Habari wakuu....
Mimi huyu binti namzimia sana swaga zake....Ana kalafudhi flani hivi katamu...Swaga zake huwa zinanifanya nimvutie picha kama TomBoy flani hivi....
Wazee wa mafaili em nisaidieni...
Huyu jamaa kala maharage ya wapi huyu, mbona sikuhizi anatoa ngoma kali tupu? yaani ukifatia trend yake kuanzia ile ngoma aliyomshirikisha Nay wa Mitego 'Tunaishi', Heya Haye ft Blue, Kama...
Hakuna mtanzania asiyejua ya kwamba msanii wa muziki wa bongofleva Emmanuel Elibariki a.k.a Ney wa mitego kafungiwa na BASATA kwamba asijihusishe na muziki kwa muda usiojulikana.
Kwanza niseme tu...
Baada miezi kadha ya mikiki na kurushiana vijembe hatimaye kundi la P.Square wamemaliza tofauti zao ni baada ya Peter Okoye kupitia instagram account yke na kukiri makosa yke.
Kweli Damu n nzito...
Nimebahatika kucheki movie kibao Sana za kibongo... Kwanini katika movie zenu lazma kuwe na haka ka scene ka kuonesha B.O.T ... Why always B.O.T na movie zenu haziwezi kukamilika bila kuonesha...
BARAKA DE PRINCE AONYESHA JINSI GANI ANAMPENDA NAJMA!, ATOA VIDEO HII MTANDAOONI.
"Najma ndiyo mwanamke pekee ambaye nimeamua kwamba nitamuoa na ameshakubalika kwa wazazi wangu, hao wanaochonga...
Meneja wa mwanamuziki wa kimataifa Diamond Platnumz, Hamis Tale Tale maarufu kwa jina la ‘Babu Tale’ hivi sasa yupo mikononi mwa polisi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Babu Tale amekamatwa...
kwa wale wapenzi wa hiphop mtakubaliana na mimi kuwa remix ya machizi mmeniroga ni bonge la ngoma ambayo humo ndani wamishirikishw roma pamoja na j mo nakuifanya ngoma iwe kali zaidi kuna michano...
Nisaidieni wakuu huyu Nay wa mitego si amefungiwa mbona jana kaburudisha kwenye shoo ya Mwendo kasi au mi ndio sielewi......tujuzane. Na ndio kwanza anasema anautengenezea video huo wimbo wake.
Jumanne mchopanga ni msanii mzuri sana na ninamkubali sana kuliko msanii yeyote bongo nzima,ila tatizo la huyu jamaa ni uzushi tu.jamaaa ni mzushi sana na nahisi hata tabia za kinafiki lazima...
Kwako Malaria Sugu,
Kwa kweli nimekuwa nikivutiwa sana na uwezo wako katika kukabiliana na hoja za wapinzani wako au niseme wachangiaji wasiokubaliana na hoja zako. Huna hasira, unajibu kwa...
Tukae mkao wa kulaa by sa Moja kamili asubuhi,chege chigunda mtoto wa mama Said akimshirikisha Diamond platnumz ambaye hajuagiii kuharibu kwenye kazi akishirikishwa wanatudondoshea Goma lao leo...
Staa wa Hip Hop na Mbunge wa Mikumi, Joseph ‘Professor jay’ Haule, wiki hii anatarajia kuachia wimbo wake mpya aliyochanganya mahadhi ya Hip Hop na Singeli aliyomshirikisha Shollo Mwamba...
Akihojiwa katika kipindi cha Spora show, Massanja Mkandamizaji amesema hajafanya mapenzi na mwanamke tangu aokoke miaka 7 iliyopita. Anasema atapiga game nyingi akiona hivi karibuni
Kweli dunia ina mambo na vimbwaga vyake!
Leo j2 katika kpndi ya diary ya lady jay dee knachorushwa na kituo cha eatv kaelezea jinsi gani anavyosumbuliwa na ndoto za usiku pamoja na jini...
Wana jamvi wasalaam.
Kwa niaba ya wanaume wa Dodoma! ule msemo wa mwende mkaijaze dunia umeendelea kutimizwa na ndugu Diamond.
Na sasa anatarajia kuleta mwingine duniani.
Confirmed
Diamond...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.