Habari za muda huu waheshimiwa
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu,nimejiuliza sana kuhusu hiko kipindi.Kwa anae fahamu
Inawezekana kikawa kipo ila muda wa show nikawa siko kwenye...
Hakika huyu kijana anastahili pongezi kubwa kwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania Ameshinda tena tuzo za IRAWMA zinazo fanyika nchini Marekani kupitia nyimbo yake mdogomdogo katika kipengele...
Leo ni birthday ya kijana anayesumbua Mziki wa Bongoflavour Kwa sasa,kijana mwenye mafanikio kupitia sanaa ya Muziki Msanii wa kwanza kuwa nominated bet,Mtv mama Mtv Europe.
Haya Mr...
- Instagram Party Tanzania Tour 2014 juzi imeweka historia mpya ya Sherehe hizo zilizoanza mjini Dar Miezi 2 iliyopita baada ya watu Elfu Tano kufurika Ukumbi wa Jembeni Jembe wa Mjini Mwanza...
Habarini
Kuna jambo jipya nimejifunza maishani mwangu juzi nilipomtembelea dadangu mmoja mcha mungu anae abudu kanisa la ufufuo na uzima( kwa Gwajima) ,nikiwa nimejawa na masihara na dhihaka...
Wakati wasanii wakibongo kwa ujumla wao wakihangaika na shoo za Fiesta msimu huu, Diamond ameendelea kujidhihilisha kwamba ni msaanii mkubwa sana kiasi cha jamaa wa Clouds Entertainments kushidwa...
Naomba kumfahamu huyu jamaa japo kwa uchache tuu
Relationship status yake?
Investment zake!
na yule jamaa mwingine aliekua nae ze comed alie kuwa mgonjwa saaana kipindi flani hiv
Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV...
Msanii wa bongo movies Rose Ndauka amerudi kwa mama yake kigogo baada ya kugundua mchumba wake aliyekuwa anaishi naye na baba wa mtoto,kuwajaza mimba wanawake wawili tofauti.
Mchumba huyo...
Nyimbo mpya ya msanii Ben pol inayoitwa JIKUBALI ni copy and paste ya mwanamuzik wa america anayeitwa The script au William!! Ben pol ameigiza kila kitu kuanzia tune, melody, lyrics, chorus...
Diamond ka post kwenye IG kwamba kidogo
Alichoweza mzawadia Wema ni Gari la aina ya Nissan Murano kama birthday present
Si juzi tu hawa walilikisha habari kuwa
Diamond ana vikao vya...
Huko Instagram hapatoshi. Ni mapambano makali kati ya Lemutuz na Teams mbalimbali. @ WILLIAM MALECELA huoni kama hivyo vita vya panya unavyo pambana, vitakuharibia kwenye mbio...
Maisha ya wasaniiwengi wa kibongo kwa ufupi ni ya chini sana kiuchumi japo wanajifanya wana mawe
1.HAWANA MAMENEJA WAZOEFU: Wasanii wengi hawana mameneja ndio maana maisha yao ni zigzag, kuna...
Hii ni video ya Rich Mavoko mpya ya wimbo Pacha wangu. Ni video nzuri sana imefanywa na Adam Juma nimeipenda quality yake na chui aliyetumika umo.
Kilichonishangaza ni Mavoko kuvaa Tshet moja ya...
1.Muziki wa kisasa umegawanyika katika makundi haya (a)Nyimbo za taratibu kama SOUL,R&B,urban JAZZ,na Zouk,country(b)Nyimbo zenye kubeba hisia za kimapinduzi au changamoto kama HIP...
msaada jamani kama kuna mtu mwenye huo wimbo tafadhali, nmehangaika sana kutafuta audio na kuutafuta youtube nmekosa, kama kuna ambaye anayo audio au video msaada tafadhali.
Haya mambo ya instagram sasa sijui ndo coming out the closet au ndo tunaenda sambamba na kina lulu kwa mwendo wa WCW wtva! Jack Wolper upo hapo? Ma selfie hayooo. innanilah......koh!
Ameandika hivi kwenye page yake ya facebook 25mins ago
Najua wote tungependa tufurahie kwa pamoja siku yangu hii ya kuzaliwa, lakini kwa bahati mbaya hakuna ukumbi utaoweza kututosheleza... sasa...
Nimeona tangazo la sporah show clouds tv itakayofanyika leo J4. diamond akiongea ung'eng'e wa hatare, kumbe jamaa sasa hivi kimombo kinapanda eeh
msisahau kufatilia mtupe update alichochapia!" au...