Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Sikuwahi kuwaunga mkono waliokuwa wanamzogoa Kanumba wakati alipolazimika kuongea kiingereza huko BBA, lakini hii baada ya kuingia kwenye tovuti yake kwa kweli imebidi na mimi niongee kitu. Hivi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
MKALI wa wimbo wa ‘Mkungu wa Ndizi’ aliyerudi kwa kasi katika muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Shaaban maarufu Q Chiller, amesema kwa sasa anatamani kufanyakazi na Diamond Platnumz. Q Chiller...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Muigizaji wa Bongo movie na 'baby mama' wa Mbunge wa Mbeya Mjini maarufu kama Sugu afunguka Instagram kuhusu mapenzi yake kwa mzazi mwenzie na kutoa tambo za kutosha kuwa hata Sugu akioa nyumba na...
2 Reactions
53 Replies
12K Views
Bendi mya ya ogopa kopas classic band modern taarab ambayo ni bendi inayokuja kwa kasi mjini. Bendi hiyo chini na ukurugenzi wa malkia Khadija omary kopa sasa. wanatarajia kufanya uzinduzi mwezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msanii ambaye ni rapper mkongwe wa muziki wa bongo fleva Witness, amefunguka kuhusu picha yake iliyoleta utata kwenye mitandao, na kusema hakuwa na nia mbaya alipoipost. Witness ameyasema hayo...
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Mwanadada Ray C amekimbizwa hospitali ya rufaa ya Muhimbili asubuhii hii akiwa mahututi. Ugonjwa unaomsumbua haujajulikana, amewahishwa hospitalini hapo asubuhi hii na kaka yake Tony pamoja na...
4 Reactions
174 Replies
33K Views
Inaweza ikawa mara ya kwanza kusikia neno”Socialite”,au pengine umeshawahi kusikia mtu akizielezea sifa za mtu kwa kumuita “Socialite person”,ila kwa kifupi “Socialite” ni neno la kingereza...
3 Reactions
125 Replies
77K Views
Ni asilimia 1 katika paundi milioni 1.7 zilizochangwa na mastaa na wafanyabiashara wa Uingereza kwaajili ya kuisaidia taasisi iliyoanzishwa na mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwanamziki maarufu wa Tanzania Diamondplatinamuz aka chibu amerudi kutoka safari ya mbali ambapo alipiga show za kufa mtu. wakati akiwa uwanja wa ndege alihojiwa na waandishi wa habari ni kitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimetega sikio toka asubuhi sijawasikia Kipanya na Fina nimesikia tuu sauti za baBra na Fredwaa mtoto wa Sanya juu kwani hawajaanza kazi? Mnaosikiliza ule upande wa pili vipi PJ na Hando wameanza...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Ni baada ya Mr Makonda kusema mwisho wa kupiga mziki kwenye kumbi za wazi ni saa sita usiku badala ya saa tisa kama ilivozoeleka hili ni balaa kwa wanamuziki wa Dansi na Taarab, Hapa Kazi Tu...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Closed
Bwana lemutuz umekua ukijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii kua unaanzisha radio yako huko mkoani Morogoro na itaitwa Swahili Radio FM ambayo nafahamu ipo chini ya Swahili African Media Ltd...
5 Reactions
44 Replies
8K Views
Wapendwa naomba kujua habari za Saida Karoli. Kwa sasa yuko wapi na kama bado anajihusisa na muziki? Naombeni pia mwenye namba yake anipm kwa maana mbali na kujua hayo nayouliza hapo juu...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
  • Closed
William Malecela alienda kumsalimia mtuhumiwa wa wizi wa fedha za umma na kumkuta akiwa na hali mbaya ameomba watu waende kuwajulia hali. Bwana William aliambatana na mfanyabiashara maarufu bwana...
11 Reactions
195 Replies
46K Views
Kipanya na Fina wamerudishwa rasmi clouds fm katika kipindi cha power breakfast. Wameeanza kazi leo na mwenye access ya clouds fm anaweza kuwasikiliza. Hongera Ruge.
10 Reactions
125 Replies
35K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa kijana Naseeb Abdul ana historia ambayo vijana wengi wanaichukulia kama motivation katika juhudi zao wanazofanya kila siku....Kutoka kuwa muuza mitumba ambaye baadhi ya...
7 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni Kwamba Muda Si Mfupi Mtangazaji Wa Zamani Wa Clouds FM Gadner G. Habash Ambaye Baadae Hadi Hivi Sasa Alikuwa Akitangaza Kituo Cha Redio Cha E FM Ametoka Kumalizana Na Uongozi Wa Clouds Media...
8 Reactions
264 Replies
49K Views
Ommy diompoz amewataka vijana wa kiume na wakike tutafuta pesa alafu ndo utajua muonekano wako halisi, amejitolea mfano yeye mwenyewe kwa kutupia picha hii
2 Reactions
17 Replies
6K Views
Mwisho Mwampamba kulia akiwa na mdogo wake walieshare baba, Robert Mwampamba (kushoto). Hapo walikuwa mahakamani juzi mjini Morogoro ambapo Mwisho kashitakiwa na mdogo wake kwa kumtukana matusi ya...
4 Reactions
139 Replies
36K Views
  • Closed
Katika muda ambao kila mmoja alikuwa amejaribu kuamini kuwa Diamond Platnumz ameamua kutulia na mpenzi mmoja, mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa, hivi karibuni staa huyo ameanzisha uhusiano wa...
1 Reactions
58 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…