Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni naomba nitoe hongera kwa mdada au mjasiriamali jokate kwa hatua yake ya kusaini kiasi cha shilingi bilioni 8.1 kutoka kampuni ya kichina itakayomsaidia kutangaza...
KWA mara ya kwanza baada ya kutua Bongo, Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshort (2014 ), Idris Sultan amemfungukia mwigizaji Elizabeth Michael ' Lulu ' na kudai ni rafiki yake wa...
LILE ndinga aina ya Nissan Murano alilozawadiwa supastaa Wema Sepetu na aliyekuwa mchumba wake , Nasibu Abdul ' Diamond ' , limeanza kumchefua mrembo huyo kiasi cha kulisusa.
Tukio hilo...
MTAZAMENI AL GORE ALIVYO BIZE
Hakuna atakaye bisha kuwa BEN alikuwa ni msomi sana wa vitabu na nadhani kwa sababu alikuwa ni Humanities graduate. JK on the other hand sijui anasoma nini but...
Huyu producer wa Godfather kashagundua kuwa watanzania wana shobo sana na sio creativity a.k.a ubunifu ndo unawapeleka South Africa. videos ziko kwenye quality ya kimataifa ndio hilo halina ubishi...
Haya ni madai mazito! Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili Bongo, Rose Muhando, anadaiwa kutundikwa mimba a. k . a ujauzito unaomfanya hivi sasa kutumia muda mwingi kujificha ndani, Risasi Jumamosi...
MCHEZA filamu za Kibongo, Alice Bangezi ' Rayuu', amedai kuwa huwa anashindwa kudumu na mwanaume kwa kuwa hana mvuto wa mapenzi na mara nyingi anachezewa na kuachwa kwa dharau kubwa .
Rayuu...
Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa ni mjamzito, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameibuka na kufunguka kuwa, aachwe azae kwani umri unazidi kuyoyoma.
Akizungumza na mwanahabari wetu...
Ni mawazo yangu, Imefika wakati ma celebrities wetu wapewe ushuru na wamiliki wa magazeti ya udaku kwani ndo wanaowaweka mjini. Ili gazeti liuze lazima heading ibebwe na jina la celebrity...
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ' Dida' amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ' date ' na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu...
AY amesema kampuni yake ya Unity Entertainment haimsimamii tena aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa The Chase, Feza Kessy.
AY amekiambia kipindi cha Mambo...
Anaejua historia ya huyu kijana naomba anijuze kidogo maana naona watu wanadhani pesa alizoshinda ni nyingi sana ila namuona kama ni mtoto wa kisure inawezekana hizo ziko nyumbani nyingi tu.
Sasa...
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani...
Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura...
WIMBI la uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya limeshika kasi hivi sasa kwa wasanii na watu mbalimbali huku Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe akilivalia njuga kulikomesha.
Wakati hayo...
Nimekuwa nikitizama shughuli za mziki tanzania nkagundua kuna miungu watatu, Ruge, Said fella na babu tale. Hawa jamaa wana ka cartel kao, ukigombana na mmoja unapotea kabisa. Ila wana sifa...
Ishu ya Diamond na Davido imeleta mitazamo tofauti. Kuna ambao wanaona Diamond kamkosea Davido kwa kujibu mapigo na kuna wanaoona Davido kawakosea adabu watanzania kwa ujumla kutokana na tweet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.