Nimekutana na hii kitu Instagram kwenye account ya Hamisa Mobeto mzazi mwenzake Majizzo(CEO wa Efm) Ambae ndo shemela wake na Lulu kwa sasa, Imekuwepo Maneno ya kuchambana Kati ya hamisa na lulu...
Mtangazaji wa kipindi cha ala za roho cha clouds fm Loveness Malinzi amedai kuwa hamfahamu Ruby wala Gigy Money kwa kuwa hajawahi kuwasikia hata siku moja
Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amekanusha taarifa zilizoandikwa kwenye vyombo mbalimbali vya Habari nchini likiwemo Gazeti la Mtanzania kuwa amempeleka Diamond polisi kwa kile...
Oii mamb vp wadau, mimi sipo team yoyote ila napenda mafanikio ya msanii iwe diamond ama alikiba ama msanii yoyote anaepata mafanikio kupitia music industry.
Sasa nirud kwenye mada kuu, nasema...
Kwa waliobahatika kuangalia mechi za hawa wababe basi lazima wakubaliane na mimi.
Tyson kapigwa mno mchezo wa kwanza hadi akalegema kabisa na refarii kuhamua kumaliza mchezo.
Mechi ya pili jamaa...
Ni miezi 9 sasa tangu asaini mkataba na Sony Music lakini Davido hajatoa wimbo mpya.
Mashabiki wamechoka kusubiri, yeye mwenyewe amepagawa na mambo yamekuwa si mambo tena!
Kulikuwa na mipango ya...
Masanja amedai kuwa kesi ya kuvaa sare za polis ilimfanya akakatiza honeymoon yake ila amedai walienda na sare hizo baada ya kusikia kuwa Kova atakuwepo na waizivaa ili kwenda kukuza mahusianao...
Ok Guys I have a Small Announcement to make...!! As Much as I love this Lil angel, Please & I repeat Please, Quit editing her pics and make her look like my own... This baby Got parents and her...
Kumekuwa na bifu kati ya Man Fongo na mama wema mara baada ya man Fongo kudaiwa kuongea maneno mabaya kuhusu Wema wakiwa wanasafiri kwenda kwenye Fiesta na maneno hayo kutumwa kwa mama Wema na...
.............................................Wasalaaaaaaaaaaaaaaaaaam .............................................
Jamaaa anajua Mpaka anakera Aiseee, Tumpe Support ndugu yetu, Ingawa me Siju...
Msanii wa muziki, Shilole ameweka wazi jinsi alivyopata wakati mgumu kuicheza scenes ya mahaba katika video ya wimbo ‘Natafuta Kiki’ ya Raymond.
Scenes hiyo inamuonyesha muimbaji huyo wakati...
Christian Bella ameungana na Mrisho Mpoto kwenye orodha ya wasanii waliopo kwenye playlist ya Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Akiongea kwenye kipindi cha Bongo Beatz cha Star TV, Bella alisema...
East African rapper, Keko has revealed she could throw in the towel at South African Music label Sony soon. The rapper who made history by becoming the first Ugandan to sign a multi- album and...
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima.
Vipengele hivyo ni pamoja na Songwriter of The Year in Africa, Song of The Year in Africa, Artiste of The...
Huyu dada muimbaji wa muziki wa mwambao kweli ni ameumbika haswaaa. Sijui anafanya kazi na kundi gani kwa sasa
Rangi yake ni ile ya watu wa mashariki ya mbali au wanaita rangi ya mtume. Nywele za...
Leo Akiwa South Africa Alikiba Amesign Sony Music ,Lebo hii ambayo inawasimamia akina Chris Brown,Davido na John Legend itakuwa na Kazi ya kutangaza video na Audio za Alikiba Kimataifa na Duniani...