Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hear this hot gossip......according to insiders Zari is neither insecure about Wema Sepetu nor Kajala Masanja as many people think. According to a source from Diamond's team, Zari's insecurity of...
0 Reactions
52 Replies
21K Views
Kiingereza ni lugha inayotupa tabu Watanzania wengi na hakuna anayebisha kuwa kimekuwa kikitukosesha fursa nyingi za kimataifa au kujikuta tukiumbuka. Rich Mavoko ni mmoja wao na amesema...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati alinusurika kupigwa risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa kwa sababu za kipolisi) jijini Dar es...
3 Reactions
121 Replies
17K Views
Nuh Mziwanda Baada ya Kumpata mpenzi mpya amejikuta amerudia alilofanya kwa Shilole la Kujichora Tatoo Mkononi ya jina la mpenzi wake huyo mpya.. Nuh Amesema huyu wa sasa amekuja na gia kubwa...
3 Reactions
36 Replies
9K Views
ASEMA MUZIKI WA BONGO FLEVA UNAFIKA MBALI NA WANAOSIKILIZA WENGI HAWAJUI KISWAHILI KWAHIYO AMEANZA KUJIFUNZA KIINGEREZA.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu dogo mi nimeanza kumskia muda mrefu sana, na ukweli ni kuwa nimemjua kupitia shilole..Lakini sikuwahi kuujua wimbo wake hata mmoja.... Lakini hii kitu mpya aisee naona inabamba sana...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather ameingia tena kwenye headlines kwa kuongeza ndege binafsi ya pili aina ya Gulf Stream III kwa madai kuwa moja haimtoshi katika matumizi yake binafsi na...
5 Reactions
102 Replies
11K Views
Msanii wa filamu na mjasiriamali Wema Sepetu amefunguka ya moyoni kutokana na namna mashabiki wake wa mitandaoni wanavyomchukulia na kumpa maneno ambayo muda mwingine yanamuumiza na kumkosesha...
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Baada ya Maneno ya chini kwa chin kutoka kwa baadh ya watu kwamb hawa watu hawaiv Chungu kimoja...Kupitia Interview mbali mbali Diamond amekua akisema hana ugomvi na Davido mkali kutoka Nigeria...
3 Reactions
85 Replies
9K Views
  • Closed
Vita kati ya Mfalme wa Mitandao yote ya Kijamii Tanzania, Lemutuz dhidi ya mkewe (mtalaka?) ambaye anaishi huko New York City, USA,ime fikia pabaya : "Le mutuz au baba...
4 Reactions
85 Replies
27K Views
Katika Naamka Concert wakati akiimba wimbo wa "siwema" kuna kale kamstari [emoji445] eti sababu yeye ni mzuri sana[emoji444] siwezi kupata mwingine kama yeye[emoji444] , jide akamalizia kichwa...
14 Reactions
103 Replies
18K Views
Nani ambaye alikuwa hayajui mahusiano ya Wema Sepetu na Diamond? Hakuna ila yalikuja yakazima ghafla kama mwanga wa mshumaa, kila mtu akaendelea na maisha yake lakini vita ya mashabiki wao...
1 Reactions
63 Replies
12K Views
PICTURE OF THE DAY: This Virgin Airlines employee was caught NAPPING on the office couch when his billionaire boss, Sir Richard Branson stopped by for a visit. But the boss said it was ok because...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Andaa macho na masikio yako kupokea wimbo mpya wa taifa kutoka kwa living legend Diamond Platinumz ft P square. Wimbo ni mkali, kichupa cha mwendokasi. Kiukweli japo wimbo bado sijauskia na...
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Mwanasiasa maarufu Kenya na kiongozi wa upinzani Raila Odinga akicheza wimbo wa Zigo remix wa AY kwenye tukio moja huko Kenya
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Huyu Jamaa alifungwa maisha baada ya kupatikana na hatia ya kuua ndugu zake 8, baba yake akiwemo, chanzo kikiwa ubwiaji wa dawa za kulevya(kwa mujibu wa Polisi). Mazingira mazima ya hii kesi ndio...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hawa watangazaji ingekuwa vizuri sana kama wanapata mtu anayewaangalia kwenye suala la mavazi ingekuwa vyema. Ukimwona dada huyu kola ya jaketi alilovaa imekaa vibaya na ndo mtangazaji yupo hewani...
2 Reactions
120 Replies
22K Views
Mama la mama, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amedaiwa kunasa ujauzito wa mpenzi wake, Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,. Taarifa hizo za ndani ya familia zimevuja ikiwa ni...
2 Reactions
83 Replies
26K Views
Habari zenu wakuu. DIAMOND au ALIKIBA Unamkubali nani DIAMOND au ALIKIBA Ungependa kufanya kolabo na nani kati ya DIAMOND au ALIKIBA ..........Nyimbo za nani unazisikiliza sana kati...
3 Reactions
41 Replies
6K Views
Maswali ya watangazaji wetu: Diamond au Ali Kiba? Maswali ya watangazaji wetu: Diamond au Ali Kiba?
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Back
Top Bottom