Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mwenye contact za huyu msanii (BATULI) anipe tafadhali
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari tulizozipata kupitia mtandao wa GPL zinasema,-MWIGIZAJI na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba hivi punde ameibuka katika ofisi za mtandao huu na kukanusha vikali-taarifa...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari zilizoenea kwenye magazeti na mitandao ni kwamba Muimbaji wa nyimbo za injili Rose Muhando safari hii amemtapeliAlex Msama baada ya kupokea fedha kwa makubaliano ya kushiriki Tamasha la...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Tukiwa tumebakiza Siku chache kabla ya kumaliza mwaka 2014 tukutane hapa kuchagua wimbo bora uliokupendeza mwaka huu. Nimeona tujichagulie wenyewe kwa kupiga kura zetu hapa JF kabla ya wale jamaa...
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Hahahahah watanzania bwana! Le mutuz haters are mostly from men and a few chicks who just hate. Wanaume ni vile viuno anavyoshika Le Mutuz na ma bebez inawakula moyo na mnatamani kufa, sikia...
4 Reactions
96 Replies
12K Views
Said Fella amejikuta akifichua nia ya January Makamba ya kugombea urais mwaka 2015,amemuhakikishia Salma Jabir kwamba 2015 kijana mwenzao watampa support,yeye (Salma) asubiri ataona.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
SMH! https://www.youtube.com/watch?v=rbWF3wMFaUQ
0 Reactions
17 Replies
5K Views
serikali imelifungia shindano la miss tanzania kwa miaka miwili kwa kukiuka taratibu
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Ni ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya hawa wasanii wadogo wa nigeria tangu nyuma walipoanza kazi zao za usanii. awali wawili hao walikutwa wakiwa na furaha tele kwenye birthday ya kaka yake...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kweli adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenyewe, Kwanza walitapeliwa Mwana FA na AY. AY akaongea mpaka radioni kumtusi Victor Dj rule kuwa aliwatapeli show yao Birmingham then TID tukamsikia kwenye...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Mwaka unakata sasa hatujaskia ngoma za ili kundi wala dogo janja,madee,tunda wakitoa ngoma mpya au ndo meneja yupo bize na platnum.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Diamond kwa mara nyingine ameweza kuonyesha mjengo wa nyumba yake ambayo bado iko jikoni karibu kumalizika. Kupitia mtandao wake wa Instagram,Diamond ameonyesha mjengo wake sehemu ya swimmingpool...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Binafsi ni mpenzi tu wa muziki, sina taaluma yeyote na masuala ya muziki na ninachoandika hapa ni MTAZAMO wangu binafsi wa kile nilichokiona. Watu wengi wamelalamikia video ya Ali Kiba kutokuwa na...
7 Reactions
13 Replies
4K Views
Yafuatayo ni mambo matano yanayomuhusu Ali Kiba ambayo DStv.com kwenye Exclusive interview imeyapata, baada ya kukaa nae na kumuuliza maswali mbalimbali. 1. Anasema amemaliza kuijenga nyumba yake...
6 Reactions
123 Replies
17K Views
Kwa kawaida mimi huwa sipendi mambo ya ku follow the crowd na ushabiki lakini kwenye hili nimeona bora nimwekee thread yake pekee huyu Mtazania mwezetu. Nadhani kama kuna mtu alitakiwa kuenziwa...
2 Reactions
30 Replies
11K Views
Waandaaji wa mashindano ya urembo ya dunia maarufu kama Miss World wamefuta sehemu ya shindano hilo inayohusisha warembo wakiwa wamevalia nguo za kuogelea maarufu kama vazi la ufukweni au Beach...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Edo Kumwembe: ''Nasikia tu kuna bifu Wanigeria vs Watanzania mitandaoni.NINACHOJUA ni hiki hapa, zamani walikuwa wanatuzidi kuuza unga, sasa hivi tumewazidi. Wakatuzidi kucheza filamu, tukawaiga...
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Ni hayo tu
4 Reactions
238 Replies
47K Views
Hivi kwa hali ya kawaida unaweza kuwa ni mtu maarufu kwa sababu tu ati media zinajadli kila unachokifanya kiwe kizr ama kibaya,ukizingatia media za mbongo kwa asilimia kubwa hujadili mambo ya...
0 Reactions
35 Replies
8K Views
Back
Top Bottom