijeshi na pia...
Hitmaker wa ngoma ya Jikeshupa Nuh Mziwanda amebonga na kipaza cha Perfect255 kuhusiana na mipango yake ya baadae kuja kubadilisha aina ya uimbaji na kuwa anaimba muziki wa dini.
Nuh ameiambia...
Baada ya msanii ruby kukorofishana na clouds media ,sasa naona Efm ya jijini dar imeamua kumkwapua na kuzunguka nae sehemu mbalimbali kwa slogan yao ya "tunasepa na kijiji" ambapo kesho watakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.