Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wadau, Nikiwa napitia maswala ya burudani nikapata habari kua Diamond ametoa single mpya ya UTANIPENDA??. Nikaona na kusikia ikipewa shavu kubwa tu kua ni single kali (??) na ita-hit sana redioni...
3 Reactions
61 Replies
15K Views
Habari wadau, Sijapendezwa na Tambo za Huyu masanja makandamizaji,japo Mungu amamempa nyumba kadhaa,magari kadhaa na mashamba ya mpunga,asijione ndio maisha kayapatia,Kuna watu walikuwa na pesa...
1 Reactions
65 Replies
19K Views
Huu ni upuuzi uliopitiliza wakati watu wakitafuta mahala pa kwenda kula bata usiku wa christmas maeneo ya Korogwe kumetokea tukio la kuudhi na kukera kwenye ukumbi ujulikanao kama Mamba club...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna habari kwamba mwanamuziki Diamond kashindwa gharama za kumtunza dada bilionea Zari,na amekuwa akilalamika chini kwa chini kwamba akaunti yake sasa inakauka, ni wazi kwamba penzi lao liko...
4 Reactions
78 Replies
18K Views
Tu wazima fans' Wa team no stress. Wale Wa kwa Showz ya Leo ndani ya mjengo DAR LIVE-TONIGHT.Tutakuwa na DIAMOND P. Utacomment kinachoendelea umo ndani kwa Whitehouse DARLIVEBABY. Now...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Hatimaye mchekeshaji maarufu Africa mashariki Eric Omondi ameachia Video yake alio ifanyia remix nyimbo ya Diamondplatnumz kaimba kwa dakika mbili na sekunde kama 39 hivi lakini nimependa...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Miss Philippines Pia Alonzo Wurtzbach akionyesha mshituko baada ya kutangazwa kuwa ni yeye ndiye ameshinda. Miss Universe2015 imezua kituko cha Mwaka baada ya Mc Steve Harvey kumtangaza kutoka...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Jamaa naona kaenda kuwaambia wapiga kura waliomnyima Ubunge kwamba hakuwa na shida ya pesa ila uwakilishi... Ila wachagga wabishi sana, huyu jamaa angekuwa anagombea Mtimbwilimbwi angepita kwa...
1 Reactions
63 Replies
22K Views
Kati ya nagharamia kutoka kwa king zamunda na mkali wa masauti Bella, na hii utanipenda kutoka kwa king of jungle aka simba mondi ipi ni habari ya mjini
1 Reactions
57 Replies
10K Views
Tarehe 26 vepee..king Kiba Vepee Yani i can't wait..tukutane escape ka Vepee Kwani we vepee😂😂😂😂😂
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kwa wapenzi wa muziki, tukiweka figisu figisu pembeni. Kwa moyo mkunjufu kabisa napenda kumpa pongezi Ally Kiba kwani kwa kiasi fulani amajitahidi kujibu lawama kwa vitendo kwenye hii video...
3 Reactions
128 Replies
15K Views
Fasihi ni kazi ya sanaa inayotumia lugha kufikisha ujumbe kwa jamii.Kuna fasihi andishi na fasihi simulizi.Nyimbo ni sehemu ya fasihi simulizi.Fasihi ni zao la jamii,kwa sababu hujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
leo ni birthday ya tudy naona mastaa wengi wanamuwishi kua hbd shem lake anayemjua atupe ubuyu na sisi Xmass ii tule vzr
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Tokea wimbo umewekwa youtube umefikisha views milioni moja baada ya wiki moja huyu mtu ameshindikana kabisa Diamond Platnumz - Utanipenda (Lyric with English?: http://youtu.be/LSk_M7d_OWM
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Mwaka 2016 ni mwaka wa mafanikio kwa wasaniii hasa wa muziki kimapato kwa nyimbo zao mbalimbali kuanza kufaidika nazo Je wasanii wa sanaa nyingine watafaidikaje ? Lakini mwaka 2015 unaisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kipindi cha mkasi kilichoruka jana 21/12/2015 usiku Nilipigwa na mshangao wa kufa mtu pale muongoza kipindi Salama alipomuuliza Diva kama anaufahamu wimbo wa taifa akajibu kwa kifupi...
8 Reactions
121 Replies
20K Views
Mi wasanii ninaowataka warudi ni Voice Wonder Kali P Suma G Solid Ground Family Suma Lee Noorah Je wewe unawamiss kina nani?
0 Reactions
129 Replies
27K Views
Jamani kama mtanzania nimejisikia fahari sana kumuona Ali Kiba akihojiwa BBC Televison katika kipindi cha Focus on Africa huku akisifiwa kama Bongo Flava Star aliyefanya kazi na magwiji kama R...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
sparrowJR. Retweeted Future Mkhulu Bae ‏@UNcubeOthungayo Johannesburg, South Africa That Diamond Platnumz* And AKA vid is gonna be lit.
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nakumbuka kuna kipindi diamond alipotoa ile Mbagala kuna msanii flani alilalamika kaibiwa naye akatoa yake inayofanana na Mbagala. . Hivi alikuwa ni nani yule? Na yupo wapi siku hizi?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom