Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

New Music: Diamond Platnumz – Hello Diamond Platnumz - 'Hello' (Music Audio) New Music: Diamond Platnumz – Hello
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nlikuwa namsikia tu sasa wakati na surf tweeter nikakutana na page yake na kuona ana follower kama 80 Million nlishtuka kidogo nlipoingia google nikampekua nikakuta ni mwanamziki basi nikaamua ku...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
CMB Prezzo alijivunjia heshima wakati akifanyiwa mahojiano kwenye televisheni ya KTN, mara kwa mara akionekana kutokuwa makini kuyajibu maswali ya mtangazaji wa kike Betty Okari na badala yake...
3 Reactions
70 Replies
14K Views
Kadri siku zinavozidi kwenda teknolojia inakua. Siku hizi hatujazi masongi kwenye memory card huko vibandani ni mwendo wa online streaming tu. Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
hakymungu Mopao ni noooma,sikiliza kuanzia dk ya 4.02...lol...waue baba
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama alivyopata kusema Msanii Ben Paul kuwa Kiba anakuwa overrated halafu inamgharimu sana. Uwezo na upeo wa msanii yeyote utaupima pia katika mahojiano mbalimbali na media,huwezi kudanganya umma...
3 Reactions
83 Replies
20K Views
Hakyamungu huyu samatta ndiye wa kumuombea watanzania sio wale waliopiga push up kwenye kampeni baadaye wanakuja kulialia eti tuwaombee nyumba zimepigwa x embu angalia uongo wa Club african ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba mnisaidie kunifahamisha hivi wema na Idris ni wapenzi kweli? Au Kuna movie wanatarajia kuitoa hivyo wanaifanyia promo?
0 Reactions
163 Replies
41K Views
DIAMOND PLATNUMZ amechaguliwa kwenye Tuzo za #Maya Awards-2016 za nchini naijeria ambazo upigaji kura ushaanza na mwisho mwezi Februali,2016 katika kategori ya African Artist Act(Mtumbuizaji bora...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Baba na mama Sama goal wakimsbiri mtoto wao kwenye ngazi za uwanja wa ndege akitokea Nigeria alikoshinda tuzo ya wanasoka wa ndani Afrika
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ndugu wanajamii forum..leo nilipata nafasi nikaweza kusikiliza nyimbo za hawa wasanii wawili wakubwa wa Tanzania Alikiba pamoja na Diamond.Baada ya kusikiliza nyimbo nyingi za kila mmoja toka...
1 Reactions
37 Replies
13K Views
Wadau wapenda ubuyu wa masuper staa najaribu kujiuliza kuhusu huu mkoko aliotunukiwa binti tunda ni young D kamtunuku au kuna anaza sponsa? @nifan@warumi najua mtakuwa mmeshaona huu ukwaju
0 Reactions
114 Replies
16K Views
Hellow, Kuna habari nimeziona toka kwenye blogs eti nyumba ya Dr Mengi iko kwenye hati hati ya kubomolewa, je kuna ukweli wowote juu ya hili? Au ni rumors tu...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
From @officialaccountofDiamondPlatnumz said as following. Wadau leo Mwamba wetu M'bwana Samara anatuwakilisha kwenye Tuzo za Glo-cuf Awards....tusiache kuangalia kupitia @dstvtanzania.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Closed
Wakuu leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jina instagram, nikakumbuka kama niliisha wahi liona sehem ngoja nicrick dah, lahaula lakwata.nikakutana na mashauzi ya kiume Mungu wangu...
0 Reactions
17 Replies
11K Views
Juzi kati mitandao ya kijamii na kwenye ukurasa wake wa Facebook, Wastara alipost kuwa nyumba zake mbili zinavunjwa, leo amepata mume kutoka CCM, Sadifa Juma ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM - Taifa...
1 Reactions
56 Replies
23K Views
Ule urafiki wa mastaa wa bongo movie ,wema sepetu pamoja na kajala masanja unadaiwa kurudi kwa kasi huku wenyewe wakifanya siri hili wambea wasianze choko choko za kuwagombanisha, habari chini ya...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Mwaka jana nilikuletea exclusive ya wachezaji watatu wa team ya Stuttgart ya Germany waliosimamishwa kwa kosa la kutoroka hotelini kuhudhuria show ya Diamond lakini ya leo ndio kali na kubwa...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Tu wazima na siha njema na harakati za kutafuta maisha hapa na pale in order to survive na kuendeledha vizazi vijavyo,but now siegamii upande wowote ule wa Msanii Fulani,Ila tu patakaponilazimu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Simba dume kutoka Ilala boma(maana Tandale hamna simba) limesema linataka kwenda sauzi na kukaa miezi mitatu kutengeneza na kushoot video kwa ajili ya album yake mpya huku mastaa kibao kutoka...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…