Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

The new gist in town is that Limpopo master, Kcee just got himself a customised 2014 Cadilac Escalade. That's not all, the most stunning about it is that, it is gold plated...glittering! That's...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema kuwa kwa sasa yupo bize na malezi ya mwanaye hivyo hana mpango wa kuwa na mwanaume yeyote hata awe pedeshee mwenye uwezo wa fedha kiasi gani kwani...
1 Reactions
76 Replies
9K Views
Naamini wengi wamesikia tangazo jipya la mgahawa wa Jaydee unaokwenda kwa jina jipya la MOG na kikolombwezo cha LIFE IS TOUGH na mwishowe anamalizia na YAHAYA UNAISHI WAPIII Wenye kujua mafumbo...
28 Reactions
212 Replies
30K Views
Kwa kuwa ni wazi kuwa Dada Sitti Mtemvu atavuliwa taji kwa kudanganya umri na kuongoe kifaransa ili kukwepa maswali napendekeza Taji apewe yule mshindi wa tatu. Nadhani yule ana sifa zote za...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kuwa msanii wa Bongo movie ameaga dunia.Ila bado habari hizi hazijawa na uhakika. RIP mzee wetu. ============ Updates ========== Habari zilizotufukia...
2 Reactions
53 Replies
17K Views
BAADA ya hivi karibuni kumchana laivu Mkurugenzi wa Mwami Foundation, raia wa Kongo, Mwami Rajabu, staa wa Bongo Movies , Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kumwangukia jamaa huyo na kumuomba...
0 Reactions
235 Replies
21K Views
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na...
14 Reactions
212 Replies
27K Views
Namkumbuka huyu mtangaza alivokua anachambua michezo kama cherehani vile(kwa spidi). Yuko wapi jamani?
0 Reactions
14 Replies
6K Views
WAKATI nyota wa muziki wa Hip Hop , Rashid Makwiro ' Chid Benz ' akikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akiwa na madawa ya kulevya akiwa njiani kuelekea Mbeya, Rehema...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Huyu Ndugu nnimemsikia kwenye tangazo la E fm muda si mrefu, inaelekea ndio kashamaliza mkataba wake na times fm. Sijamsikia muda sasa kwenye Maskani. Habari ndio hiyo wadau wa Maskani!
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Baada ya kuanzisha mashindano ya mbio kati ya farasi(Dimond) na kobe(kiba) na kutaka kuiaminisha dunia kuwa kobe ana mbio kushinda farasi, hatimaye ile miradi iliyotangazwa kwa nderemo na vifijo...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hii ni kutoka kwa kamati ya miss Tanzania kwamba kuepusha utata wa umri na udanganyifu kamati imeamua kuanzia sasa warembo wote wanaotaka kugombea taji hilo maarufu waonyeshe pia na kadi zao za...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina' amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake. Akizungumza na mwandishi...
0 Reactions
54 Replies
10K Views
Sikupata fursa ya kutazama shindano la Miss Tanzania.Hivyo kwangu hii ni habari nyingine ambayo sikuwa nikiifahamu kuhusiana na mlimbwende wetu Miss Tanzania Sitti A.Mtemvu.Pengine wapo baadhi...
4 Reactions
54 Replies
11K Views
Wakuu. Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini...
1 Reactions
120 Replies
10K Views
Nimekusifu diamond kwa kukaa kimya,tukio la fiesta watu walijua utapagawa na kuongea hovyo na media.naamini sasa wamechokoza moto. Diamond fungua macho maadui zako ni wengi na si Kiba...
7 Reactions
38 Replies
5K Views
kwani miss Tanganyika si ni yule bibi bomba,sasa mbona Jana kahojiwa mwingine na amesema a naenda,Miss world? kwani Sitti wamempora chance? sikuangalia sana kipindi kwani lugha aliyokua...
4 Reactions
65 Replies
10K Views
Habari ambazo zinasambaa hasa kwa whatsapp ni kwamba Sitti Mtemvu,miss Tanzania (bibi bomba) anamzidi mdogo wake miezi 7.Hii imesemwa na marafiki wa mdogo wake na miss Lundenga. Taarifa zaidi...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
(Zimeambatanishwa) Mie ni mmoja wa wale wa Tanzania tuliokua tukipenda mashindano ya Miss World. Na nchi yetu ilipoanza kupeperushwa huko duniani tena katika mashindano haya tulifurahia sana...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
Msanii nyota wa filamu nchini Sherry Charles Magali akiwa hoi hospitalini Wodi Namba 8 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro katika picha hii iliyopigwa na mwandishi wetu Ijumaa...
0 Reactions
37 Replies
20K Views
Back
Top Bottom