Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mi ni team Ali Kiba forever ila jamaa anazingua na sijui anajisikia au vipi maana kila siku anaambiwa hasikii kama atataka kushindana na Diamond naona kachelewa sana. Katoa audio ya chekecha...
3 Reactions
87 Replies
10K Views
Jamani mtakubaliana nami kuwa Kanumba aliwabeba sana kina Patcho Mwamba na Sengo mpaka wakajulikana kila kona, aliwashirikisha sana. Lakini baada ya kufariki, kina Patcho Mwamba nao wamedumbukia...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Katika ulimwengu wa wapendanao kuna changamoto nyingi ambazo wapenzi hukutana nazo huku wengine wakizishinda na baadhi kushindwa. Wapo wapenzi walioshindwa kuendelea na uhusiano wao mara baada...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Kwa taarifa zilizotufikia ni kuwa bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge ameaga dunia leo hii. Rip bonge. Update: Tasnia ya muziki wa kizazi kipya leo imepata pigo baada ya muasisi wa kundi...
0 Reactions
83 Replies
26K Views
Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari...
1 Reactions
225 Replies
45K Views
Sijui kama ana familia huyu jamani....!!?
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Msanii anayefanya muziki wa Hip Hop kiharakati zaidi, Roma Mkatoliki kaamua kuwafungukia mastaa wenye tabia ya kuomboleza misiba kupitia account zao za Instagram pekee bila kushiriki msiba. Roma...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
NI kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana hawa madada zetu wa kibongo hasa hasa hawa wanaojiita mastaa na nimegundua kuwa kuna element flani flani za UCHANGUDOA. Watu kama...
0 Reactions
67 Replies
18K Views
Tunasema kuna wasanii wamepinda kama Chris Brown, TI au lilwayne na wengineo ila huyu jamaa odb alikuwa ni kiboko saaana yaani hatari had madaktar walikuwa hawajui jamaa karukwa na akili sababu ya...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
jamani wanajamii wenzang naomba kujua kwa yeyote anayefahamu chanzo cha mgogoro wa Ruge Mtahaba na Joeseph Mbilinyi .ak.a sugu ulianzia wapi na je hauna suruhisho.
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Aisee watu wapo wengi humo halafu uandaaji ulikuwa noma. Watengeneza video za bongo jifunzeni kitu siyo kuweka camera juu ya fito halafu mmemaliza.
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu, Naombeni jibu kati ya hawa wasanii wawili wa maigizo Wema Sepetu na Jackline Wollper ni nani yupo juu ya mwenzake kwenye uigizaji? Naomba tuambiene kwa kila mmoja kwa mtazamo wake ili...
0 Reactions
22 Replies
14K Views
Mwigizaji Mlela anasema anasema tofauti kubwa ya filamu nje yaani Africa, Ulaya na America na zile za bongo ni fedha tu. Wenzetu wanawekeza fedha nyingi kwenye filamu moja tofauti na sisi. Je...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
source: Issa Michuzi blog MY TAKE Hadondoki mtu hapa ni mwendo wa kumdaka akiporomoka ngazi ni adui wa comrade :dance:!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
To me hiz ndio nyimbo Kali mpaka sasa iv 1: usiofie wachanga rama dee 2: forever lady jay dee 3: pacha wangu richmavoko
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Komandoo jide jana alifanya show na kiba Katupia maneno insta kumshukuru kiba Kwa kumpa support despite uoga wa wasanii wengine kutompa support Kwa kuogopa watu flani flani nadhani mnawajua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanini wasanii wetu wa Bongofleva hawawezi kupiga show live, tatizo nini hasa hapa?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Muke ya mzungu aka lucy komba (pichan ) akiwa kaweka pozi matata, pamoja na mtoto wake wa kiume. Ila lucy sio kwa pozi hilo, na ilo jicho vipi tena? Au ndo matunda ya ndoa? By the way tumemis...
0 Reactions
100 Replies
19K Views
Hafsa Kazinja akipozi. MWANAMUZIKI aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja amefunguka kuwa alikuwa akiteswa na mauzauza ya kishirikina pindi alipokuwa katika majukwaa akiimba Bongo...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi...
0 Reactions
141 Replies
26K Views
Back
Top Bottom