Imekuwa ni kawaida yenu vijana wa TZ kuwachukia wenzenu wanapopata mafanikio.
Ninayo mifano ya Mr Nice, Daz B n.k ambao mliwavunja nguvu na kuwakatisha tamaa hadi kupelekea frustratration...
Katika kile kinachoonyesha kwa wasanii wa bongo kuanza kujitambua na kutumia brand zao vizuri katika kujipatia kipato, Msanii kinara katika muziki wa Tanzania ambaye haishi kutajwa katika vinywa...
Licha ya kupata zomea zomea wakati wa fiesta kijana diamond ameonekana kutojali na kuwa na confidence ya kupanda jukwaani tena bila kuhofia buu buu alizopata wakati wa fiesta na kufanya shoo ya...
Mi naamini hakuna ubaya kumsifia Diomond kwa jitihada alizozifanya mpaka kufika alipo sasa na anazoendelea kuzifanya kuendelea kusonga mbele. Pia kwa m2 yeyote asiye na chuki binafsi na dogo hata...
Madansa wa mwanamuziki Diamond Platinumz (Nassib Abdul) wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni kwa kosa la kuvaa mavazi yanayofanana na yale ya JWTZ wakati wa onyesho/tamasha la Fiesta...
Mwaka 2010 CCM walimtumia msanii MALLOW mzee wa bembeleza aliyekuwa hot kwa wakati huo kwenye kampeni za uchaguzi,baada ya uchaguzi jamaa kapotea kabisa kwenye game kwa sababu watz 70% chama hiki...
Kwa mujibu wa vyanzo tofauti vya habari ni kuwa nyota wa kikapu ndani ya NBA mTanzania ametemwa na timu yake mpya Detroit Pistons kutoka jimboni Michigan aliyojiunga nayo siku kadhaa zilizopita...
Ningekuwa Sitti Mtemvu ningefanya kama alivyo fanya Tupac Shakur mwaka 1996. Baada ya kuhofia usalama wa maisha yake Tupac Shakur aliamua kufuata ushauri wa Niccolo...
Ebwana namsikiliza Zembwela hapa kwenye supamix ndio amesema.
YP ni msanii wa wanaume TMK aliyeimba kwenye Dar mpaka Moro akishirikiana na Temba na Chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na...
Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) wamesema endapo mrembo wa Taifa mwaka huu 'Redd's Miss Tanzania 2014', Sitti Mtemvu, atabainika kudanganya umri wake kwa kughushi vyeti vya kuzaliwa...
Kilele cha fiesta siku ya jana tarehe 18 octoba 2014 Tanzania na dunia nzima kwa ujumla imeshuhudia msanii Ally Kiba akioyesha kuwa uchawi hauna nafasi kabisa kwenye muziki baada ya kumkalisha...
Yule msanii anayesemekana kuwa ni bilionea kuliko msanii mwingine yeyote Tanzania ambaye pia ameanza kujenga hekalu lake huku likiwa halijakamilika kwa mvua tatu sasa (miaka mitatu), ambaye pia...
baada ya kutusaidia kupunguza kelele za mwanajeshi wa sinza kwa kushinda EMA best african act sasa tuwasaidie pia washinde best worldwide act..vote for these talented dudes...sura yako muzuuuri...
Hii ameandika kupitia ukuta wake wa Instagram.
Ni Tanzania pekee Miss Tanzania anaulizwa kuhusu taarifa tofauti kwenye Passport, Leseni ya Udereva na Cheti cha Kuzaliwa anajibu kwamba hilo ni...
Ally Kiba akihojiwa na Amplifire ya Mirlad Ayo ameulizwa maoni yake ni wasanii gani walimvutia kwenye show ya Fiesta amewataja wanamuziki kadhaa pamoja na Diamond.
My take: hapa ndio tofauti ya...
hii imetokea university of florida ambapo wanafunzi wa kiswahili wakizungu walionekana kumhusudu diamond hadi kufikia kutengeneza movie ya kumbembeleza akapige show hapo!!!!! jamaa ni super staa...
Katika vitu ambavyo ni muhimu kwenye modaling ni urefu. Mwanamke huwezi kuhesabiwa kama we ni mrembo anaekidhi vigezo kama hutokuwa na height iliyosawa. Msanii Lulu Michael ni moja kati ya wasanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.