Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua.
Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya;
"Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni...
Nini mnataka mazee, ni among hit ninayoikumbuka sana kipindi kile cha kuharibu tape za washua unarecord bongo fleva halafu mzee akija gundua anakupa kipondo balaa lakini still unaendelea kurecord tu.
Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Ala za roho Clouds Fm amebadili jina kisheria na kuanza kujiita Diva Gissele D Malinzi.
========
Sio Loveness tena: Diva abadili jina Mahakamani, sasa anaitwa...
Jambo kwenu wote.
Leo wazee wa "natuma kama nilivyopokea" wamesambaza sana habari kuwa mtajwa hapo juu katutoka.
Nimejaribu kutafuta uhakika toka vyanzo vya kuaminika kuhusu hilo suala, sijaona...
Wakati akihojiwa na Clouds Fm kipindi cha leo Tena alipoulizwa anachopenda zaidi kwa Zari ni kitu gani?
Alifunguka kuwa anachopenda ni tabia ya Zari ya kujielewa. Akaendelea kufunguka Zari...
Kabla na Baada
List ya Masuper star wa Kiume Bongo waliojibadilisha ngozi kwa kutumia mkorogo ama madawa inazidi kunona baada ya Msanii Richi Mavoko Kusemekana naye amejichumbua ngozi kwani...
Tukubali tukatae ila msanii wa kike Vanessa Mdee ndiyo queen wa R&B na music wa kizazi kipya East Africa kwa sasa.
Amefanikiwa kuondoa utawala wa Lady Jaydee kwa muda mrefu.
Kwa sasa ndiyo...
Katika game ya bongo movie wapo wanawake wengi sana waliojaaliwa uzuri wa sura na maumbo kupitia maoni ya watu kadhaa nimepata list fupi ya wadada watano ambao ni warembo na wenye mvuto zaidi nao...
Aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Sugu Mbilinyi, Faiza Ally ameshtakiwa na binamu yake baada ya kudaiwa kumtishia kumuua.
Faiza ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na...
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu kutoka nchini uganda, mwenye tittle ya u bosslady EA, ambaye pia ni muke mtarajiwa wa mwanamuziki diamond platnums, zarinah hassan aka zari, kwa mara nyingine...
My take: Jamaa anaonyesha ni muungwana sana.
LICHA ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kukanusha mara zote kwamba, hahusiki na kusambaratika kwa ndoa ya Mwimba...
Wana JF,
Kufuatana na hali halis ya watu kujibadili sura mpaka kukalibia jini, siku ametokea muungwana mmoja Africa akasema viwanda vya vipodozi na mikorogo vizimwe na kutotumika tena. Ipo siku...
Kazi ipo! Mwandani wa staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Diamond Platnumz, Zarinah Hassan Zari juzikati alizua kizaazaa kisa ujauzito alipohudhuria kwenye msiba wa aliyekuwa bosi wa...
Msanii wa Filamu Nchini, Mwanadada Shamsa Ford amekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwana hip hop,Elibarik Emamanuel 'Nay wa Mitego' na kuweka wazi kuwa wako mbioni...
Cha kushangaza huyu mtangazaji alikuwa bench huku akikabiliwa na Kesi ya rushwa. Jamani source ni yeye mwenyewe anahojiwa kipindi cha Mboni Talkshow EATV
KIMESANUKA! Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal maarufu kama Shetta anadaiwa kulala chumba kimoja na staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka katika hoteli iitwayo Kingway iliyoko...
Haya sasa Diamond Platnumz kumtambulisha rasmi mkewe Zari thebosslady walofunga ndoa kimya kimya ndani ya iyo tar bidada murembo mixer Ugandan na ile rangi ya kishombe shombe Zari thebosslady...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.