Nlikuwa namsikia tu sasa wakati na surf tweeter nikakutana na page yake na kuona ana follower kama 80 Million nlishtuka kidogo nlipoingia google nikampekua nikakuta ni mwanamziki basi nikaamua ku...
CMB Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara akionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala yake...
Kadri siku zinavozidi kwenda teknolojia inakua. Siku hizi hatujazi masongi kwenye memory card huko vibandani ni mwendo wa online streaming tu.
Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya...
Kama alivyopata kusema Msanii Ben Paul kuwa Kiba anakuwa overrated halafu inamgharimu sana.
Uwezo na upeo wa msanii yeyote utaupima pia katika mahojiano mbalimbali na media,huwezi kudanganya umma...
Hakyamungu huyu samatta ndiye wa kumuombea watanzania sio wale waliopiga push up kwenye kampeni baadaye wanakuja kulialia eti tuwaombee nyumba zimepigwa x
embu angalia uongo wa Club african ya...
DIAMOND PLATNUMZ amechaguliwa kwenye Tuzo za #Maya Awards-2016 za nchini naijeria ambazo upigaji kura ushaanza na mwisho mwezi Februali,2016 katika kategori ya African Artist Act(Mtumbuizaji bora...
Ndugu wanajamii forum..leo nilipata nafasi nikaweza kusikiliza nyimbo za hawa wasanii wawili wakubwa wa Tanzania Alikiba pamoja na Diamond.Baada ya kusikiliza nyimbo nyingi za kila mmoja toka...
Wadau wapenda ubuyu wa masuper staa najaribu kujiuliza kuhusu huu mkoko aliotunukiwa binti tunda ni young D kamtunuku au kuna anaza sponsa? @nifan@warumi najua mtakuwa mmeshaona huu ukwaju
Hellow,
Kuna habari nimeziona toka kwenye blogs eti nyumba ya Dr Mengi iko kwenye hati hati ya kubomolewa, je kuna ukweli wowote juu ya hili? Au ni rumors tu...
From @officialaccountofDiamondPlatnumz said as following.
Wadau leo Mwamba wetu M'bwana Samara anatuwakilisha kwenye Tuzo za Glo-cuf Awards....tusiache kuangalia kupitia @dstvtanzania.
Wakuu leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jina instagram, nikakumbuka kama niliisha wahi liona sehem ngoja nicrick dah, lahaula lakwata.nikakutana na mashauzi ya kiume Mungu wangu...
Juzi kati mitandao ya kijamii na kwenye ukurasa wake wa Facebook, Wastara alipost kuwa nyumba zake mbili zinavunjwa, leo amepata mume kutoka CCM, Sadifa Juma ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM - Taifa...
Ule urafiki wa mastaa wa bongo movie ,wema sepetu pamoja na kajala masanja unadaiwa kurudi kwa kasi huku wenyewe wakifanya siri hili wambea wasianze choko choko za kuwagombanisha, habari chini ya...
Mwaka jana nilikuletea exclusive ya wachezaji watatu wa team ya Stuttgart ya Germany waliosimamishwa kwa kosa la kutoroka hotelini kuhudhuria show ya Diamond lakini ya leo ndio kali na kubwa...
Tu wazima na siha njema na harakati za kutafuta maisha hapa na pale in order to survive na kuendeledha vizazi vijavyo,but now siegamii upande wowote ule wa Msanii Fulani,Ila tu patakaponilazimu...
Simba dume kutoka Ilala boma(maana Tandale hamna simba) limesema linataka kwenda sauzi na kukaa miezi mitatu kutengeneza na kushoot video kwa ajili ya album yake mpya huku mastaa kibao kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.