Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Umofia kwenu, Habari zilizotufikia hivi karibuni ni kwamba Ostazi Juma na Musoma amechoka mbaya. Habari hizi pia zimethibitishwa na PNC, yule msanii aliyempigia magoti Ostazi kumuomba msamaha...
3 Reactions
40 Replies
13K Views
Jisomee mwenyewe madudu ya ndugu yetu. siyo wabongo, bali wamarekani wenyewe. One BA reader dishes the tea on OKC Thunder player Hasheem Thabeet and his seemingly fairytale relationship with...
0 Reactions
69 Replies
14K Views
Picha hii kutoka kwa Shilole enzi zake zamani kabla hajaanza kazi kwenye kiwanda cha burudani. Hapo alikuwa anaitwa Zuwena kabla ya majina ya Shilole na Shishi baby hayajaanza kutumika. Kweli...
4 Reactions
55 Replies
24K Views
Salama! Awali ya yote na declare interest kuwa hakika uyu Jamaa mimi binafsi namuona ni mfano bora. Ni bora hasa kwa kaya nyingi sana za kiTanzania,ambazo ni watafutaji wao sio waliokuta mali au...
2 Reactions
23 Replies
6K Views
Huyu ndo Ilham original, tajiri wa dini, ukimsikia mwingine fekero. Ina maana pale KKKT Kijitonyama ndo basi tena hatukuoni? Umewaaibisha wenzio ujue? Si ulisemaga umerudi kundini kimoja na...
6 Reactions
64 Replies
15K Views
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula- MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau nashindwa kuelewa kwanini tuna jikuta tunaingia kwenye mahusiano ya kipuuzi namna hii hivi kweli ni maadili ya afrika ndo yamefikia huku kweli jaman mkwe wa mbunge wa mbeya ,mjini sugu...
3 Reactions
68 Replies
15K Views
PNC AKIMWOMBA MSAMAHA USTAZ JUMA - YouTube Mimi kama mdau wa muziki wa kizazi kipya napinga na kulaani huu udhalilishaji wanaofanyiwa wasanii wetu. Nimestushwa kuona hii video inayosambaa kwenye...
1 Reactions
188 Replies
58K Views
Jamani ukweli uko hivi OMMY DIMPOZ anamfunika Diamond kwa kutoa nyimbo kali na video bomba zaidi. Jamaa anajua kuimba hatari na kila nyimbo anayotoa ni nouma sana.Kama unabisha njoo hapa uzungumze.
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Staa wa Bongo Movies Faiza Ally ambae ni mzazi mwenza wa Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu' amebandika hili andiko hili mtandaoni, hebu chukua muda wako kulisoma andiko hili, kuna punje utazipata...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Ndo producer aliyetengeneza hits kibao hapa bongo kwenye huu muziki wetu! Leo anatimiza miaka mingi hivi!! Kama Wewe mpenzi wa huu muziki wetu, katika miaka yote aliyoishi studio,ni biti gani...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Napenda kujua kama Wema Sepetu ni Mzanzibari kwa sababu mzee wake (baba) alipofariki alipelekwa Zanzibar kwa kuzikwa.
0 Reactions
34 Replies
16K Views
Long before the Kenya /Uganda railway and its world famous man eating lions took off from Mombasa and landed in Kisumu in 1901, a railway line in Zanzibar had ran on the lure of beautiful women...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inasemekana huyu jamaa ni muha wa kibondo kigoma yeye mwenyewe amekiri hilo
0 Reactions
54 Replies
9K Views
Kutoka kwenye Account ya Instagram, Mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee (Komando Jide) ameamua kutangaza rasmi yeye ni shabiki wa msanii Ali Kiba. Hii inakuja mara baada ya Ali Kiba...
5 Reactions
109 Replies
18K Views
Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa...
3 Reactions
168 Replies
35K Views
MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara ambaye pia ni msanii wa filamu, Zuwena Mohamed ‘Shilole' amefunguka kuwa kwa alichokiona, amekoma kutumia mkorogo. Akipiga stori na Ijumaa, Shilole...
0 Reactions
108 Replies
19K Views
HII ni habari ya kutisha! Takriban miaka mitatu imekatika tangu kifo cha aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Steven Kanumba huku watu wawili wakifariki dunia kwa nyakati tofauti lakini nyuma ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni rahisi mno ingiza number hizo hapoo 👇👇👇 kwenye attachments moja kwa moja iwe miongoni contact zako halafu nenda kwenye watsap yako kisha uandike KTMA HALAFU FUATA...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom