Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ni msichana mrembo na anayevutia kimapenzi ambayo Tanzania haijapata kuwa nae, kwa kweli ukimuangalia kwa haraka ni msichana mwenye heshima na upeo wa hali ya...
Hakika Kiba ameitendea haki hii collabo, FA hajakosea kumpa shavu huyu king aliyerudi!!
Mwaka huu watakaa tu, Kiba sasa ni kama maji usipoyanywa utayaoga tu!!
Mpo hapo eeee
By albertomsando
Ali Kiba; Diamond na Muziki:
Kila mwanadamu anapenda kufanikiwa katika jambo lolote analofanya. Mafanikio yanatokana na sababu nyingi lakini muhimu zaidi ni;
1...
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA:
1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE...Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania..Hakupaswa kuwa na bidii hivi..Angekuwa tu wa...
Msanii nyota wa filamu nchini Sherry Charles Magali ambaye ni mtoto wa mzee Magari amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wodi namba 8.
Msanii huyo, amefariki leo...
Ilikuwa ni siku ya furaha sana usiku wa kuamkia leo kwenye sherehe ya kuzaliwa Miss Klynn aka MAMA MAPACHA pande fulani hivi jijini Dar es Salaam. Party hii ilikuwa ni yaaina yake kwani ilikuwa...
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Flava nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz' huenda akaingia matatani baada ya juzi kupanda jukwaani kutumbuiza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 akiwa...
Asilimia 90 za thread ndani ya jukwaa hili zinamhusisha Diamond kwa njia moja au nyingine..
Asanteni Watanzania kwa kukubali kilichokuwa Bora na kwa wale wanaomkataa wanajikuta wakimkubali...
Imekaa poa sana! Ubuyu kutoka Hong Kong , China unadai kwamba mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda hivi karibuni alimfuata Jacqueline Fitzpatrick Cliff ' Jack Patrick ' gerezani...
Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu aliopotangazwa mshindi. Ziba masikio, fanya yako! Wakati watu wakichonga juu ya sakata la madai ya kuwa na mtoto na utata juu ya umri wake, Miss Tanzania...
Imeelezwa kuwa Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) walitoa kibali kwa msanii Diamond kutumia Nguo za Jeshi hilo katika Tamasha la Mziki wa kizazi kipya maarufu kama Fiesta lililokuwa na kauli mbiu...
Umaarufu wa Ali Kiba unaishia Kibaha huku mikoani watu hawamjui kabisa.. Mikoani Diamond ni maarufu kupita wanamuziki wote wa Tanzania kwa sasa.. Wivu wa mafanikio ya Diamond unawatesa sana vijana...
Akiongea na 255 ya XXL kupitia Clouds fm Diamond amesema yupo tayari kumsaidia collabo Ali Kiba.
Aliulizwa je yupo tayari kufanya kazi na Kiba pamoja na tofauti zinazozungumzwa kati yao...
Nadhani Hili jina si Geni Kwa Wadau Wa Muziku kuanzia miaka Ya 2001 mpaka 2005.. Tafandhari ndugu wanaJf mwenye Nyimbo za Huyu Dada Naomba atuwekee hapa maana Nimetafuta mpaka jasho limenitoka...
Jamani kwa waliokuwa Fiesta watakubaliana na hili.
Sasa hivi hawa jamaa mambo hadharani kweupe, kitu full affection.
Dah hongera kwa kujichukulia katoto kazuriii, kweli usanii unasaidia kupata...
Dar es Salaam. Kashfa imemwandama Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu baada ya vielelezo mbalimbali kuonyesha kuwa ameghushi umri.
Sitti katika fomu zake alijaza ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.