Jana Kila Kona kwenye mitandao kulizuka habari kuwa Hussein Machozi Amefariki Dunia kitu ambacho kumbe hakikua Kweli ..Msikilize Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza akiongelea Tukio hilo na Pia...
Chrstian Bella huchoki kunishangaza wewe king of melody and best vocalist off all time in Tanzania. Nilianza kukusikiliza toka mwaka 2009 enzi hizo ukiwa na Akudo Impact 'Wazee wa Masauti' mpaka...
Ni story nzito ndani ya Uganda, je na wewe waona nani zaidi kati ya Wema na Zari?
Chanzo: http://www.ugandaonline.net/news/view/15446/zari_and_diamond_platnumz_an_item
Je urafiki huu mpya wa...
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Lulu amefunguka kuwa anaogopa wachawi kumtaja mhusika wa mimba aliyonayo.
Lulu alifunguka hayo juzikati wakati mwanahabari wetu alipotaka...
Kwa vichwa vingi vya rap/hip-hop inaaminika huyu jamaa ndio mkali kabisa aliyewahi kufanya. Na kwa baadhi ya washabiki wa rap, wanaamini kwenye rap hakuna mapenzi, ni 'ugumu' mwanzo mwisho...
Wakuu kwa nini wasanii wengi wanaishi kwenye nyumba za kupanga hata kwa wale waliobahatika kujenga mijengo yao. Kuna wasanii wana pesa nzuri sana lakini wanaishia kupanga na tuna mifano kibao ya...
Kama tujuavyo Mzee Machache yupo katika pilika pilika za kufunga ndoa na mchumba wake mrembo (K-Laini) sasa kwa jinsi mzee huyu alivyo na watu na umaarufu wake napendekeza harusi ifungwe pale...
Kuna bifu kati ya Diamond na Ommy Dimpoz kisa ni wimbo wa Wanjera aliomshirikisha Wema Sepetu katika video yake. Diamond kakasirika kwa nini Dimpoz kamtumia Wema?
Na picha za Dimpoz alizopiga na...
Wadau,
Ney wa Mitego baada ya kuachana na Siwema ametoa kali ya mwaka kuwa ukiachana na mwanamke usikimbilie kutafuta mwingne haraka maana hata huyo utakaembilia utaachana nae.
Wadau hii ni sahihi
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instragram mwanadada huyo ameelezea jinsi tukio lote lilivyotokea...soma chini hapa������
Ni ndefu lakini someni itawasaiDia huyu dada alie toa ushauri anaitwa rose
ashukuriwe MUNGU wetu kwa kutubariki kuiona siku hii yamleo tukiwa wazima wenye afya na akiwa ametuandalia baraka tele...
Nitapataje mawasiliano ake? Au yupo mtaa gani nataka niongee nae niulize maneno anatoa wapi huyu jamaa hivi naye si moja ya watu maarufu hapa nchini au?
Dj Mark si ni staa yule nitaweza kweli...
Mke halali wa mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald mengi, jackline ntuyabaliwe aka k -lyn ,ameanza kuonyesha baadhi ya mali anazomiliki, ikiwemo duka la nguo la kifahari (pichani ) lililopo...
Mimi kama mwanaume najisifia kwa kufahamu wanawake KWA undani zaidi, namshauri diamond wanawake ni watu wa kubadilika badilika kutokana na mahitaji yao awe makini sana na mademu la sivyo...
Why are we even talking about
this? This is the news of the day!
Method Man may have saved a
marriage with this one! A husband
accused his wife of have sex with
the entire Wu Tang Clan, b...
Miss Tanzania wa mwaka 2000 na mwanamuziki wa bongo fleva, Jackline Ntuyabaliwe aka K- Lyn hatimaye amekuwa mke mke rasmi wa mfanyabiashara maarufu na TAJIRI namba moja nchini, Reginald Mengi...
Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia kuwa maisha yake yanaweza kuwa hatarini!
Shilole ameiambia Bongo5 kuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.