Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Ni mtu Mwenye Mchango Mkubwa Sanaaa Katika Maisha Yangu Leo Hii Mimi Ninathaminika Kutoka Kwenye...
Team Membership JamiiForum kama kichwa cha tajwa hapo juu. Wasanii wa Bongo-Dar Leo kukaa kikao chao kwaajili ya kujadili Mziiki wa Bongo, ni nini wafanye na kipi, ili iweje, yote kwa yote kutoboa...
Naughty By Nature’s Treach Disses Kanye West & Kim Kardashian
Treach defends his late friend Tupac.
by Soren Baker
Naughty By Nature’s Treach disses Kanye West and Kim Kardashian in a series of...
Ni miaka kadhaa sasa huku mtaani kila nikipita pita sehemu tofauti nakutana na story tatanishi juu ya wasanii wa kike wa bongo movie
Story yenyewe ni kuwa hawa wasanii wanauza papuchi...
kama kichwa habari kinavosema,Nyimbo ya #UTANIPENDA imeshika nafasi ya kwanza katika nyimbo zinazopendwa,zinazogongwa na kuombwa na kuchezwa kwenye vituo vya habari Tanzania.
No.1#UTANIPENDA...
Gilla akiogelea
…akiokolewa baada ya kuzidiwa na maji.
…akipatiwa huduma ya kwanza
Stori:Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ amejikuta akinusurika kifo wakati...
Naandika hili kwa furaha ya kweli kabisa ( in Magufuli voice) huyu msanii nilipendaga sana kazi zake ila baada yakuchezea mangumi mengi mfululizo ya dudu baya akapotea gafla.
Sasa karudi vizuri...
Alikiba the so called King(Japo ni King Wa Ndotoni)Huyu Kaka Ni Mshamba Sana,Ni Kweli yeye ni Msanii Poa,Na Aliwahi Kufanya Vizuri Huko Nyuma(Japo Hakuwahi Kufika Hats Robo Ya Balaa La Juma Nature...
Dada zetu wale wanaojiita boss ladies hapa mjini watataabika saaana baada ya wanaowafadhili na kuwaweka mjini kwa kuwapa kiburi cha fedha kubanwa vilivyo na serikali ya awamu ya tano...
Amini...
Alianza na ule wimbo wake wa mdogo mdogo. Ila tangu na hapo nilijua kwa kuwa huyu jamaa ni mwanamuziki ipo siku ataweka sawa mambo yake. Ndio akaanza na mdogo mdogo. Sasa kaja na huu wa mkungu wa...
Wadau hivi ile adhabu ya Shilole aka Shishi baby kufungiwa mwaka mmoja imekwisha lini?
Cheki link ifuatayo hapa chini?
Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar -...
Kwenye tease ya Mkasi, producer mkali bongo Nisher ameulizwa "Are you straight?" akabaki kujiumauma.... Kabla hajajibu swali hilo ikakatwa hiyo part ili kuleta uhondo Jumatatu ijayo...
Does that...
Hatimaye D.Platanzania ajishindia Tuzo za #THEHEADIS za nchini naijeria kwenye kategori ya MsaniiBoraBaraniAfrka.
Kinyang'anyiro hicho wakiwemo akina Cosper Nyovest,Uhuru,AKA na Sarkodie.
-Tuzo...
Tupia hapa jina la member ambae huu mwaka amefanya ulipende jukwaa la celebrities kwa michango yake na useme kwa kiufupi unapenda nini kwake au ni topic gani ilikufuraisha toka kwake ili tufunge...
Kati ya mashabiki waliokuwa wakikupigania huku mtaani Ni mm!
Kati ya mashabiki waliokuwa wakiperuzi page zako za facebook,instagram na tweeter kila saa Ni Mimi!
Kati ya shabiki ambaye nili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.